Posted on: September 4th, 2024
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa Bi.Mwanahamisi H.Ally ameshiriki chakula cha pamoja na watahihiniwa wa darasa la saba katika Shule ya Msingi Mpwapwa Agosti 3,2024.
...
Posted on: September 2nd, 2024
Kikao kazi cha huduma za msingi za Wilaya kimefanyika Agosti 2,2024 katika Ukumbi wa Mkuu wa Wilaya ya Mpwapwa,kikiwa na lengo la kuyatambulisha Magonjwa makuu mawili
kwa kamati za huduma za Afya z...
Posted on: August 31st, 2024
Mkuu wa Wilaya ya Mpwapwa Mhe.Dkt Sophia M.Kizigo akipokea cheti cha pongezi kwa utekelezaji mzuri wa viashiria vya lishe wilayani humo,amekabidhiwa cheti hicho na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe.Rosemary ...