• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mpwapwa District Council
Mpwapwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
        • Fedha
        • Biashara
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Mali asili
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Usafi na Mazingira
      • Utawala na Utumishi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Habari Mawasiliano na Tehama
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Nyuki
    • Mamlaka
      • Mamlaka ya Mji Mdogo wa Mpwapwa
      • Mamlaka ya Maji Mpwapwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashuri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa mbali mbali
    • Fomu za Maombi
    • Miongozo mbali mbali
    • Simulizi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video mbali mbali
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

Miradi Idhinishwa na Utekelezaji wake

.

1.0 UTANGULIZI

Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa ilipanga kukusanya na kutumia jumla ya shilingi 11,521,931,774.00 katika kutekeleza miradi ya maendeleo kwa kipindi cha mwaka wa fedha wa 2016/2017 sawa na asilimia 32 ya bajeti nzima ya Halmashauri ya Wilaya inayofikia shilingi bilioni 36,504, 001,974.00 baada ya kupungua kwa ukomo wa bajeti, Kiasi hiki ni nje ya bakaa ya shilingi 2,154,293,906.02 zilizobaki ilipofika tarehe 30 Juni 2016. Mchanganuo wa fedha hizo za maendeleo na vyanzo vyake ni kama unavyoonekana katika jedwali:-

NA

CHANZO

KIASI

%

1

Halmashauri (Own Source)

1,885,691,410.00

16

2

Ruzuku Serikali Kuu

9,636,240,364.00

84

 
JUMLA

11,521,931,774.00

100


2.0 MAPATO 

Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa imepokea kiasi cha shilingi      5,798,883,870.12 kutoka Serikali kuu kwa ajili ya Miradi ya Maendeleo sawa na asilimia 50.3 ya makisio ya shilingi 11,521,931,774  zilizotengwa katika bajeti ya mwaka 2016/2017, hadi ilipofika tarehe 31 Machi , 2017. Maeneo yaliyopokea fedha ni Barabara, CDG, BUSKET FUND, Mfuko wa Jimbo, Mfuko wa elimu Equip na Mfuko wa jamii (TASAF).                                                                                       

3.0 MATUMIZI.

Hadi kufikia tarehe 31 Machi, 2017 kiasi cha shilingi 4,369,786,821.03 kimetumika kati ya shilingi 7,953,177,776.14 zilizokuwepo (ikiwa ni salio hadi tarehe 30 Juni, 2016 ya shilingi 2,154,293,906.02 na fedha pokelewa kipindi cha Julai – Machi kwa mwaka 2016/2017 shilingi 5,798,883,870.12). Matumizi haya ni sawa na asilimia 54.9 ya fedha zilizopokelewa   zimeendelea kugharamia miradi mbalimbali inayoendelea kutekelezwa katika Wilaya kwenye sekta za Elimu, Kilimo na mifugo, Afya, Maji na Barabara.

4.0 UTEKELEZAJI;

Utekelezaji wa miradi unaendelea kwa kutumia Fedha zilizovuka mwaka na zilizopokelewa kwa mwaka wa Fedha 2016/2017, hivyo miradi mingi inayoendelea kutekelezwa ni ya viporo kwa mwaka 2015/2016.

Ili Kuweza kupata Orodha ya Miradi na Hali ya Utekelezaji wake Bofya hapa  :  MIRADI ROBO III  2017.pdf


Matangazo

  • Tangazo la kuitwa kwenye usahili MpwapwaDC June 27, 2022
  • Tangazo la nafasi za kazi Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa. 2022 April 20, 2022
  • Tangazo la Nafasi za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa May 2022 May 31, 2022
  • Tangazo la kuahirishwa kwa Usahili Halmashauri ya Mpwapwa June 22, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • NORISH NA WAKULIMA WILAYA YA MPWAPWA

    May 06, 2025
  • VIONGOZI KUTOKA OFISI YA MAKAMU WA RAIS ZANZIBAR WATEMBELEA MIRADI YA MFUKO WA JIMBO MPWAPWA

    May 09, 2025
  • FUM YAFANYA ZIARA MIRADI YA KIMAENDELEO

    April 29, 2025
  • MAADHIMISHO YA MEI MOSI YAFANYIKA SINGIDA

    May 01, 2025
  • Tazama zote

Video

Video ya Mpango wa Uuzaji wa Viwanja Eneo la Mazae Block "E" katika Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa -2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ramani ya Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa
  • Muundo wa Baraza la Waheshimiwa Madiwani
  • Ratiba ya Vikao vya Madiwani

Viunganishi Linganishi

  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Wizara ya Fedha na Mipango
  • Utumishi portal
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu Teknolojia na Sayansi
  • Sekretarieti ya Ajira

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mpwapwa - Dodoma, Tanzania

    Anwani: S.L.P 12

    Simu: 255 26 2320122/2320

    Simu ya Kiganjani: 0684705551

    Barua pepe: info@mpwapwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovutii

Copyright © 2021 Mpwapwa District Council . All rights reserved.