Posted on: September 20th, 2017
Wakuu wa idara na vitengo pamoja na wasaidizi wao watatu kutoka kila idara wamepatiwa mafunzo ya nanma ya kutumia mfumo wa PLANREP na FFARS. Mafunzo hayo yalianza tarehe 20/09/2017 na kumalizika...
Posted on: September 12th, 2017
Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa imeagizwa kuandaa Mwongozo wa kushughulikia Malalamiko mbali mbali ya wananchi ili iweze kutambua changamoto mbali mbali za wananchi na kuzishughulikia kikamilifu. Hay...
Posted on: July 31st, 2017
Mratibu wa LIC (Local Investment Climate Project) na katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa watembelea na kutathimini mafanikio na changamoto ya miradi inayofahiliwa na L...