• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mpwapwa District Council
Mpwapwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
        • Fedha
        • Biashara
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Mali asili
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Usafi na Mazingira
      • Utawala na Utumishi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Habari Mawasiliano na Tehama
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Nyuki
    • Mamlaka
      • Mamlaka ya Mji Mdogo wa Mpwapwa
      • Mamlaka ya Maji Mpwapwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashuri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa mbali mbali
    • Fomu za Maombi
    • Miongozo mbali mbali
    • Simulizi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video mbali mbali
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

MKURUGENZI MTENDAJI ASISITIZA SUALA LA USAFI NA UTUNZAJI WA MAZINGIRA

Posted on: September 20th, 2025


Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa Bi Mwanahamisi H Ally amesisitiza suala la Usafi,kutunza Mazingira ili kuweza kuzipa taka thamani kwa Wanaberege na jamii kwa ujumla wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Usafi Duniani.

Wito huo ameutoa leo Septemba 20,2025  wakati akizungumza na Wananchi wa Kata ya Berege yalipofanyika maadhimisho hayo Kiwilaya.

 "Suala la usafi tulipe kipaumbele kwenye jamii zetu kuanzia kwenye Taasisi,Mashuleni na Manyumbani mwetu"Amesema Bi Mwanahamisi

Halikadhalika, amewakumbusha suala la kufanya usafi wa kila Jumamosi ya mwisho wa mwezi,siku ambayo iliasisiwa na Hayati Jonh Pombe Magufuli Rais wa  awamu ya tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuipa siku hiyo kipaumbele na kusisitiza Usafi wa kila mwisho wa mwezi ili tuweka  Mazingira mazuri.

"Kila Jumamosi ya mwisho wa mwezi ni siku ya Usafi"
"Kila wakati tunatakiwa kufanya usafi ile siku imewekwa tu kwa ajili ya kufanya usafi wote kwa pamoja na kuhakikisha tunafanya usafi wa nguvu" amesema Mkurugenzi.

Maadhimisho haya ya Siku ya Usafi Duniani yameadhimishwa na Kauli Mbiu isemayo
"Tokomeza taka za Plastiki,Jengaa Jamii yenye Afya Bora"



Matangazo

  • Tangazo la kuitwa kwenye usahili MpwapwaDC June 27, 2022
  • Tangazo la nafasi za kazi Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa. 2022 April 20, 2022
  • Tangazo la Nafasi za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa May 2022 May 31, 2022
  • Tangazo la kuahirishwa kwa Usahili Halmashauri ya Mpwapwa June 22, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • WATENDAJI KATA WATAKIWA KUANDAA MIKAKATI MADHUBUTI

    September 23, 2025
  • MKURUGENZI MTENDAJI ASISITIZA SUALA LA USAFI NA UTUNZAJI WA MAZINGIRA

    September 20, 2025
  • DC KIZIGO AISHUKURU SERIKALI KWA NYONGEZA YA FEDHA ZA KUMALIZIA OFISI .

    September 18, 2025
  • WATUMISHI WATAKIWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI,UJUZI NA MAARIFA

    September 15, 2025
  • Tazama zote

Video

Video ya Mpango wa Uuzaji wa Viwanja Eneo la Mazae Block "E" katika Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa -2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ramani ya Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa
  • Muundo wa Baraza la Waheshimiwa Madiwani
  • Ratiba ya Vikao vya Madiwani

Viunganishi Linganishi

  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Wizara ya Fedha na Mipango
  • Utumishi portal
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu Teknolojia na Sayansi
  • Sekretarieti ya Ajira

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mpwapwa - Dodoma, Tanzania

    Anwani: S.L.P 12

    Simu: 255 26 2320122/2320

    Simu ya Kiganjani: 0684705551

    Barua pepe: info@mpwapwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovutii

Copyright © 2021 Mpwapwa District Council . All rights reserved.