• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mpwapwa District Council
Mpwapwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
        • Fedha
        • Biashara
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Mali asili
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Usafi na Mazingira
      • Utawala na Utumishi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Habari Mawasiliano na Tehama
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Nyuki
    • Mamlaka
      • Mamlaka ya Mji Mdogo wa Mpwapwa
      • Mamlaka ya Maji Mpwapwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashuri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa mbali mbali
    • Fomu za Maombi
    • Miongozo mbali mbali
    • Simulizi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video mbali mbali
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

Ujumbe Maalum Kutoka Kwa Mkuu wa Wilaya ya Mpwapwa

Posted on: July 28th, 2021

Mkuu wa Wilaya ya Mpwapwa Mhe. Josephat P. Maganga Anawatangazia Wananchi wote wa Wilaya ya Mpwapwa kuwa tarehe 31 Julai, 2021 Siku ya Jumamosi asubuhi Mwenge Maalum wa Uhuru kwa mwaka 2021 unatarajiwa kuwasili eneo la Chamnye kata ya Mazae saa 1:00 asubuhi, utapokelewa kutoka Wilaya ya Kongwa. Mwenge huo unatarajiwa kukimbizwa takribani Kilometa 173 na kuzindua, kutembelea na kuweka mawe ya msingi katika Miradi mitano, na baadae utakesha kata ya Mtera katika Shule ya Msingi Mtera. Katika eneo la Mkesha kutakuwa na Maonyesho ya Shughuli za TEHAMA, LISHE, TAKUKURU, MALARIA, UTHIBITI WA MADAWA YA KULEVYA na VVU/UKIMWI.

Miradi itakayopitiwa na Mwenge wa Uhuru ni kama ifuatayo:-

1. Kikundi cha Wajasiriamali National Housing, kilichopo katika Kata ya Mpwapwa Mjini eneo la National Housing.

 Katika mradi huo Mwenge wa Uhuru unatarajiwa kutembelea na kukabidhi pikipiki kumi (10) zilizokopeshwa na Halmashaui ya Wilaya ya Mpwapwa kwa wajasiriamali.

2. Mradi wa Ujenzi wa Daraja la Miembeni, Kata ya  Mpwapwa Mjini

Mwenge wa Uhuru unatarajiwa kuzindua daraja kubwa na la kisasa lililojengwa katika Mto unaopita katikati mwa Mji wa Mpwapwa ambao unatenganisha Ofisi za Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa na Soko Kuu la Mpwapwa.

3. Mraji wa Maji katika Kijiji cha Iramba kata ya Rudi.

Mwenge wa Uhuru unatarajiwa kuzindua Mradi huo ambapo kwa miaka mingi wananchi wa kijiji hicho walikuwa na uhaba wa maji na sasa wamejengewa  mradi maji bomba.

4. Mradi wa Madarasa Mawili katika Shule ya Sekondari Ikuyu kata ya Luhundwa

Mwenge wa Uhuru unatarajiwa Kuzindua Mradi huo.

5. Mradi wa Ujenzi wa Kituo cha Afya Mtera kilichopo katika Kijiji cha Mtera kata ya Mtera.

Katika kituo hicho Mwenge wa Uhuu unatarajiwa kuweka jiwe la Msingi.

Hivyo Mkuu wa Wilaya Anawaomba wananchi wote Kujitokeza kwa Wingi katika kushiriki katika Mapokezi, Kukimbiza na Kukesha katika Siku hiyo ya Mwenge wa Uhuru.

Pia amesisitiza Kila mwananchi kuchukua Tahadhari ya Kujikinga na Ugonjwa wa Virusi Vya Korona 19 (UVIKO19).

........Mwenge wa Uhuru 2021, Oyeeee.......

Matangazo

  • Tangazo la kuitwa kwenye usahili MpwapwaDC June 27, 2022
  • Tangazo la nafasi za kazi Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa. 2022 April 20, 2022
  • Tangazo la Nafasi za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa May 2022 May 31, 2022
  • Tangazo la kuahirishwa kwa Usahili Halmashauri ya Mpwapwa June 22, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • NORISH NA WAKULIMA WILAYA YA MPWAPWA

    May 06, 2025
  • VIONGOZI KUTOKA OFISI YA MAKAMU WA RAIS ZANZIBAR WATEMBELEA MIRADI YA MFUKO WA JIMBO MPWAPWA

    May 09, 2025
  • FUM YAFANYA ZIARA MIRADI YA KIMAENDELEO

    April 29, 2025
  • MAADHIMISHO YA MEI MOSI YAFANYIKA SINGIDA

    May 01, 2025
  • Tazama zote

Video

Video ya Mpango wa Uuzaji wa Viwanja Eneo la Mazae Block "E" katika Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa -2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ramani ya Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa
  • Muundo wa Baraza la Waheshimiwa Madiwani
  • Ratiba ya Vikao vya Madiwani

Viunganishi Linganishi

  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Wizara ya Fedha na Mipango
  • Utumishi portal
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu Teknolojia na Sayansi
  • Sekretarieti ya Ajira

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mpwapwa - Dodoma, Tanzania

    Anwani: S.L.P 12

    Simu: 255 26 2320122/2320

    Simu ya Kiganjani: 0684705551

    Barua pepe: info@mpwapwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovutii

Copyright © 2021 Mpwapwa District Council . All rights reserved.