• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mpwapwa District Council
Mpwapwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
        • Fedha
        • Biashara
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Mali asili
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Usafi na Mazingira
      • Utawala na Utumishi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Habari Mawasiliano na Tehama
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Nyuki
    • Mamlaka
      • Mamlaka ya Mji Mdogo wa Mpwapwa
      • Mamlaka ya Maji Mpwapwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashuri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa mbali mbali
    • Fomu za Maombi
    • Miongozo mbali mbali
    • Simulizi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video mbali mbali
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

Baraza la Biashara la Mpwapwa Laazimia Mazito

Posted on: March 7th, 2019

(Na: Shaibu J. Masasi, Afisa TEHAMA - Mpwapwa)

Mkuu wa Wilaya ya Mpwapwa Mhe. Jabir Shekimweri ameitisha kikao cha pamoja cha Baraza la Biashara na Baraza la Madiwani ili kupanga na kujadili kwa kina mikakati ya namna ya kuendesha Baraza la Biashara la Wilaya ya Mpwapwa bila kutengemea wafadhiri. Wazo hili limejili kwa kuwa mfadhiri mkuu wa Baraza la Biashara la Wilaya ya Mpwapwa ni Mradi wa LIC (Local Investment Climate Project) na hivi sasa muda wa mradi huo kufanyakazi nchini unaenda kuisha hivyo kama Baraza linatakiwa kujiwekea mikakati ya kujitengemea.

Wajumbe wa Baraza la Biashara wakiwa katika kikao cha pamoja na Baraza la Madiwani katika Ukumbi wa Mkuu wa Wilaya ya Mpwapwa

Katika hotuba yake ya Ufunguzi wa kikao hicho Mkuu wa Wilaya amewataka wajumbe kujikita kujadili na kufikiria kwa kina kuwa tutawezaje kujitegemea na kufashughuli za baraza kama kununua mbegu za korosho, kuendelea kujenga miradi mbalimbali, kuandika maandiko, kumlipa mshahara mratibu wa baraza la biashara na shughuli zingine bila ufadhiri.

Katika kikao hicho kilichoongozwa na Mwenyekiti wa Baraza la Biashara ambaye pia ni Mkuu wa Wilaya ya Mpwapwa Mhe. Shekimweri ametoa fursa ya wajumbe kupitia muhtasari wakikao kilichopita cha tarehe 9/02/2018 katika Ukumbi wa Mkuu wa Wilaya, kupata majibu ya yatokanayo na kikao cha tarehe 9/02/2018, kufuatilia na kusikiliza kwa umakini uwasilishwaji wa mpango na bajeti ya Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa kwa mwaka 2019/2020  hadi 2021/2022 kwa sekta ya Kilimo, Mifugo na Ardhi; ambapo sekta ya Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika imetenga Tsh. 50,000,000.00 sekta ya Mifugo na Uvuvi imetenga Tsh. 81,909,180.00 na sekta ya Ardhi imetenga Tsh. 60,000,000.00 na kufanya bajeti yote katika sekta hizi tatu kuwa Tsh. 191,909,180.00.

Wajumbe wa Baraza la Biashara wakiwa katika kikapo cha pamoja na Baraza la Madiwani katika Ukumbi wa Mkuu wa Wilaya ya Mpwapwa

Pia wajumbe wamepitia utekelezaji wa maazimio na mpango kazi wa baraza la biashara kwa mwaka 2019, ambapo katika mpango kazi huo wajumbe wamependekeza kuongenzwe shughuli za Kutafuta masoko ya mazao, kuandaa sera ya uwekezaji ya Wilaya na ujenzi wa mabwawa ya umwagiliaji.

Kikao hicho cha baraza la biashara pamoja na baraza la madiwani kimeazimia kuwa  kuundwe mfuko maalam wa Baraza la Biashara, Sekta ya umma na binafsi wachangie katika uendeshaji wa shughuli za Baraza la Biashara,  umuhumi wa kuwa na baraza la biashara baada ya wafadhiri muda wao kuisha, kuwepo na mfumo huru wa uchangiaji kibajeti katika shughuli za baraza la biashara, kiundwe kikosi kazi kidogo ili kushauri namna ya uchangiaji na halmashauri iendelee kutenga fedha kwa ajili ya shughuli za baraza la biashara ili kuvutia uwekezaji katika Wilaya yetu.

Wajumbe wote kwa pamoja wameafikiana maazimio yote yaliyojadiliwa na kufikia muwafaka.

Kwa taarifa zaidi pakua nyaraka hizi:

KIKAO CHA BARAZA LA BIASHARA NA MADIWANI MACHI, 2019.pdf

MPANGO NA BAJETI YA HALMASHAURI YA WILAYA YA MPWAPWA KWA MWAKA 2019-2020 SEKTA YA KILIMO, UMWAGILIAJI NA USHIRIKA, MIFUGO NA USHIRIKA NA ARDHI.pdf

Matangazo

  • Tangazo la kuitwa kwenye usahili MpwapwaDC June 27, 2022
  • Tangazo la nafasi za kazi Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa. 2022 April 20, 2022
  • Tangazo la Nafasi za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa May 2022 May 31, 2022
  • Tangazo la kuahirishwa kwa Usahili Halmashauri ya Mpwapwa June 22, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • NORISH NA WAKULIMA WILAYA YA MPWAPWA

    May 06, 2025
  • VIONGOZI KUTOKA OFISI YA MAKAMU WA RAIS ZANZIBAR WATEMBELEA MIRADI YA MFUKO WA JIMBO MPWAPWA

    May 09, 2025
  • FUM YAFANYA ZIARA MIRADI YA KIMAENDELEO

    April 29, 2025
  • MAADHIMISHO YA MEI MOSI YAFANYIKA SINGIDA

    May 01, 2025
  • Tazama zote

Video

Video ya Mpango wa Uuzaji wa Viwanja Eneo la Mazae Block "E" katika Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa -2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ramani ya Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa
  • Muundo wa Baraza la Waheshimiwa Madiwani
  • Ratiba ya Vikao vya Madiwani

Viunganishi Linganishi

  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Wizara ya Fedha na Mipango
  • Utumishi portal
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu Teknolojia na Sayansi
  • Sekretarieti ya Ajira

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mpwapwa - Dodoma, Tanzania

    Anwani: S.L.P 12

    Simu: 255 26 2320122/2320

    Simu ya Kiganjani: 0684705551

    Barua pepe: info@mpwapwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovutii

Copyright © 2021 Mpwapwa District Council . All rights reserved.