• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mpwapwa District Council
Mpwapwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
        • Fedha
        • Biashara
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Mali asili
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Usafi na Mazingira
      • Utawala na Utumishi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Habari Mawasiliano na Tehama
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Nyuki
    • Mamlaka
      • Mamlaka ya Mji Mdogo wa Mpwapwa
      • Mamlaka ya Maji Mpwapwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashuri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa mbali mbali
    • Fomu za Maombi
    • Miongozo mbali mbali
    • Simulizi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video mbali mbali
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

PAMOJA TUWALISHE WAJA NA MPANGO WA TWAWEZA

Posted on: January 31st, 2025


Mradi wa Pamoja Tuwalishe ni mradi unaojikita na utoaji wa Chakula kwa elimu,Januari 31,2025 umefanya kikao cha kupanga ratiba ya kuhamasisha wazazi,walezi na jamii ya Wilaya ya Mpwapwa katika Ukumbi wa Halmshauri ikiwa na lengo la Utambulisho wa Mpango wa Twaweza na kupanga ratiba ya mikutano ya uhamasishaji.

Wakati wa kikao hicho Mratibu wa Mpango wa Twaweza Bw.Hillay Darushina amesema mpango wa twaweza unatekelezwa katika vipengele saba ambapo vipenegele sita ni kwa ajili ya  kuinua taaluma ya Msingi Shuleni na kimoja kwa ajili ya jamii ambayo itaendeleza kuinua taaluma hiyo.

Halikadhalika ameelezea mpango wa twaweza ni kutekeleza kwa kutumia mfumo wa vikundi vidogo vya huduma za kifedha na  kutumia njia za kuhamasisha wazazi,walezi na jamii kwa lengo la kumnufaisha mtoto anaesoma shule zinazonufaika na mradi huo wa Pamoja Tuwalishe.

Vilevile amefafanua lengo la utekelezaji wa mradi ni kuwainua wazazi kiuchumi,hali ya usalama wa chakula pamoja na ushiriki wa wazazi,walezi na jamii katika utekelezaji wa moja kwa moja wa mradi.

"Mradi utahamasisha wazazi,walezi na jamii na vikundi vya mradi vitaitwa Vikundi vya Twaweza vya Mradi wa Pamoja Tuwalishe"
"Lengo la utekelezaji wa mradi ni kuinua wazazi kiuchumi kwa manufaa ya kuweza kuweka na kukopa lakini pia kupata mafunzo ya kilimo ili kuinua usalama wa chakula Shuleni" Amesema Darushina

Nae muwakilishi kutoka Mkoani Bi.Rustika Turuka ametoa shukrani kwa wanamradi na kuwataka watendaji kusimamia kazi zao vizuri na kuwasisitiza walimu kutimiza wajibu wao wa kuwafundisha ili kuweza kupata matokeo mazuri.
"Elimu,afya,kilimo watendaji  mnapaswa kusimamia kwenye mambo yote haya"
 
Akizungumza mmoja wa wanufaika wa mradi wa Pamoja Tuwalishe amewashukuru kwa kuengezeka ufaulu mzuri Shuleni,wanafunzi kuacha utoro pamoja na kupanda kitaaluma hali àmbayo hapo  mwanzoni haikuwepo.
"Shukrani kwa hali nzuri Shuleni kwa kupandisha ufaulu,wanafunzi kuacha utoro na hata kuinuka kitaaluma"


Matangazo

  • Tangazo la kuitwa kwenye usahili MpwapwaDC June 27, 2022
  • Tangazo la nafasi za kazi Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa. 2022 April 20, 2022
  • Tangazo la Nafasi za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa May 2022 May 31, 2022
  • Tangazo la kuahirishwa kwa Usahili Halmashauri ya Mpwapwa June 22, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • NORISH NA WAKULIMA WILAYA YA MPWAPWA

    May 06, 2025
  • VIONGOZI KUTOKA OFISI YA MAKAMU WA RAIS ZANZIBAR WATEMBELEA MIRADI YA MFUKO WA JIMBO MPWAPWA

    May 09, 2025
  • FUM YAFANYA ZIARA MIRADI YA KIMAENDELEO

    April 29, 2025
  • MAADHIMISHO YA MEI MOSI YAFANYIKA SINGIDA

    May 01, 2025
  • Tazama zote

Video

Video ya Mpango wa Uuzaji wa Viwanja Eneo la Mazae Block "E" katika Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa -2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ramani ya Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa
  • Muundo wa Baraza la Waheshimiwa Madiwani
  • Ratiba ya Vikao vya Madiwani

Viunganishi Linganishi

  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Wizara ya Fedha na Mipango
  • Utumishi portal
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu Teknolojia na Sayansi
  • Sekretarieti ya Ajira

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mpwapwa - Dodoma, Tanzania

    Anwani: S.L.P 12

    Simu: 255 26 2320122/2320

    Simu ya Kiganjani: 0684705551

    Barua pepe: info@mpwapwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovutii

Copyright © 2021 Mpwapwa District Council . All rights reserved.