• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mpwapwa District Council
Mpwapwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
        • Fedha
        • Biashara
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Mali asili
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Usafi na Mazingira
      • Utawala na Utumishi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Habari Mawasiliano na Tehama
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Nyuki
    • Mamlaka
      • Mamlaka ya Mji Mdogo wa Mpwapwa
      • Mamlaka ya Maji Mpwapwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashuri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa mbali mbali
    • Fomu za Maombi
    • Miongozo mbali mbali
    • Simulizi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video mbali mbali
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

MKURUGENZI MTENDAJI ATEMBELEA MIRADI YA BOOST.

Posted on: November 18th, 2025

Mkurugenzi Mtendajibwa Halmshauri ya Wilaya ya Mpwapwa Bi Mwanahamisi H Ally Novemba 18,2025 ametembelea Miradi ya kimaendeleo inayoendelea kujengwa katika Idara ya Elimu ya awali na Msingi.

Katika ziara yake hiyo amekagua ujenzi wa Mradi wa Ujenzi wa Vyumba 2 vya Madarasa na Ofisi 1 Shule ya Msingi Kibakwe ikiwa
Shule ilipokea kiasi cha shilingi 27,047,925/= fedha za BOOST kwa ajili ya umaliziaji.

Pia ametembelea Shule ya msingi Ikuyu iliyopokea fedha ya BOOST  kwenye kifungu cha P4R kiasi cha shilingi 140,400,000/= kwa ajili ya utekelezaji wa miradi mbalimbali, hadi sasa imetumika fedha kiasi cha shilingi 36,514,500/= kwa ajili ya ununuzi wa vifaa vya ujenzi. Miradi ya ujenzi inayotekelezwa ni kama ifuatavyo;
Vyumba 3 vya madarasa Elimu msingi
Vyumba 2 vya Madarasa Elimu awali
Vyoo matundu 4 Elimu msingi
Vyoo matundu 6 Elimu awali

Halikadhalika, amekagua ujenzi wa Shule ya Sekondari Massa iliyopokea fedha kutoka TAMISEMI kiasi cha shilingi 302,200,000/= kwa ajili ya ujenzi wa shule ya Elimu ya awali na Msingi kwa kuzingatia shughuli zifuatazo;
Ujenzi wa vyumba 6 vya Madarasa Msingi
Matundu 12 ya Vyoo
Vyuma 2 vya madarasa ya awali na matundu 6 ya vyoo
Jengo la Utawala na Kichomea  taka.

Wakati wa ziara yake hiyo,Mkurugenzi Mtendaji amezitaka kamati na wasimamizi wa miradi hiyo kuengeza kasi ya utendaji kazi ili kwenda sambamba na muda uliowekwa wa kumalizia mradi huo.


Matangazo

  • Tangazo la kuitwa kwenye usahili MpwapwaDC June 27, 2022
  • Tangazo la nafasi za kazi Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa. 2022 April 20, 2022
  • Tangazo la Nafasi za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa May 2022 May 31, 2022
  • Tangazo la kuahirishwa kwa Usahili Halmashauri ya Mpwapwa June 22, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MKURUGENZI MTENDAJI ATEMBELEA MIRADI YA BOOST.

    November 18, 2025
  • WALIMU MSINGI WAPATATIWA MAFUNZO YA UBORESHAJI, UFUNDISHAJI NA UJIFUNZAJI WA KKK NA ENGLISH LANGUAGE.

    November 15, 2025
  • RC SENYAMULE AWATEMBELEA WANAFUNZI WALIOUNGULIWA NA BWENI SEKONDARI YA MTERA NA DAM NA KUWAPA POLE.

    November 12, 2025
  • KAIMU DC AKAGUA MIRADI YA AFYA

    November 13, 2025
  • Tazama zote

Video

Video ya Mpango wa Uuzaji wa Viwanja Eneo la Mazae Block "E" katika Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa -2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ramani ya Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa
  • Muundo wa Baraza la Waheshimiwa Madiwani
  • Ratiba ya Vikao vya Madiwani

Viunganishi Linganishi

  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Wizara ya Fedha na Mipango
  • Utumishi portal
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu Teknolojia na Sayansi
  • Sekretarieti ya Ajira

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mpwapwa - Dodoma, Tanzania

    Anwani: S.L.P 12

    Simu: 255 26 2320122/2320

    Simu ya Kiganjani: 0684705551

    Barua pepe: info@mpwapwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovutii

Copyright © 2021 Mpwapwa District Council . All rights reserved.