• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mpwapwa District Council
Mpwapwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
        • Fedha
        • Biashara
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Mali asili
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Usafi na Mazingira
      • Utawala na Utumishi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Habari Mawasiliano na Tehama
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Nyuki
    • Mamlaka
      • Mamlaka ya Mji Mdogo wa Mpwapwa
      • Mamlaka ya Maji Mpwapwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashuri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa mbali mbali
    • Fomu za Maombi
    • Miongozo mbali mbali
    • Simulizi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video mbali mbali
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

MAADHIMISHO YA SIKU YA LISHE KITAIFA YAFANA BEREGE

Posted on: November 21st, 2025

Maadhimisho wa wiki la lishe kitaifa yameadhimishwa Leo Novemba 21,ambapo kwa Wilaya ya Mpwapwa yameeadhimishwa katika Kata ya Berege kijiji cha Berege na kudhuriwa na Wananchi wa kila rika.

Wakati wa Maadhimisho hayo,Afsa Lishe Wilaya Ndg Eliwaza Ndau ametoa Elimu inayohusiana na makundi yote sita ya vyakula ili kuweza kupata lishe bora kwa mtoto,mama,baba na kila rika.

Pia amesisita jamii isiache kujitahidi kula vyakula vya lishe kwa kumaanisha kila penye kundi la vyakula inapaswa ule japo kidogo kidogo kwa kila siku ili uweze kukamisha mlo bora wa Lishe.

"Hakkkisheni kwa kila siku tujitahidi kula vyakula vya makundi yote sita niliyoyaelezea hata kwa kidogo kidogo tu"

Nae Afisa Tarafa wa Tarafa ya Mima Ndg Irene ambae ndie mgeni rasmi wa maadhimisho hayoakimuwakilisha Mkuu wa Wilaya amesema lishe ni kwa ajili ya wote na sio kwa watu maalum.

Halikadhali ametoa rai kwa wanajamii wote wanapaswa kuyaishi kwa makundi yote sita ya vyakula ili tuweze kupata afya bora.

"Sisi kama jamiii inatupasa tuyaaishi makundi yote ya chakula ambayo yatajumuisha lishe bora"

Hata hivyo ameelezea Lengo la kauli mbiu ya lishe ni kupunguza watoto wenye utapia mlo pamoja na watu wazima, vijana ili kuweza kuepukana na udumavu wa kukosa Lishe bora.

Vilevile, amewasisitiza viongozi wote waende kuwa  mabalozi kwa wenzao na pia wakawajibike katika namna ya kuiishi na  lishe bora.

Maadhimsho haya yameadhimishwa na kauli mbiu isemayo "Afya ni Mtaji,Zingalia Unachokula"



Matangazo

  • Tangazo la kuitwa kwenye usahili MpwapwaDC June 27, 2022
  • Tangazo la nafasi za kazi Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa. 2022 April 20, 2022
  • Tangazo la Nafasi za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa May 2022 May 31, 2022
  • Tangazo la kuahirishwa kwa Usahili Halmashauri ya Mpwapwa June 22, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MAADHIMISHO YA SIKU YA LISHE KITAIFA YAFANA BEREGE

    November 21, 2025
  • DC KIZIGO AONGOZA KIKAO CHA KAMATI YA UTEKELEZAJI ROBO YA KWANZA.

    November 20, 2025
  • MKURUGENZI MTENDAJI ATEMBELEA MIRADI YA BOOST.

    November 18, 2025
  • WALIMU MSINGI WAPATATIWA MAFUNZO YA UBORESHAJI, UFUNDISHAJI NA UJIFUNZAJI WA KKK NA ENGLISH LANGUAGE.

    November 15, 2025
  • Tazama zote

Video

Video ya Mpango wa Uuzaji wa Viwanja Eneo la Mazae Block "E" katika Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa -2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ramani ya Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa
  • Muundo wa Baraza la Waheshimiwa Madiwani
  • Ratiba ya Vikao vya Madiwani

Viunganishi Linganishi

  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Wizara ya Fedha na Mipango
  • Utumishi portal
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu Teknolojia na Sayansi
  • Sekretarieti ya Ajira

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mpwapwa - Dodoma, Tanzania

    Anwani: S.L.P 12

    Simu: 255 26 2320122/2320

    Simu ya Kiganjani: 0684705551

    Barua pepe: info@mpwapwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovutii

Copyright © 2021 Mpwapwa District Council . All rights reserved.