• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mpwapwa District Council
Mpwapwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
        • Fedha
        • Biashara
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Mali asili
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Usafi na Mazingira
      • Utawala na Utumishi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Habari Mawasiliano na Tehama
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Nyuki
    • Mamlaka
      • Mamlaka ya Mji Mdogo wa Mpwapwa
      • Mamlaka ya Maji Mpwapwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashuri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa mbali mbali
    • Fomu za Maombi
    • Miongozo mbali mbali
    • Simulizi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video mbali mbali
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

HATUTOMVUMILIA MTU YOYOTE ATAKAE TUMIA GARI KINYUME NA MATUMIZI YAKE

Posted on: December 2nd, 2025

Mama Samia Suluhu Hassani,ndie anaetoa fedha kujenga vituo vya afya,madaraja,Shule na zahanati.

Hayo yamebainishwa leo Disemba 02,2025 na Mbunge wa Jimbo la Mpwapwa Mhe George N.Malima wakati akikabidhi gari la kubebea wagonjwa (AMBULENCE)katika kituo cha Afya Matomondo.

Akizungumza wakati wa kutoa shukrani kwa niaba ya wananchi wa Matomondo  kwa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amesema Mama Samia ndie anaetoa magari haya ya kubebea wagonjwa,ndie anaetoa fedha za kujengea vituoa vyaafya,madaraja,shule pamoja na zahanati sisi ni wawakilishi wake tu,amabe tunapeleka shida za jimboni  na kuweza kuzitatua.

Pia amemshukuru Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri Bi Mwanahamisi H Ally kwa kuwa bega kwa bega katika usimamizi  mzuri wa fedha zinazoletwa kutoka Serikali kuu za miradi bila kuzifanyia Uchakachuzi wowote.

Nae,Mganga Mkuu Wilaya Dr Stanley Mlay ameelezea mafanikio ya utoaji wa huduma za afya ikiwemo ongezeko la vituo vya afya na zahanati pamoja na vyombo vya usafiri kwa sababu husaidia kufika kwa urahisi maeneo ambayo yalikuwa hayafikiki kiurahisi,pia  hurahisisha katika kuokoa maisha ya wamama wajawazito na wagonjwa wengine.

Hata hivyo,Afisa Mipango Wilaya Ndg Dismas Pesambili ambae ni kaimu Mkurugenzi Mtendaji amesisitiza Utunzaji wa gari hilo la kubebea wagonjwa (AMBULENCE) na kuwaasa lisipotunzwa watarejea kulekule walipotoka,na kusisitiza kutumika katika kazi za kituoni hapo tu na si kwa shuhuli  binafsi na ikigundulika hivyo hatovumiliwa mtu yoyote kwa kitendo hicho.

Makabidhiano hayo yamefanyika leo katika kituo cha Afya Matomondo yakihudhuriwa na Mwenyekiti wa Halmashauri Mhe Richard Maponda,Makamo Mwenyekiti Mhe Baraka Habari,Diwani wa kata ya Matomondo,wa Kata ya Mlembule na Diwani wa kata ya Kimagai pamoja na viongozi tofauti wa dini,wa Chama na Wananchi mbali mbali wa kata ya Matomondo.


Matangazo

  • Tangazo la kuitwa kwenye usahili MpwapwaDC June 27, 2022
  • Tangazo la nafasi za kazi Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa. 2022 April 20, 2022
  • Tangazo la Nafasi za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa May 2022 May 31, 2022
  • Tangazo la kuahirishwa kwa Usahili Halmashauri ya Mpwapwa June 22, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • HATUTOMVUMILIA MTU YOYOTE ATAKAE TUMIA GARI KINYUME NA MATUMIZI YAKE

    December 02, 2025
  • MAADHIMISHO YA SIKU YA LISHE KITAIFA YAFANA BEREGE

    November 21, 2025
  • DC KIZIGO AONGOZA KIKAO CHA KAMATI YA UTEKELEZAJI ROBO YA KWANZA.

    November 20, 2025
  • MKURUGENZI MTENDAJI ATEMBELEA MIRADI YA BOOST.

    November 18, 2025
  • Tazama zote

Video

Video ya Mpango wa Uuzaji wa Viwanja Eneo la Mazae Block "E" katika Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa -2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ramani ya Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa
  • Muundo wa Baraza la Waheshimiwa Madiwani
  • Ratiba ya Vikao vya Madiwani

Viunganishi Linganishi

  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Wizara ya Fedha na Mipango
  • Utumishi portal
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu Teknolojia na Sayansi
  • Sekretarieti ya Ajira

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mpwapwa - Dodoma, Tanzania

    Anwani: S.L.P 12

    Simu: 255 26 2320122/2320

    Simu ya Kiganjani: 0684705551

    Barua pepe: info@mpwapwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovutii

Copyright © 2021 Mpwapwa District Council . All rights reserved.