• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mpwapwa District Council
Mpwapwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
        • Fedha
        • Biashara
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Mali asili
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Usafi na Mazingira
      • Utawala na Utumishi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Habari Mawasiliano na Tehama
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Nyuki
    • Mamlaka
      • Mamlaka ya Mji Mdogo wa Mpwapwa
      • Mamlaka ya Maji Mpwapwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashuri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa mbali mbali
    • Fomu za Maombi
    • Miongozo mbali mbali
    • Simulizi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video mbali mbali
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

Watoto Wenye Ulemavu Wapatiwa Msaada

Posted on: June 16th, 2019

(Na: Shaibu J. Masasi, Afisa TEHAMA - Mpwapwa)

Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa imeadhimisha Siku ya Mtoto Afrika katika Viwanja vya Shule ya Msingi Chazungwa ambapo watoto toka katika Shule za Msingi na Sekondari wamehudhuria. Sherehe hizo zimehudhuriwa na wadau mbalimbali wakiwemo wakuu wa idara, taasisi, waheshimiwa madiwani pamoja na watoto  toka Compasion katika Kanisa la KKKT Mpwapwa.

Katika Sherehe hizo Mgeni rasmi ni Mhe. Honorati Pima ambaye ni diwani wa kata ya Kingiti ambaye pia amemwakilisha Mhe.  George Fuime Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa na Diwani wa Kata ya Mpwapwa Mjini aliyetakiwa kuwa mgeni rami na alishindwa kuhudhuria kutokana na majukumu mengine ya kikazi.

Kaimu Afisa Maendeleo ya Jamii na Vijana Ndug. Patric Mafuru akitoa msaada wa sabuni na sukari kwa watoto waliolazwa katika Hospitali ya Wilaya ya Mpwapwa Wodi namba 7

Katika Hotuba yake mgeni rasmi amesema kuwa "Watoto wanahaki ya kupendwa, kulindwa na kupewa msaada pale unahitajika kwa sababu watoto ni miongoni mwa makundi yenye mahitaji maalum hivyo jamii tuna wajibu wa kuwasaidia na kutoa taarifa kwa wenye uhitaji ili waweze kusaidiwa".

 Katika kuadhimisha sherehe hizo Mgeni rasmi amepata fursa ya kuongea na watoto wenye ulemavu wa akili wanaosoma katika Shule ya Msingi Chazungwa pamoja na kuwapatia  zawadi za sabuni na sukari takribani watoto 50 wakiwa na wazazi wao.

 Vile vile mgeni rasmi na wageni waalikwa wamepata fursa ya kutembelea wodi ya watoto katika Hospitali ya Wilaya ya Mpwapwa na kuwagawia sukari na sabuni kawa watoto zaidi ya 20 waliolazwa hospitalini hapo wakiwa wanaendelea katika matibabu.

 Aidha wazazi wa watoto waliopatiwa msaada huo wameishukuru Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa pamoja na wadau wote waliofanikisha kupatikana kwa msaada huo. Pia wametoa wito kwa jamii kuwa na moyo wa kuisadia jamii yenye mahitaji maalum.

Mgeni rasmi Mhe. Honorati Pima (wa kwanza kulia) alitoa msaada wa sabuni na sukari kwa watoto wenye mahitaji maalum katika Shule ya Msingi Chazungwa

Matangazo

  • Tangazo la kuitwa kwenye usahili MpwapwaDC June 27, 2022
  • Tangazo la nafasi za kazi Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa. 2022 April 20, 2022
  • Tangazo la Nafasi za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa May 2022 May 31, 2022
  • Tangazo la kuahirishwa kwa Usahili Halmashauri ya Mpwapwa June 22, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • NENDENI MKAITANGAZE SERIKALI YA AWAMU YA SITA

    May 24, 2025
  • KIKAO KAZI CHA MAAFISA HABARI WA MIKOA, HALMASHAURI NA TAASISI ZA OFISI YA RAIS TAMISEMI CHAFANYIKA DODOMA

    May 23, 2025
  • AWAMU YA PILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA LAWADIA RASMI MPWAPWA

    May 14, 2025
  • NHIF WATOA MAFUNZO KWA MADIWANI

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

Video ya Mpango wa Uuzaji wa Viwanja Eneo la Mazae Block "E" katika Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa -2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ramani ya Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa
  • Muundo wa Baraza la Waheshimiwa Madiwani
  • Ratiba ya Vikao vya Madiwani

Viunganishi Linganishi

  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Wizara ya Fedha na Mipango
  • Utumishi portal
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu Teknolojia na Sayansi
  • Sekretarieti ya Ajira

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mpwapwa - Dodoma, Tanzania

    Anwani: S.L.P 12

    Simu: 255 26 2320122/2320

    Simu ya Kiganjani: 0684705551

    Barua pepe: info@mpwapwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovutii

Copyright © 2021 Mpwapwa District Council . All rights reserved.