• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mpwapwa District Council
Mpwapwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
        • Fedha
        • Biashara
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Mali asili
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Usafi na Mazingira
      • Utawala na Utumishi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Habari Mawasiliano na Tehama
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Nyuki
    • Mamlaka
      • Mamlaka ya Mji Mdogo wa Mpwapwa
      • Mamlaka ya Maji Mpwapwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashuri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa mbali mbali
    • Fomu za Maombi
    • Miongozo mbali mbali
    • Simulizi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video mbali mbali
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

WATAALAM MBALIMBALI TOKA DODOMA MANISPAA WATEMBELEA KITUO KIMOJA CHA BIASHARA (ONE STOP BUSINESS CENTER) KUJIFUNZA JINSI KITUO HICHO KINAVYOFANYAKAZI

Posted on: August 4th, 2017

 Wataalam hao waliokutembelea Kituo Kimoja cha Biashara (One Stop Business Center) ni Afisa Biashara, Afisa TEHAMA, Mhandisi na Mhasibu wa Mapato. Wataalam hao walielezwa kimamilifu jinsi kituo hicho kinavyofanyakazi na kuweza kutoa leseni ya biashara na vileo ndani ya siku moja.

Katika kituo hicho Kuna Ofisi ya Benki ya NMB, Mfamasia, Afisa Maliasili, Afya, Ardhi, Mhasibu na Mtendaji wa Baraza la Biashara la Wilaya. Vile vile kuna ukumbi wa mikutano na kituo chote kimefungwa Miundombinu Kiwambo ya Kompyuta (Local Area Network). 

Maafisa wote wa ofisi hizo wapo katika kituo hicho na wanaendelea na majukumu yao ya kila siku isipokuwa Benki ya NMB ambao wanakamilisha hatua za mwisho za  kuhamia hapo.

Pia katika kituo hicho kuna mifumo mikuu mitatu inafanya kazi kila siku kama ifuatavyo:-

1. Mfumo wa Kielektroniki wa Ukusanyaji Mapato (LGRCIS).

2. Mfumo wa  BRELA: kwa ajili ya kusajili majina ya biashara za wateja.

3. Mfumo wa Benki ya NMB unaoitwa Cash Collection System (CCS)

 Aidha walielezwa changamoto kubwa ya kituo hicho katika kuhakikisha inatoa leseni ndani ya siku moja ni ukosefu wa TIN namba kwa wafanyabiashara ambao wanatakiwa kwenda Dodoma Mjini kufuata TIN namba hizo. Pia Afisa Biashara Wilayani Mpwapwa aliwaomba wataalam hao walichukue kama changamoto kubwa katika kituo hicho na waweze kutafuta njia ya kusaidia kutatua.


Jengo la Kituo Kimoja cha Biashara (One Stop Business Center)

Jengo la Kituo Kimoja cha Biashara (One Stop Business Center)

Jengo la Kituo Kimoja cha Biashara (One Stop Business Center)


Matangazo

  • Tangazo la kuitwa kwenye usahili MpwapwaDC June 27, 2022
  • Tangazo la nafasi za kazi Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa. 2022 April 20, 2022
  • Tangazo la Nafasi za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa May 2022 May 31, 2022
  • Tangazo la kuahirishwa kwa Usahili Halmashauri ya Mpwapwa June 22, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • NORISH NA WAKULIMA WILAYA YA MPWAPWA

    May 06, 2025
  • VIONGOZI KUTOKA OFISI YA MAKAMU WA RAIS ZANZIBAR WATEMBELEA MIRADI YA MFUKO WA JIMBO MPWAPWA

    May 09, 2025
  • FUM YAFANYA ZIARA MIRADI YA KIMAENDELEO

    April 29, 2025
  • MAADHIMISHO YA MEI MOSI YAFANYIKA SINGIDA

    May 01, 2025
  • Tazama zote

Video

Video ya Mpango wa Uuzaji wa Viwanja Eneo la Mazae Block "E" katika Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa -2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ramani ya Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa
  • Muundo wa Baraza la Waheshimiwa Madiwani
  • Ratiba ya Vikao vya Madiwani

Viunganishi Linganishi

  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Wizara ya Fedha na Mipango
  • Utumishi portal
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu Teknolojia na Sayansi
  • Sekretarieti ya Ajira

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mpwapwa - Dodoma, Tanzania

    Anwani: S.L.P 12

    Simu: 255 26 2320122/2320

    Simu ya Kiganjani: 0684705551

    Barua pepe: info@mpwapwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovutii

Copyright © 2021 Mpwapwa District Council . All rights reserved.