• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mpwapwa District Council
Mpwapwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
        • Fedha
        • Biashara
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Mali asili
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Usafi na Mazingira
      • Utawala na Utumishi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Habari Mawasiliano na Tehama
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Nyuki
    • Mamlaka
      • Mamlaka ya Mji Mdogo wa Mpwapwa
      • Mamlaka ya Maji Mpwapwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashuri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa mbali mbali
    • Fomu za Maombi
    • Miongozo mbali mbali
    • Simulizi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video mbali mbali
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

Wananchi wa Vijijini Wahamasishwa Kufanya Usafi wa Mazingira

Posted on: May 26th, 2018

Mkuu wa Wilaya ya Mpwapwa Mhe. Jabir Shekimweri ametoa wito kwa wananchi wote wa wilaya ya Mpwapwa kufanya usafi katika maeneo ya makazi, biashara na ofisi. Haya yamesemwa na mwakilishi wa Mkuu wa Wilaya ambaye ni Kaimu Katibu tawala wa Wilaya ya Mpwapwa Ndg. Apolonia Temu katika Kijiji cha Gulwe na Chiseyu kata ya Gulwe ambako wakuu wa idara na pamoja na kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya walienda kuhamashisha wananchi kufanya usafi.

Kaimu katibu tawala wa wilaya ya Mpwapwa  Ndg. Apolonia Temu (kushoto) akifanya usafi katika moja ya barabara ya kuelekea zahanati ya kata ya Gulwe. (Picha na Shaibu J. Masasi Afisa TEHAMA-Mpwapwa)

Usafi umefanywa katika zahanati ya  Gulwe na katika eneo la Chiseyu kunakojengwa zahanati ambapo wananchi wamejitokeza kwa wingi ili kujumuika na wataalam wa halmashauri pamoja na wajumbe wa kamati ya ulinzi na usalama katika kufanya usafi wa mazingira.

Sambamba na kufanya usafi, pia miti ya mikorosho imepandwa na viongozi wa wilaya wakiongozwa na kaimu katibu tawala huyo. Hakika uongozi wa kata umeaidi kuituza miti hiyo ya mkorosho takribani  8 na wananchi wamesema wataongeza miche zaidi ya zao hilo la korosho katika mashamba yao wanachohitaji ni ushirikiano toka idara ya kilimo ili kufanikisha azima hiyo, ambapo mwakilishi wa kaimu mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya Mpwapwa Ndg. Baraka Msuya (Afisa Maendeleo ya jamii) ameaidi kutoa ushirikiano kwa wananchi toka kupata mbege au miche, ushauri wa kitaalam na dawa za kuua wadudu zitatolewa bure kwa wale watakaopanda miche ya mikorosho.

Akieleza ujumbe wa mkuu wa wilaya kwa wananchi wa Gulwe, Ndg. Temu amesema "Mkuu wa wilaya ameagiza kuwa kila siku kila mwananchi anapaswa kufanya usafi katika makazi yake na sehemu anazofanyia biashara na isiwe jumamosi ya kila mwisho wa mwezi tu, atakayeshindwa kufanya usafi na kukabainika katika makazi yake kuwa ni machafu hatua kali zitachukuliwa dhidi yake" . Pia Temu ameongeza kuwa "Timu nzima ya wilaya imekuja hapa kwa ajili ya kuhamasisha na kuwaelimisha juu ya usafi, na sio kila siku watakuja hapa kufanya usafi". Hivyo viongozi wa kata zote za Mpwapwa muwahamasishe wananchi kujitokeza wa wingi kufanya usafi wa mazingira na wasiofanya wachukuliwe hatua.

Vile vile kaimu katibu tawala huyo amewataka wananchi wa kata ya Gulwe na Mpwapwa kwa ujumla kuchangamkia fursa zitakazopatikana kutoka na ujenzi wa reli ya treni ya mwendo kasi (Stanadrd Gauge Railway) kama vile kuwekeza katika kibiashara, kilimo, nyumba bora, nzuri na za kisasa za kulala wageni, vyakula na biashara mbalimbali kwa kuwa tunatarajia kuwa na wageni wengi sana kutoka nje na ndani ya nchi ya Tanzania kufika Mpwapwa.

Wananchi  na wataalam wa halmashauri ya Mpwapwa pamoja na kamati ya ulinzi na usalama wakifanya usafi kata ya Gulwe (Picha na: Shaibu J. Masasi, Afisa TEHAMA - Mpwapwa)

Matangazo

  • Tangazo la kuitwa kwenye usahili MpwapwaDC June 27, 2022
  • Tangazo la nafasi za kazi Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa. 2022 April 20, 2022
  • Tangazo la Nafasi za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa May 2022 May 31, 2022
  • Tangazo la kuahirishwa kwa Usahili Halmashauri ya Mpwapwa June 22, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • NENDENI MKAITANGAZE SERIKALI YA AWAMU YA SITA

    May 24, 2025
  • KIKAO KAZI CHA MAAFISA HABARI WA MIKOA, HALMASHAURI NA TAASISI ZA OFISI YA RAIS TAMISEMI CHAFANYIKA DODOMA

    May 23, 2025
  • AWAMU YA PILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA LAWADIA RASMI MPWAPWA

    May 14, 2025
  • NHIF WATOA MAFUNZO KWA MADIWANI

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

Video ya Mpango wa Uuzaji wa Viwanja Eneo la Mazae Block "E" katika Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa -2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ramani ya Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa
  • Muundo wa Baraza la Waheshimiwa Madiwani
  • Ratiba ya Vikao vya Madiwani

Viunganishi Linganishi

  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Wizara ya Fedha na Mipango
  • Utumishi portal
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu Teknolojia na Sayansi
  • Sekretarieti ya Ajira

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mpwapwa - Dodoma, Tanzania

    Anwani: S.L.P 12

    Simu: 255 26 2320122/2320

    Simu ya Kiganjani: 0684705551

    Barua pepe: info@mpwapwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovutii

Copyright © 2021 Mpwapwa District Council . All rights reserved.