• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mpwapwa District Council
Mpwapwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
        • Fedha
        • Biashara
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Mali asili
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Usafi na Mazingira
      • Utawala na Utumishi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Habari Mawasiliano na Tehama
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Nyuki
    • Mamlaka
      • Mamlaka ya Mji Mdogo wa Mpwapwa
      • Mamlaka ya Maji Mpwapwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashuri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa mbali mbali
    • Fomu za Maombi
    • Miongozo mbali mbali
    • Simulizi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video mbali mbali
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

Wananchi wa Mpwapwa Wajitokeza kwa Wingi katika Siku ya Usafi Duniani

Posted on: September 21st, 2019

(Na: Shaibu J. Masasi, Afisa TEHAMA - Mpwapwa)

Wananchi wa Wilaya ya Mpwapwa wamejitokeza kwa wingi katika Siku ya Usafi Duniani kwa kufanya usafi katika maeneo yote ya wilaya pamoja na maeneo ya Soko Kuu la Mpwapwa Mjini na Kituo cha Mabasi. Makundi yaliyojitokeza katika kufanya usafi katika siku hii maalum ni pamoja na Jeshi la Magereza, Jeshi la Kutenga Taifa (JKT), Jeshi la Polisi, Jeshi la Akiba (Mgambo), Vijana wa Skauti, Wafanyabiashara, Wakuu wa Idara wakiongozwa na Ndug. Khamlo Njovu; Mkuu wa Idara ya Maendeleo ya Jamii pia akimwakilisha Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa,  Waheshimiwa madiwani wakiongozwa na Makamu Mwenyekiti wa halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa Mhe. George Fuime, Watendaji wa Kata na Vijiji, na wananchi kwa ujumla.

Katika kuadhimisha siku hiyo, makundi yote yaliyojitokeza wamefanya usafi kwa pamoja na kufanikiwa kukusanya taka nyingi kutoka kila kona ya Wilaya yatapa kama ujazo wa gari aina ya tipa tano na kuzipeleka eneo la kuzitupa na kuteketeza taka.

Aidha katika kufanikisha siku hii maalam na kufanya usafi madhubuti shirika la NIPEFAGIO limetoa vitendea kazi kwa ajili ya kufanyia usafi ikiwemo mifuko ya kuhifadhia na kubebea taka.

Wananchi wa Mpwapwa wakiwa katika  harakati za kufanya usafi katika eneo la Soko Kuu Mpwapwa Mjini.

Baada ya zoezi la kufanya Usafi kuisha, Mwakilishi wa Mkuu wa Wilaya ya Mpwapwa ambaye pia ni Afisa Tarafa wa tarafa ya Mpwapwa Ndug. Obert Mwalyego alipata fursa ya kuongea na wananchi kwa kuwashukuru kwa kuhudhuria na kufanya usafi, na kuagiza yafuatayo:- 

1. Kila jumamosi wananchi wote wa Wilaya ya Mpwapwa wanatakiwa kufanya usafi katika maeneo yao ya kazi na nyumbani.

2. Kila mwananchi katika nyumba yake na mahali pa kazi/biashara ahakikishe anakuwa na chombo cha kitunzia taka.

3. Mwananchi asiyefanya usafi katika eneo lake kwa kila siku ya jumamosi atachukuliwa hatua za kisheria ikiwemo na kutozwa faini.

Pia Ndug. Mwalyego amesisitiza kuwa siku ya jumamosi ya kila wiki ambayo sio jumamosi ya mwisho wa mwezi wananchi wafungue biashara zao mapema ila wawe wameshafanya usafi katika maeneo yao. "Lakini siku ya jumamosi ya mwisho wa mwezi itakuwa kama kawaida biashara zitafunguliwa kuanzia saa nne asubuhi baada ya usafi". alisisitiza.

Matangazo

  • Tangazo la kuitwa kwenye usahili MpwapwaDC June 27, 2022
  • Tangazo la nafasi za kazi Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa. 2022 April 20, 2022
  • Tangazo la Nafasi za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa May 2022 May 31, 2022
  • Tangazo la kuahirishwa kwa Usahili Halmashauri ya Mpwapwa June 22, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • NORISH NA WAKULIMA WILAYA YA MPWAPWA

    May 06, 2025
  • VIONGOZI KUTOKA OFISI YA MAKAMU WA RAIS ZANZIBAR WATEMBELEA MIRADI YA MFUKO WA JIMBO MPWAPWA

    May 09, 2025
  • FUM YAFANYA ZIARA MIRADI YA KIMAENDELEO

    April 29, 2025
  • MAADHIMISHO YA MEI MOSI YAFANYIKA SINGIDA

    May 01, 2025
  • Tazama zote

Video

Video ya Mpango wa Uuzaji wa Viwanja Eneo la Mazae Block "E" katika Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa -2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ramani ya Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa
  • Muundo wa Baraza la Waheshimiwa Madiwani
  • Ratiba ya Vikao vya Madiwani

Viunganishi Linganishi

  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Wizara ya Fedha na Mipango
  • Utumishi portal
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu Teknolojia na Sayansi
  • Sekretarieti ya Ajira

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mpwapwa - Dodoma, Tanzania

    Anwani: S.L.P 12

    Simu: 255 26 2320122/2320

    Simu ya Kiganjani: 0684705551

    Barua pepe: info@mpwapwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovutii

Copyright © 2021 Mpwapwa District Council . All rights reserved.