• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mpwapwa District Council
Mpwapwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
        • Fedha
        • Biashara
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Mali asili
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Usafi na Mazingira
      • Utawala na Utumishi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Habari Mawasiliano na Tehama
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Nyuki
    • Mamlaka
      • Mamlaka ya Mji Mdogo wa Mpwapwa
      • Mamlaka ya Maji Mpwapwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashuri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa mbali mbali
    • Fomu za Maombi
    • Miongozo mbali mbali
    • Simulizi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video mbali mbali
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

WALIMU SPESHO YAFUNGULIWA NA MKURUGENZI MTENDAJI WA HALMASHAURI

Posted on: July 19th, 2025

Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa Bi Mwanahamisi H Ally amefungua Kongamano la Walimu Spesho lililoandaliwa na Bank ya NMB leo Julai 19 2025 katika Ukumbi wa CCM Mpwapwa.

Lengo la kongamano hilo kwa walimu ni kupewa  fursa ya kutoa maoni na mapendekezo juu ya huduma zinazotolewa na Bank ya NMB.

Pia kwa upande mikopo Bank ya NMB wamepewa pongezi kwa kutoa mikopo kwa wingi kwa watumishi wa Serikali kuu na Serikali za Mitaa,pia kujali mahitaji ya wafanyakazi.

Halikadhalika  ametoa raia kwa walimu hao kutumia fursa waliyopatiwa vizuri kwa kujifunza masuala ya kibank ikiwemo mikopo,bima,amana na huduma mbali mbali za NMB ambazo zitawasaidia si kiuchumi hata kuweka hakiba ya baadae ili kuweza kukidhi mahitaji ya dhararu.

"Niendelee kuwapongeza NMB kwani mikopo hii imekuwa msaada sana kwa wafanyakazi katika kukidhi mahitaji mbali mbali katika ngazi za familia na hata kufanikisha maandalizi yao ya baadae pale watakapo staafu"

"Natoa rai kwenu kutumia fursa hii vizuri kujifunza masuala ya kibanki ikiwemo mikopo,bima,amana,na huduma mbali mbali ambazo zitawasiadia sio tu kiuchumi bali pia kujenga utamaduni wa kuweka hakiba."Amesema Mkurugenzi Mtendaji

Nae Meneja mahusiano kutoka Makao makuu Bi Rita Majahasi ametoa mafunzo kuhusu utumiaji wa mfumo wa Utendaji wa Kiutumishi (ess) na utunzaji wa nywila kwa kila mtu huku akiwasisitiza kina mama zaidi kuwa makini n utunzaji wa nywila kwani kesi nyingi zinazotokea zinawahusu wao.

Hata hivyo  ameainisha aina mbali mbali za mikopo zinazopatikana katik Bank hiyo ikiweko,Ada ya Elimu,ukarabati wa nyumba,kujengewa nyumba,kilimo kununuliwa nyumba kwa riba ya13% kuazia mwaka 1_5 na kuanzia miaka 6 _14 kwa riba ya  16%

Halikadhalika amebainisha njia mbili za ulipaji wa mkopo wa nyumba ikiwemo kupitia mshahara wa mkopaji au kulipa kupitia biashara yake binafsi.

Vilevile ameelezea elimu ya fedha inahusiana na matumizi ya kifedha ambayo  itamsaidia mtumiaji mahsusi kwa malengo maalum na kutambua matumizi ya lazima kama vile chakula,mavazi,malazi na matibabu,ada na bili na matumizi yasiyo ya wazima.
Kongamano hilo  lilishindikizwa na maandamano yaliyoanzia Tawi la Bank la NMB hadi Ukumbi wa CCM Mpwapwa.



Matangazo

  • Tangazo la kuitwa kwenye usahili MpwapwaDC June 27, 2022
  • Tangazo la nafasi za kazi Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa. 2022 April 20, 2022
  • Tangazo la Nafasi za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa May 2022 May 31, 2022
  • Tangazo la kuahirishwa kwa Usahili Halmashauri ya Mpwapwa June 22, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • AFISA LISHE WILAYA AWASILISHA UTEKELEZAJI WA MKATABA WA LISHE

    August 28, 2025
  • MSIMAMIZI WA UCHAGUZI JIMBO LA MPWAPWA NA KIBAKWE AWAKABIDHI FOMU ZA UGOMBEA WA UBUNGE WAGOMBEA WA MAJIMBO HAYO

    August 26, 2025
  • DC KIZIGO AFIKIA TAMATI YA ZIARA YAKE

    August 25, 2025
  • DC KIZIGO AENDELEA NA ZIARA YA KUSKILIZA NA KUTATUA KERO ZA WANANCHI

    August 23, 2025
  • Tazama zote

Video

Video ya Mpango wa Uuzaji wa Viwanja Eneo la Mazae Block "E" katika Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa -2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ramani ya Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa
  • Muundo wa Baraza la Waheshimiwa Madiwani
  • Ratiba ya Vikao vya Madiwani

Viunganishi Linganishi

  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Wizara ya Fedha na Mipango
  • Utumishi portal
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu Teknolojia na Sayansi
  • Sekretarieti ya Ajira

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mpwapwa - Dodoma, Tanzania

    Anwani: S.L.P 12

    Simu: 255 26 2320122/2320

    Simu ya Kiganjani: 0684705551

    Barua pepe: info@mpwapwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovutii

Copyright © 2021 Mpwapwa District Council . All rights reserved.