• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mpwapwa District Council
Mpwapwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
        • Fedha
        • Biashara
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Mali asili
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Usafi na Mazingira
      • Utawala na Utumishi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Habari Mawasiliano na Tehama
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Nyuki
    • Mamlaka
      • Mamlaka ya Mji Mdogo wa Mpwapwa
      • Mamlaka ya Maji Mpwapwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashuri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa mbali mbali
    • Fomu za Maombi
    • Miongozo mbali mbali
    • Simulizi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video mbali mbali
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

WALIMU MSINGI WAPATATIWA MAFUNZO YA UBORESHAJI, UFUNDISHAJI NA UJIFUNZAJI WA KKK NA ENGLISH LANGUAGE.

Posted on: November 15th, 2025

Nendeni mkawasimamie watoto wetu wanaotarajia kufanya mtihan wa darasa la pili.

Hayo yamebainishwa leo Novemba 15,2025 katika Ukumbi wa Chuo cha Afya na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa Bi Mwanahamisi H.Ally alipokuwa akifungua mafunzo ya siku mbili kwa Walimu wa Msingi kutoka Shule Mbali mbali  za Mpwapwa.

Akizungumza wakati wa ufunguzi wa mafunzo hayo, Mkurugenzi Mtendaji amesema huu ni mpango wa mwanzo wa kufanya  mtihani wa Taifa wa darasa la pili,ni matumaini yangu kwamba sote tutaweza kufuatilia kwa makini na kupata mbinu mbalimbali ambazo zitatumika katika kuwatahini wanafunzi  wetu.

"Ni jambo jipya ambalo tunapaswa kulielewa ndio maana tuna wakufunzi hapa ambao wamekwenda kupikwa kwa siku sita,wamepata mafunzo haya na leo wanayafikisha kwenu,ni matumaini yangu kwamba sisi wote tutaeeza kufuatilia kwa makini"Amesema Mkurugenzi"

Kwa upandea wake Mwalim Mbate Almasi ameeleza kuwa,mafunzo waliyopatiwa ni yauboreshaji wa  kada ya elimu kwa darasa la awali,la kwanza pamoja na la pili.

Lengo kuu  la mafunzo hayo ni  kutambua matumizi ya kiunzi cha upimaji cha Kitaifa,ikiwa na maana ya muongozo wa namna gani yakuweza kuwatahini wanafunzi wa darasa la  la pili katika  mahiri zao tatu ambazo ni Kusoma Kuandika na Kuhesabu.

Vilevile ameelezea matumizi ya zana ambazo zinatumika kwa mwalim katika upimaji wake,kama vile muongozo wa Kitaifa wa upimaji wa Standi za Kkk darasa la pili,saa na  vielenzo.

Hata hivyo,wameweza kujifunza miongozo ya kusahihisha stadi zote tatu na namna ya kupakua na kupakia  vielenzo pamoja na mitihani kutoka kwenye mfumo,pia namna ya kutahini kwa wanafunzi wa kawaida na wenye mahitaji maalum

Nae, Mkurugenzi Mtendaji amewapongeza Walimu wote wa Msingi pamoja na viongozi wake kaa ujumla  kwa matokeo mazuri ya Darasa la saba na darasa  la nne.


Matangazo

  • Tangazo la kuitwa kwenye usahili MpwapwaDC June 27, 2022
  • Tangazo la nafasi za kazi Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa. 2022 April 20, 2022
  • Tangazo la Nafasi za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa May 2022 May 31, 2022
  • Tangazo la kuahirishwa kwa Usahili Halmashauri ya Mpwapwa June 22, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MKURUGENZI MTENDAJI ATEMBELEA MIRADI YA BOOST.

    November 18, 2025
  • WALIMU MSINGI WAPATATIWA MAFUNZO YA UBORESHAJI, UFUNDISHAJI NA UJIFUNZAJI WA KKK NA ENGLISH LANGUAGE.

    November 15, 2025
  • RC SENYAMULE AWATEMBELEA WANAFUNZI WALIOUNGULIWA NA BWENI SEKONDARI YA MTERA NA DAM NA KUWAPA POLE.

    November 12, 2025
  • KAIMU DC AKAGUA MIRADI YA AFYA

    November 13, 2025
  • Tazama zote

Video

Video ya Mpango wa Uuzaji wa Viwanja Eneo la Mazae Block "E" katika Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa -2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ramani ya Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa
  • Muundo wa Baraza la Waheshimiwa Madiwani
  • Ratiba ya Vikao vya Madiwani

Viunganishi Linganishi

  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Wizara ya Fedha na Mipango
  • Utumishi portal
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu Teknolojia na Sayansi
  • Sekretarieti ya Ajira

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mpwapwa - Dodoma, Tanzania

    Anwani: S.L.P 12

    Simu: 255 26 2320122/2320

    Simu ya Kiganjani: 0684705551

    Barua pepe: info@mpwapwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovutii

Copyright © 2021 Mpwapwa District Council . All rights reserved.