• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mpwapwa District Council
Mpwapwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
        • Fedha
        • Biashara
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Mali asili
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Usafi na Mazingira
      • Utawala na Utumishi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Habari Mawasiliano na Tehama
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Nyuki
    • Mamlaka
      • Mamlaka ya Mji Mdogo wa Mpwapwa
      • Mamlaka ya Maji Mpwapwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashuri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa mbali mbali
    • Fomu za Maombi
    • Miongozo mbali mbali
    • Simulizi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video mbali mbali
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

TBC Yasifu Miradi ya Mpwapwa

Posted on: January 28th, 2019

(Na: Shaibu J. Masasi, Afisa TEHAMA - Mpwapwa)

Shirika la Utangazaji la Tanzania (TBC) leo limetembelea miradi mbalimbali katika Wilaya ya Mpwapwa kwa ajili ya kuandaa Makala Maalum kuhusu miradi inayotekelezwa katika wilaya hiyo. Miradi iliyotembelea ni pamoja na barabara ya kiwango cha lami ya Mpwapwa mjini, Mradi wa Maji Kibakwe, Kituo cha Afya Kibakwe, Shule ya Sekondari Kibakwe, Shule ya Sekondari Mpwapwa, Mradi wa Kitalu cha Miche ya Mikorosho, Katika kutembelea miradi hiyo Mkuu wa Wilaya ya Mpwapwa Mhe. Jabir Shekimweri ameambatana na wataalam toka Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa pamoja na waandishi wa Habari toka TBC wakiongozwa na Ndug. Elisha Elia.

Aidha miradi iliyotembelewa na TBC ni kama ifuatayo:

1. Mradi wa Uzalishaji wa Miche ya Mikorosho katika Kijiji cha Ilolo.

Wilaya ya Mpwapwa imeanza kujikita katika kilimo cha korosho tangu mwaka 2017 na hiki ni moja ya vituo vya uzalishaji miche katika wilaya hii ambapo kwa mwaka huu kila kata ina kitalu angalau kimoja cha kuzalisha miche kama hii. Ameeleza Afisa Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika Ndug. Maria Leshalu. Pia Leshalu ameongeza kuwa "Miche hii huzalishwa na vikundi vya wakulima waliowezeshwa kupata elimu ya namna bora ya kuotesha miche ya Mikorosho ambapo pia wanalipwa na bodi ya korosho kwa kazi hii. Kwa mwaka jana takribani Tsh. 283,000,000.00 ziligawanywa kwa vikundi na mtu mmoja mmoja waliozalisha miche ya mikorosho katika wilaya hii."

Akielezea malengo ya kuanzisha kilimo cha zao la korosho katika Wilaya ya Mpwapwa, Mhe. Shekimeri kuwa "Kwanza: ni Kuunga mkono jitihada zinazofanywa na Serikali ya awamu ya tano katika Kukijanisha Dodoma, kauli mbiu iliyoziduliwa na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Mama Samia Suluhu Hassan, Pili: Korosho ni zao mkakati kwa ajili ya kuinua kipato cha mwananchi au mkulima mmoja mmoja ua kikundi, tatu: Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa itakusanya mapato kupitia zao hili na kufanya Halmashauri kuongeza na kujihimarisha katika mapato yake ya ndani, nne: zao la korosho linajibu changamto ya Tanzania ya viwanda kwa maana kupitia zao hili tutapata viwanda vya kubangua na kusindika korosho, na tano: agenda ya korosho inatarajia kutoa ajira kwa wananchi wa Mpwapwa tangu kuotesha miche, kupanda, kupalilia, kuvuna, kubangua na hata kuuza korosho. Katika hatua zote hizi nguvu kazi inahitajika na hivyo ndio ajira zitapatikana".

                                     Ndug. Maria Leshalu (kushoto)  akimuelezea Mwandishi wa Habari wa TBC Ndug.Elisha Elia (kulia) juu ya kuandaa vitalu vya miche ya mikorosho

2. Mradi wa Barabara ya Lami

Waandishi wa Habari wa TBC wamepata fursa ya kutembelea na kupata maelezo ya kina juu ya barabara ya kiwango cha lami iliyopo Mpwapwa Mjini kuanzia Mtaa wa Mwanakianga hata Mtaa wa Hazina kupitia Mpwapwa Mjini.

Barabara ya lami iliyopo Mpwapwa Mjini


Matangazo

  • Tangazo la kuitwa kwenye usahili MpwapwaDC June 27, 2022
  • Tangazo la nafasi za kazi Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa. 2022 April 20, 2022
  • Tangazo la Nafasi za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa May 2022 May 31, 2022
  • Tangazo la kuahirishwa kwa Usahili Halmashauri ya Mpwapwa June 22, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • NORISH NA WAKULIMA WILAYA YA MPWAPWA

    May 06, 2025
  • VIONGOZI KUTOKA OFISI YA MAKAMU WA RAIS ZANZIBAR WATEMBELEA MIRADI YA MFUKO WA JIMBO MPWAPWA

    May 09, 2025
  • FUM YAFANYA ZIARA MIRADI YA KIMAENDELEO

    April 29, 2025
  • MAADHIMISHO YA MEI MOSI YAFANYIKA SINGIDA

    May 01, 2025
  • Tazama zote

Video

Video ya Mpango wa Uuzaji wa Viwanja Eneo la Mazae Block "E" katika Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa -2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ramani ya Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa
  • Muundo wa Baraza la Waheshimiwa Madiwani
  • Ratiba ya Vikao vya Madiwani

Viunganishi Linganishi

  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Wizara ya Fedha na Mipango
  • Utumishi portal
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu Teknolojia na Sayansi
  • Sekretarieti ya Ajira

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mpwapwa - Dodoma, Tanzania

    Anwani: S.L.P 12

    Simu: 255 26 2320122/2320

    Simu ya Kiganjani: 0684705551

    Barua pepe: info@mpwapwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovutii

Copyright © 2021 Mpwapwa District Council . All rights reserved.