• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mpwapwa District Council
Mpwapwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
        • Fedha
        • Biashara
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Mali asili
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Usafi na Mazingira
      • Utawala na Utumishi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Habari Mawasiliano na Tehama
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Nyuki
    • Mamlaka
      • Mamlaka ya Mji Mdogo wa Mpwapwa
      • Mamlaka ya Maji Mpwapwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashuri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa mbali mbali
    • Fomu za Maombi
    • Miongozo mbali mbali
    • Simulizi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video mbali mbali
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

RC SENYAMULE AWATEMBELEA WANAFUNZI WALIOUNGULIWA NA BWENI SEKONDARI YA MTERA NA DAM NA KUWAPA POLE.

Posted on: November 12th, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe Rosemary S Senyamule amewatembelea Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Mtera Dam kufuatia maafa yalijotokea Novemba 12,2025 ya kuunguliwa na moto Bweni lao na kupoteza kila kitu.

Kufuatia tukio hilo,Uongozi wa Wilaya ya Mpwapwa iliwalazimu kufanya utaratibu wa kuwahamisha wanafunzi hao na kuwagawanya  kwenye Shule mbili ya Mazae na Kimagai "A" ili waweze kuendelea na masomo yao kama kawaida.

Mhe Senyamule aliwatembelea Wanafunzi waliopo Shule ya Sekondari Mazae Novemba 13,2025 akiwa ameambatana na Katibu Tawala wa Mkoa wa Dodoma Dkt Khatibu Kazungu,Kamati ya Usalama Mkoa na Afisa Elimu Mkoa,ambapo walitoa baadhi ya Mahitaji ya wanafunzi hao waliofikwa na majanga hayo ya kuuguliwa na moto  ikiwa lengo ni kuwasidia kwa baadhi ya mahitaji na kuweza kuendelea na masomo yao bila kuwepo changamoto yoyote.

Akizungumza na Wanafunzi hao Mhe Senyamule amesema jambo jema la kumshukuru Mungu ni kwamba hakuna maisha ya mwanafunzi yoyote yaliyopotea zaidi ya vitu tu ambavyo vinaweza kutafutwa,ila uhai wa mtu hauwezi kutafutwa wala kupatikana sehemu yoyote.

"Jambo la kumshukuru Mungu ni kwamba hakuna kati yenu ata mmoja aloungua wala kupata madhara zaid ya kuunguliwa vitu tu, vitu vinatafutwa watu hawatafutwi" amesema Mh Senyamule

Hata hivyo,Mhe Senyamule ameupongeza uongozi wa Wilaya ya Mpwapwa kwa jitihada zao walizochukua kuhakikisha Wanafunzi hao wa kidato cha tano na cha sita wanaendelea kipata masomo yao kama kawaida.

Vilevile kwa mujibu wa Mkuu wa Wilaya ya Mpwapwa Mhe Dkt Sophia Mfaume Kizigo amesema uchunguzi wa awali unaonesha kuwa akali hiyo ya moto imesababishwa na hitilafu ya umeme iliyojitokeza kwa miundombinu ya nishati iliyomo ndani ya jengo hilo.


Matangazo

  • Tangazo la kuitwa kwenye usahili MpwapwaDC June 27, 2022
  • Tangazo la nafasi za kazi Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa. 2022 April 20, 2022
  • Tangazo la Nafasi za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa May 2022 May 31, 2022
  • Tangazo la kuahirishwa kwa Usahili Halmashauri ya Mpwapwa June 22, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MKURUGENZI MTENDAJI ATEMBELEA MIRADI YA BOOST.

    November 18, 2025
  • WALIMU MSINGI WAPATATIWA MAFUNZO YA UBORESHAJI, UFUNDISHAJI NA UJIFUNZAJI WA KKK NA ENGLISH LANGUAGE.

    November 15, 2025
  • RC SENYAMULE AWATEMBELEA WANAFUNZI WALIOUNGULIWA NA BWENI SEKONDARI YA MTERA NA DAM NA KUWAPA POLE.

    November 12, 2025
  • KAIMU DC AKAGUA MIRADI YA AFYA

    November 13, 2025
  • Tazama zote

Video

Video ya Mpango wa Uuzaji wa Viwanja Eneo la Mazae Block "E" katika Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa -2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ramani ya Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa
  • Muundo wa Baraza la Waheshimiwa Madiwani
  • Ratiba ya Vikao vya Madiwani

Viunganishi Linganishi

  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Wizara ya Fedha na Mipango
  • Utumishi portal
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu Teknolojia na Sayansi
  • Sekretarieti ya Ajira

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mpwapwa - Dodoma, Tanzania

    Anwani: S.L.P 12

    Simu: 255 26 2320122/2320

    Simu ya Kiganjani: 0684705551

    Barua pepe: info@mpwapwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovutii

Copyright © 2021 Mpwapwa District Council . All rights reserved.