• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mpwapwa District Council
Mpwapwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
        • Fedha
        • Biashara
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Mali asili
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Usafi na Mazingira
      • Utawala na Utumishi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Habari Mawasiliano na Tehama
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Nyuki
    • Mamlaka
      • Mamlaka ya Mji Mdogo wa Mpwapwa
      • Mamlaka ya Maji Mpwapwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashuri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa mbali mbali
    • Fomu za Maombi
    • Miongozo mbali mbali
    • Simulizi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video mbali mbali
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

NAIBU WAZIRI WA MAJI NA UMWAGILIAJI MH. JUMAA H. AWESO (MB) ATEMBELEA MIRADI YA MAJI WILAYANI MPWAPWA

Posted on: November 4th, 2017


  Naibu Waziri wa Maji na Umwagiliaji, MH. JUMAA H. AWESO (MB)  amefanya  ziara Wilayani Mpwapwa mnamo tarehe 03.11.2017 ambapo alitembelea miradi mbali mbali ya Maji inayotekelezwa hapa Wilayani. Miradi iliyotembelewa ni pamoja na Mradi wa maji wa Kimagai , mradi unaotekelezwa   kupitia ufadhili wa Programu ya Maendeleo ya Sekta ya Maji ( WSDP). Kijiji hiki kipo katika Kata ya Kimagai na kina jumla ya wakazi wapatao 3483 kwa kwa mujibu wa takwimu za sensa ya watu na makazi ya mwaka 2012. Mradi ulijengwa na Kampuni ya PATRIARCH Co. Ltd ya Arusha, chini ya usimamizi wa Mhandisi Mshauri Kampuni ya O & A Consult. Ltd ya Dar es Salaam. Gharama ya Mradi ni Tshs. 347,486,698.00 kwa Mkandarasi aliyejenga na Tshs. 34,401,183 za usimamizi, Kampuni ya O & A Consult. Ltd ya Dar es Salaam na kufanya jumla ya fedha zote zilizotumika kwenye mradi huu kuwa Tshs. 403,791,281.00. Mradi unasimamiwa na Chombo Huru cha Watumiaji Maji (COWSO) kilichoundwa na Halmashauri ya Wilaya kwa kushirikiana na Wananchi wa Kimagai. Hata hivyo kutokana na changamoto za Uendeshaji Kijiji kupitia Chombo Huru cha Watumiaji Maji, kimeingia Mkataba na Wakala kwa ajili ya kuendesha mradi Mafanikio baada ya mradi kukamilika 1. Zaidi ya asilimia 93% ya wananchi wa Kimagai wamefikiwa na huduma ya maji baada ya mradi kukamilika. 2. Hadi sasa kiasi cha fedha kilichopo benki ni Tshs. 2,600,000. 3. Wananchi wanapata huduma ya maji kwa karibu 4. Ujenzi wa nyumba bora umeongezeka. 5. Magonjwa ya milipuko yamepungua. 6. Mahudhurio shuleni yameongezeka. 7. Kupata mradi mwingine wa vyoo matundu 8 yaliyojengwa katika Shule ya Msingi Kimagai.

Matangazo

  • Tangazo la kuitwa kwenye usahili MpwapwaDC June 27, 2022
  • Tangazo la nafasi za kazi Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa. 2022 April 20, 2022
  • Tangazo la Nafasi za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa May 2022 May 31, 2022
  • Tangazo la kuahirishwa kwa Usahili Halmashauri ya Mpwapwa June 22, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • NORISH NA WAKULIMA WILAYA YA MPWAPWA

    May 06, 2025
  • VIONGOZI KUTOKA OFISI YA MAKAMU WA RAIS ZANZIBAR WATEMBELEA MIRADI YA MFUKO WA JIMBO MPWAPWA

    May 09, 2025
  • FUM YAFANYA ZIARA MIRADI YA KIMAENDELEO

    April 29, 2025
  • MAADHIMISHO YA MEI MOSI YAFANYIKA SINGIDA

    May 01, 2025
  • Tazama zote

Video

Video ya Mpango wa Uuzaji wa Viwanja Eneo la Mazae Block "E" katika Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa -2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ramani ya Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa
  • Muundo wa Baraza la Waheshimiwa Madiwani
  • Ratiba ya Vikao vya Madiwani

Viunganishi Linganishi

  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Wizara ya Fedha na Mipango
  • Utumishi portal
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu Teknolojia na Sayansi
  • Sekretarieti ya Ajira

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mpwapwa - Dodoma, Tanzania

    Anwani: S.L.P 12

    Simu: 255 26 2320122/2320

    Simu ya Kiganjani: 0684705551

    Barua pepe: info@mpwapwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovutii

Copyright © 2021 Mpwapwa District Council . All rights reserved.