• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mpwapwa District Council
Mpwapwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
        • Fedha
        • Biashara
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Mali asili
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Usafi na Mazingira
      • Utawala na Utumishi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Habari Mawasiliano na Tehama
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Nyuki
    • Mamlaka
      • Mamlaka ya Mji Mdogo wa Mpwapwa
      • Mamlaka ya Maji Mpwapwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashuri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa mbali mbali
    • Fomu za Maombi
    • Miongozo mbali mbali
    • Simulizi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video mbali mbali
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

Mradi wa TIMIZA MALENGO Watoa Mafunzo Mpwapwa

Posted on: September 24th, 2019

(Na: Shaibu J. Masasi, Afisa TEHAMA - Mpwapwa)

Mradi wa TIMIZA MALENGO umetoa Mafunzo katika Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa kwa maafisa Kilimo na mifumo toka ngazi za kata na vijiji ambapo mafunzo haya yamefanyika katika Ukumbi wa Mamlaka ya Maji Wilayani Mpwapwa. Mafunzo haya yameanza leo tarehe 24/09/2019 hadi 28/09/2019, kwa muda wa siku tano.

Dhumuni la mradi huu ni kutoa mafuzo ya ujasiriamali kwa wasichana balehe na wanawake vijana kutoka katika kaya zinazotekeleza Mradi wa TASAF. Mafunzo haya yanafadhiriwa na TAYOA na TACAIDS.  Wawezeshaji wa mafunzo haya toka ngazi ya Taifa ambao wametoa mafunzo haya ni pamoja na Ndug. Halima Mila na Ndug. Amour. Baada ya mafunzo haya, washiriki wataenda kuwafundisha wasichana balehe na wanawake vijana katika ngazi ya vijiji na watafundisha kwa muda wa siku 12.  

Mkuregenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa (katikati) akiwa katika picha za pamoja na wawezeshaji wa Kitaifa wa Mradi wa TIMIZA MALENGO

Mafunzo yatahusisha kuandaa mipango ya biashara itakayolenga kujiongezea kipato na kuibua shughuli za kiuchumi, na namna ya kutekeleza mipango kazi hiyo. Katika mafunzo haya kuna wawakirishi watano toka Halmashuri ambao watakuwa wasimamizi wakuu wa mradi na kutoa taarifa mbalimbali za mradi ili kufanikisha mradi huu.

Nae, Mkuregenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa Ndugu. Paul Mamba Sweya amewasisitizia washiki kuwa wasikivu na kuuliza wanaoona hajaelewa ili kwenda kutekeleza mradi huu mzuri wenye nia ya kuwakwamua vijina hususani wanawake. Pia ameahidi kutoa ushirikiano kwa lolote litakalohitajika ili kutekeleza mradi huu. 

Pia washiriki wameshukuru ujio wa mradi huu na fursa zake kwa kuwa utawajengea wao na walengwa elimu ya kutosha ya kuanzisha na kusimamia shughuliz za kiuchumi.

Matangazo

  • Tangazo la kuitwa kwenye usahili MpwapwaDC June 27, 2022
  • Tangazo la nafasi za kazi Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa. 2022 April 20, 2022
  • Tangazo la Nafasi za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa May 2022 May 31, 2022
  • Tangazo la kuahirishwa kwa Usahili Halmashauri ya Mpwapwa June 22, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • NORISH NA WAKULIMA WILAYA YA MPWAPWA

    May 06, 2025
  • VIONGOZI KUTOKA OFISI YA MAKAMU WA RAIS ZANZIBAR WATEMBELEA MIRADI YA MFUKO WA JIMBO MPWAPWA

    May 09, 2025
  • FUM YAFANYA ZIARA MIRADI YA KIMAENDELEO

    April 29, 2025
  • MAADHIMISHO YA MEI MOSI YAFANYIKA SINGIDA

    May 01, 2025
  • Tazama zote

Video

Video ya Mpango wa Uuzaji wa Viwanja Eneo la Mazae Block "E" katika Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa -2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ramani ya Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa
  • Muundo wa Baraza la Waheshimiwa Madiwani
  • Ratiba ya Vikao vya Madiwani

Viunganishi Linganishi

  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Wizara ya Fedha na Mipango
  • Utumishi portal
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu Teknolojia na Sayansi
  • Sekretarieti ya Ajira

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mpwapwa - Dodoma, Tanzania

    Anwani: S.L.P 12

    Simu: 255 26 2320122/2320

    Simu ya Kiganjani: 0684705551

    Barua pepe: info@mpwapwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovutii

Copyright © 2021 Mpwapwa District Council . All rights reserved.