• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mpwapwa District Council
Mpwapwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
        • Fedha
        • Biashara
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Mali asili
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Usafi na Mazingira
      • Utawala na Utumishi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Habari Mawasiliano na Tehama
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Nyuki
    • Mamlaka
      • Mamlaka ya Mji Mdogo wa Mpwapwa
      • Mamlaka ya Maji Mpwapwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashuri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa mbali mbali
    • Fomu za Maombi
    • Miongozo mbali mbali
    • Simulizi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video mbali mbali
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

Mpwapwa Yawa Kinara Ukusanyaji wa Mapato Mkoani Dodoma

Posted on: June 26th, 2019

(Na: Shaibu J. Masasi, Afisa TEHAMA - Mpwapwa)

Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa imekuwa kinara katika ukusanyaji wa mapato ya ndani, kwa asilimia 111 mpaka kufikia mwezi Mei 2019 baada ya Halmashauri ya Kondoa Mji ambayo ni ya kwanza kufika lengo. Hayo yamesemwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa Ndug. Paul M. Sweya katika kikao cha Baraza la Madiwani kilichofanyika katika Ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa.

Hii ina maana kuwa Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa imekusanya mapato yake yote iliyotarajiwa kukusanya kwa asilimia 100 na kuongeza ziada ya mapato ya asilimia 11. Ambapo kwa mwaka wa fedha 2018/2019 Halmashauri ilikadiria kukusanya Bilioni 1.7 kwa mapato ya ndani, na hivyo kufanikiwa kukusanya kiasi hicho chote na ziada ya asilimia 11.

Mkuu wa Wilaya ya Mpwapwa Mhe. Jabir Shekimweri amemtaka Mkurugeniz wa Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa kupeleka asilimia 20 kwa kila kijiji, asilimia 10 kwa wanawake, na vijana. Pia ameagiza kulipa posho zote za waheshimiwa madiwani kwa wakati kwa kuwa hakuna sababu ya kutolipa kwa kuwa tumevuka lengo letu la mwaka 2018/2019 ya makusanyo katika mapato ya ndani.

Aidha Mhe. Shekimweri ameipongeza menejimenti ya Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa kwa kushirikiana pamoja katika jitihada za kukusanya mapato kwa kuweka doria usiku na mchana katika vyanzo vyote vya mapato, kuwapiga faini wafanyabiashara walikuwa wanakwepa kulipa ushuru mpaka kufikia lengo hili.

Mhe. Shekimweri, amewaomba waheshimiwa madiwani kuwashawishi wananchi hususan wajasiriamali ili waweze kununua vitambulisho vya mjasiriamali, kujitokeza katika kushiriki katika shughuli za maendeleo kama kujenga miradi iliyopo katika kata zetu kama vile madarasa, maabara na vituo vya kutolea huduma ya afya. Pia amemuomba Meneja wa TARURA kuweza kuziingiza barabara zote za korofi zilizopo katika kata zote za Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa kuziingiza katika Mpango kazi wake ili ziweze kutengenezwa na hatimae wananchi waweze kupata huduma za barabara hizo.

Mkuu wa Wilaya Mhe. Shekimweri amewaomba waheshimiwa madiwani pamoja na wananchi kwa ujumla kuweza kujitokeza kwa wingi katika Mwenge wa Uhuru mwaka 2019 na kuchangia michango ili kufanikisha sherehe hizo zinazotarajiwa kufanyika Mwezi Agosti 2019 katika Wilaya ya Mpwapwa.

Pia Mkuu wa Wilaya Mhe. Shekimweri amewashauri Waheshimiwa madiwani kufanya jitihada za kuupa uwezo Mji wetu wa Mpwapwa ili kuharakiwasha maendeleo ya Mpwapwa kwa kuwa tutapata wakurugenzi wawili na huduma za jamii zitaongezwa na kuwafikia wananchi kwa wakati.


Matangazo

  • Tangazo la kuitwa kwenye usahili MpwapwaDC June 27, 2022
  • Tangazo la nafasi za kazi Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa. 2022 April 20, 2022
  • Tangazo la Nafasi za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa May 2022 May 31, 2022
  • Tangazo la kuahirishwa kwa Usahili Halmashauri ya Mpwapwa June 22, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • NORISH NA WAKULIMA WILAYA YA MPWAPWA

    May 06, 2025
  • VIONGOZI KUTOKA OFISI YA MAKAMU WA RAIS ZANZIBAR WATEMBELEA MIRADI YA MFUKO WA JIMBO MPWAPWA

    May 09, 2025
  • FUM YAFANYA ZIARA MIRADI YA KIMAENDELEO

    April 29, 2025
  • MAADHIMISHO YA MEI MOSI YAFANYIKA SINGIDA

    May 01, 2025
  • Tazama zote

Video

Video ya Mpango wa Uuzaji wa Viwanja Eneo la Mazae Block "E" katika Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa -2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ramani ya Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa
  • Muundo wa Baraza la Waheshimiwa Madiwani
  • Ratiba ya Vikao vya Madiwani

Viunganishi Linganishi

  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Wizara ya Fedha na Mipango
  • Utumishi portal
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu Teknolojia na Sayansi
  • Sekretarieti ya Ajira

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mpwapwa - Dodoma, Tanzania

    Anwani: S.L.P 12

    Simu: 255 26 2320122/2320

    Simu ya Kiganjani: 0684705551

    Barua pepe: info@mpwapwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovutii

Copyright © 2021 Mpwapwa District Council . All rights reserved.