• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mpwapwa District Council
Mpwapwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
        • Fedha
        • Biashara
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Mali asili
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Usafi na Mazingira
      • Utawala na Utumishi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Habari Mawasiliano na Tehama
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Nyuki
    • Mamlaka
      • Mamlaka ya Mji Mdogo wa Mpwapwa
      • Mamlaka ya Maji Mpwapwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashuri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa mbali mbali
    • Fomu za Maombi
    • Miongozo mbali mbali
    • Simulizi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video mbali mbali
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

Mpwapwa Yatarajia Kuuza Viwanja 1289 Eneo la Mazae Block "E"

Posted on: November 20th, 2020

Na: Shaibu J. Masasi, Afisa TEHAMA - Mpwapwa Dc

Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa ipo katika Mpango wa Uuzaji wa Viwanja 1289 katika Eneo la Mazae Block "E". Eneo hilo lipo katika kata ya Mazae na viwanja vipo umbali wa mita 50 kutoka barabara kuu ya Mpwapwa - Dodoma. Katika viwanja hivyo kuna viwanja vya makazi, biashara, makazi na biashara, vyenye ukubwa kuanzia Mdogo, Kati na Kubwa zaidi. Viwanja hivyo vimepipwa na kupangiliwa kwa ustadi mkubwa ambapo kuna maeneo ya wazi, maeneo ya kukusanyia taka, maegesho, viwanja vya michezo, bustani, maeneo ya kujenga shule, nyumba za ibada na taasisi mbalimbali. 

Linatokea Gari ndogo (kushoto) ni barabara ya kuingia eneo la Mazae Block "E" kutoka barabara kuu ya Mpwapwa - Dodoma

Kwa sasa Halmashauri ipo katika hatua ya kusafisha eneo hilo lenye jumla ya viwanja 1289 kwa kuchonga barabara kuu na za mitaa ambapo zoezi hilo kwa kiasi kikubwa limekamilika. Pia miundombinu ya maji na umeme itapatikana katika eneo hilo ambapo wataalam wa umeme toka katika Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) na wataalam wa Maji toka Mamlaka ya Maji Mijini na Vijijini (RUWASA) wa hapa Wilayani Mpwapwa wameshaanza kazi ya kukagua eneo la mradi na kutaka kuanza kazi mara moja.

Ramani ya Eneo la Mazae Block "E"

Akizungumza mbele ya Wakuu wa Idara waliotembelea eneo litakalojengwa Kituo cha Mabasi, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa Ndugu. Paul Sweya amesema "Zoezi la utengenezaji wa barabara limeshakamilika, sasa zoezi linalofuata ni kuweka miundombinu ya maji na umeme katika eneo la Mazae Block "E" linalotarajiwa kuuzwa viwanja 1289 hivi karibuni'.  Ndugu. Sweya ameongeza kuwa "nawakaribisha wananchi kutoka maeneo yote ya Tanzania kuja kununua viwanja hivi ambavyo vipo Mkoa wa Dodoma na Dodoma ni Makao Makuu ya Nchi hivyo, waje wanunue viwanja vilivyopo katika Makao makuu ya Nchi".

Kwa hiyo wananchi wote wenye nia na uwezo wa kununua viwanja hivyo wawe tayari muda wowote viwanja hivyo vitaanza kutangazwa kwa ajili ya kuuzwa.

******Mwisho******


Matangazo

  • Tangazo la kuitwa kwenye usahili MpwapwaDC June 27, 2022
  • Tangazo la nafasi za kazi Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa. 2022 April 20, 2022
  • Tangazo la Nafasi za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa May 2022 May 31, 2022
  • Tangazo la kuahirishwa kwa Usahili Halmashauri ya Mpwapwa June 22, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • NORISH NA WAKULIMA WILAYA YA MPWAPWA

    May 06, 2025
  • VIONGOZI KUTOKA OFISI YA MAKAMU WA RAIS ZANZIBAR WATEMBELEA MIRADI YA MFUKO WA JIMBO MPWAPWA

    May 09, 2025
  • FUM YAFANYA ZIARA MIRADI YA KIMAENDELEO

    April 29, 2025
  • MAADHIMISHO YA MEI MOSI YAFANYIKA SINGIDA

    May 01, 2025
  • Tazama zote

Video

Video ya Mpango wa Uuzaji wa Viwanja Eneo la Mazae Block "E" katika Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa -2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ramani ya Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa
  • Muundo wa Baraza la Waheshimiwa Madiwani
  • Ratiba ya Vikao vya Madiwani

Viunganishi Linganishi

  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Wizara ya Fedha na Mipango
  • Utumishi portal
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu Teknolojia na Sayansi
  • Sekretarieti ya Ajira

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mpwapwa - Dodoma, Tanzania

    Anwani: S.L.P 12

    Simu: 255 26 2320122/2320

    Simu ya Kiganjani: 0684705551

    Barua pepe: info@mpwapwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovutii

Copyright © 2021 Mpwapwa District Council . All rights reserved.