• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mpwapwa District Council
Mpwapwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
        • Fedha
        • Biashara
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Mali asili
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Usafi na Mazingira
      • Utawala na Utumishi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Habari Mawasiliano na Tehama
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Nyuki
    • Mamlaka
      • Mamlaka ya Mji Mdogo wa Mpwapwa
      • Mamlaka ya Maji Mpwapwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashuri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa mbali mbali
    • Fomu za Maombi
    • Miongozo mbali mbali
    • Simulizi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video mbali mbali
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

Mpwapwa Yapata Mkuu wa Wilaya Mpya

Posted on: June 24th, 2021

Wilaya ya Mpwapwa imepata Mkuu wa Wilaya Mpya Mhe. Josephat Paul Maganga awali alikuwa Mkuu wa Wilaya ya Dodoma ameteuliwa na Mhe. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri yaMuungano wa Tanzania kuwa Mkuu wa Wilaya ya Mpwapwa baada ya Mkuu wa Wilaya  wa zamani Mhe. Jabir Mussa Shekimweri kuteuliwakuwa Mkuu wa Wilaya ya Dodoma.Mkuu wa Wilaya Mpya (kushoto) akitambulishwa kwa Kamati ya Ulinzi na Usalama nje ya Jengo la Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya  Mpwapwa 

Aidha makabidhiano ya Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Mpwapwa yamefanyika leo kati ya Mhe. Shekimweri na Mhe. Maganga katika Ofisi ya Wilaya ya Mpwapwa na kushuhudiwa na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mpwapwa Mhe. George Fuime ambaye pia ni diwani wa kata ya Mpwapwa Mjini, Mkurugezi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa Ndugu. Paul M. Sweya, Katibu Tawala wa Wilaya ya Mpwapwa Ndugu. Sarah Komba, Wajumbe wa kamati ya ulinzi na Usalama, Watumishi wa Ofisi ya mkuu wa Wilaya pamoja na baadhi y Wakuu wa Idarawa Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa.

Pia katika hafla hiyo, Mkuu wa Wilaya wa zamani Mhe. Shekimweri kwanza amemshukuru Mhe. Samia Suluhu Hassan kwa kumuamini na kumteua kuwa Mkuu wa Wilaya ya Dodoma; Kisha ameeleza kwa kifupi masuala muhimu yaliyomo katika taarifa ya makabidhiano ya ofisi hususan amejikita kwenye changamoto mbalimbali na jitihada zilizofanywa na ofisi yake kabla ya kupata utezi wa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Dodoma. Changamoto hizo ni pamoja na;- Kukijanisha Dodoma ambapo Wilaya ya Mpwapwa imechagua zao la miti la korosho kuwa zao linaloweza kukijanisha Dodoma na kuleta tija baadae, Migogoro ya ardhi, uharibifu wa mazingira, Miradi hasa Ukumbi wa Halmashauri na Vituo vya Afya, Ujenzi wa Shule za Sekondari za kata kwa kata zisizo na sekondari, Madeni ya wakandalasi na watumishi, Maagizo ya Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya, Ujenzi ya Reli ya Kisasa ya Treni iendayo kasi (SGR) na ukarabati wa reli ya zamani, Ukarabati wa Chuo cha Ualimu Mpwapwa, na Maandalizi ya Mwenge wa Uhuru Julai 31, 2021.

Hata hivyo Mkuu wa Wilaya Mpya Mhe. Maganga ameahidi kuyatekeleza yale yote yaliyoanzishwa na mtangulizi wake kwa kuwa masuala yote ni muhimu na yamegusa kila nyanya za msingi.

Matangazo

  • Tangazo la kuitwa kwenye usahili MpwapwaDC June 27, 2022
  • Tangazo la nafasi za kazi Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa. 2022 April 20, 2022
  • Tangazo la Nafasi za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa May 2022 May 31, 2022
  • Tangazo la kuahirishwa kwa Usahili Halmashauri ya Mpwapwa June 22, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • NORISH NA WAKULIMA WILAYA YA MPWAPWA

    May 06, 2025
  • VIONGOZI KUTOKA OFISI YA MAKAMU WA RAIS ZANZIBAR WATEMBELEA MIRADI YA MFUKO WA JIMBO MPWAPWA

    May 09, 2025
  • FUM YAFANYA ZIARA MIRADI YA KIMAENDELEO

    April 29, 2025
  • MAADHIMISHO YA MEI MOSI YAFANYIKA SINGIDA

    May 01, 2025
  • Tazama zote

Video

Video ya Mpango wa Uuzaji wa Viwanja Eneo la Mazae Block "E" katika Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa -2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ramani ya Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa
  • Muundo wa Baraza la Waheshimiwa Madiwani
  • Ratiba ya Vikao vya Madiwani

Viunganishi Linganishi

  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Wizara ya Fedha na Mipango
  • Utumishi portal
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu Teknolojia na Sayansi
  • Sekretarieti ya Ajira

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mpwapwa - Dodoma, Tanzania

    Anwani: S.L.P 12

    Simu: 255 26 2320122/2320

    Simu ya Kiganjani: 0684705551

    Barua pepe: info@mpwapwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovutii

Copyright © 2021 Mpwapwa District Council . All rights reserved.