• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mpwapwa District Council
Mpwapwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
        • Fedha
        • Biashara
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Mali asili
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Usafi na Mazingira
      • Utawala na Utumishi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Habari Mawasiliano na Tehama
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Nyuki
    • Mamlaka
      • Mamlaka ya Mji Mdogo wa Mpwapwa
      • Mamlaka ya Maji Mpwapwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashuri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa mbali mbali
    • Fomu za Maombi
    • Miongozo mbali mbali
    • Simulizi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video mbali mbali
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

Mkuu wa Wilaya ya Mpwapwa Aitisha Kikao cha Dharura.

Posted on: January 23rd, 2018

Mkuu wa Wilaya ya Mpwapwa Mh. Jabir Shekimweri ameitisha kikao cha dharura kujadili usafi wa mazingira kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha ambazo zinasababisha kusomba na kusambaza takataka ovyo katika Mji wa Mpwapwa. Kikao hicho kimehudhuriwa na wataalam mbalimbali wakiwemo Elimu, Afya, Ardhi, Kilimo, Mifugo na Kamati ya Ulinzi na Usalama.

Mkuu wa Wilaya katika kikao hiki amezungumnzia mambo yafuatayo:-

1. Usafi wa Mazingira 

Aidha Mkuu wa Wilaya amesisitiza wajibu wa kila mwananchi kuhakikisha anafanya usafi katika makazi yake, kutumia vyoo vizuri ili kuepuka magonjwa ya kipindupinu, kufanya usafi katika mitaro na miundombinu ya maji au vyanzo vya maji. Pia amesisitizia kuwa kila jumamosi ya mwisho wa mwezi baada ya usafi atakuwa anafanya kikao kidogo na wanaichi ili kuwahimiza kuwa na mazoea ya kufanya usafi. Vilevile amasema kuwa sheria ziko wazi kuhusu uchafunzi wa mazingira hivyo atakayechafua mazingira hasa kutupa taka katika korongo linalopita katikati ya mji wa Mpwapwa anaweza kutozwa faini ya kuanzia Tsh. 50,000/- hadi Tsh. 500,000/-

2. Ulinzi na Usalama

Mkuu wa Wilaya ameitaka kamati ya Ulinzi na usalama pamoja na wananchi wote kwa ujumla kuhakikisha wanawazuia watoto wanaocheza kwenye madibwi na mito katika kipindi hichi cha mvua. Pia ameongeza kuwa uchimbaji kiholela wa madini ya ujenzi katika kipindi hiki cha mvua si vizuri kwa kuwa kunasababisha mmomonyoko wa udongo na matibwi makubwa.

3. Kilimo

Katika Kilimo Mh. Shekimweri amesema, wananchi wanapaswa kulima kipindi hichi cha msimu wa mvua na kujiwekea mikakati ya kuondoa njaa kwa kulima mazao kama Mtema, mihogo, na mahindi.  Pia amesema lianzishwe daftari maalum la kurekodi wakulima na Afisa Kilimo, Umwagiliaji  na Ushirika afuatilie kwa karibu ili kutoa msaada wa kilimo unapohitajika.

4.Elimu

Idara ya Elimu ihakikishe miundombinu kama madarasa na vyoo inakuwa salama ili wanafunzi wapatiwe elimu wakiwa mahali pa usalama. Pia amesema, wanafunzi wapewe elimu juu ya madhara ya kupata,kumpa mwanafunzi mwenzie, na kutoa mimba.

5. Afya

Katika kuhakikisha huduma ya Afya inamfikia kila mwananchi anapohitaji, Mkuu wa Wilaya amewata wananchi wa Mpwapwa kuwa na bima ya Afya amabayo itamuwezesha kupata huduma ya matibabu hata kama atakuwa hana pesa kwa wakati huo.

Wataalam mbalimbali wakimsikiliza Mkuu wa Wilaya.

Wataalam mbalimbali wakimsikiliza Mkuu wa Wilaya.

Hitimisho:

Mkuu wa Wilaya amesisitiza uwajibikaji kwa watumishi wa umma waliopewa dhamana ya kusimamia masuala mbalimbali katika jamii wafanye hivyo. Pia amewaonya watumishi hao kuwa wasipowajibika ipasavyo watawajibishwa.

Matangazo

  • Tangazo la kuitwa kwenye usahili MpwapwaDC June 27, 2022
  • Tangazo la nafasi za kazi Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa. 2022 April 20, 2022
  • Tangazo la Nafasi za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa May 2022 May 31, 2022
  • Tangazo la kuahirishwa kwa Usahili Halmashauri ya Mpwapwa June 22, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • NORISH NA WAKULIMA WILAYA YA MPWAPWA

    May 06, 2025
  • VIONGOZI KUTOKA OFISI YA MAKAMU WA RAIS ZANZIBAR WATEMBELEA MIRADI YA MFUKO WA JIMBO MPWAPWA

    May 09, 2025
  • FUM YAFANYA ZIARA MIRADI YA KIMAENDELEO

    April 29, 2025
  • MAADHIMISHO YA MEI MOSI YAFANYIKA SINGIDA

    May 01, 2025
  • Tazama zote

Video

Video ya Mpango wa Uuzaji wa Viwanja Eneo la Mazae Block "E" katika Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa -2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ramani ya Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa
  • Muundo wa Baraza la Waheshimiwa Madiwani
  • Ratiba ya Vikao vya Madiwani

Viunganishi Linganishi

  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Wizara ya Fedha na Mipango
  • Utumishi portal
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu Teknolojia na Sayansi
  • Sekretarieti ya Ajira

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mpwapwa - Dodoma, Tanzania

    Anwani: S.L.P 12

    Simu: 255 26 2320122/2320

    Simu ya Kiganjani: 0684705551

    Barua pepe: info@mpwapwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovutii

Copyright © 2021 Mpwapwa District Council . All rights reserved.