• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mpwapwa District Council
Mpwapwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
        • Fedha
        • Biashara
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Mali asili
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Usafi na Mazingira
      • Utawala na Utumishi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Habari Mawasiliano na Tehama
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Nyuki
    • Mamlaka
      • Mamlaka ya Mji Mdogo wa Mpwapwa
      • Mamlaka ya Maji Mpwapwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashuri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa mbali mbali
    • Fomu za Maombi
    • Miongozo mbali mbali
    • Simulizi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video mbali mbali
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

Mkuu wa Wilaya Amuagiza Kaimu Mkurugenzi wa Mpwapwa

Posted on: May 4th, 2018

Mkuu wa Walaya ya Mpwapwa Mhe. Jabir Shekimweri, amemuagiza Kaimu Mkurugenzi wa Wilaya ya Mpwapwa kutembelea miradi ya Vituo vya Afya vya Mima, Kibakwe na Pwaga vinvyoendelea kujengwa, ambapo Kaimu Mkurugenzi huyo amewakilishwa na Afisa Mipango wa Wilaya Ndg. Dismas Pesambili. Aidha Mkuu wa Wilaya ametaka kupata taarifa za kina kuhusu maendeleo ya ujenzi na changamoto zinazowakabiri kamati za ujenzi na watendaji kwa ujumla iliziweze kutatuliwa mara moja na kukamilisha miradi hiyo kwa wakati.

Agizo hili limejili kwa kuwa Mkuu wa Wilaya ameshindwa kuambatana na timu ya Kaimu Mkurugenzi kwenda kutembelea miradi hiyo kutokana na majumu mengine muhimu ya kiofisi kumbana na kuamua kutoa maagizo kwa Kaimu Mkurugenzi. 

Hata hivyo Kaimu Mkurugenzi huyo ametii agizo hilo kwa kutuma timu ya wataalam kwenda kutembelea miradi hiyo,  timu hiyo imemhusisha Afisa Mipango wa Wilaya, Mhandisi wa Ujenzi Wilaya Ndg. Yesse na Kaimu Mganga Mkuu wa Wilaya Ndg. Lymo ambao kwa pamoja wametembelea na kukagua ujenzi wa Vituo vya Afya hivyo. Mwakilishi wa Kaimu Mkurugenzi ameipongeza kamati ya ujenzi kwa hatua iliyofikiwa na kumtaka mkandalasi kwendana na muda, hivyo aongeze bidii ili amalize kwa wakati.

Akielezea mkandalasi wa ujenzi wa kituo cha Afya cha Mima, kuwa nyumba ya mganga, imekamilika kilichobaki ambacho kinamaliziwa sasa ni vitasa vya milango na baadae kumalizia mashimo ya vyoo. Pia ameongeza kuwa katika jengo la maabara bado madirisha, ngazi za kuingilia na mashimo ya vyoo ambavyo ndani ya wiki hii vyote vitakamilika.

Vilevile Mwakilishi wa Kaimu Mkurugenzi na timu yake walipata fursa ya kutembelea jengo la upasuaji, wodi ya akina mama na wodi ya watoto, ambapo zote zinaendelea kujengwa. 

Nyumba ya Mganga katika kituo cha Afya Mima

Jengo la Maabara na hatua ilipofikia sasa, Kituo cha Afya Mima

Mwakilishi wa Kaimu Mkurugenzi (watatu toka kushoto) akitoa maelekezo kwa kamati ya ujenzi, kwenye jengo la wodi ya watoto ambalo lipo katika hatua ya jamvi - Mima

Jengo la Upasuaji katika kituo cha Afya Mima

Mwakilishi wa Kaimu Mkurugenzi (wa kwanza kulia) akiwa na timu yake kukagua Wodi ya akina mama katika kituo cha Afya Mima.

Matangazo

  • Tangazo la kuitwa kwenye usahili MpwapwaDC June 27, 2022
  • Tangazo la nafasi za kazi Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa. 2022 April 20, 2022
  • Tangazo la Nafasi za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa May 2022 May 31, 2022
  • Tangazo la kuahirishwa kwa Usahili Halmashauri ya Mpwapwa June 22, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • NORISH NA WAKULIMA WILAYA YA MPWAPWA

    May 06, 2025
  • VIONGOZI KUTOKA OFISI YA MAKAMU WA RAIS ZANZIBAR WATEMBELEA MIRADI YA MFUKO WA JIMBO MPWAPWA

    May 09, 2025
  • FUM YAFANYA ZIARA MIRADI YA KIMAENDELEO

    April 29, 2025
  • MAADHIMISHO YA MEI MOSI YAFANYIKA SINGIDA

    May 01, 2025
  • Tazama zote

Video

Video ya Mpango wa Uuzaji wa Viwanja Eneo la Mazae Block "E" katika Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa -2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ramani ya Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa
  • Muundo wa Baraza la Waheshimiwa Madiwani
  • Ratiba ya Vikao vya Madiwani

Viunganishi Linganishi

  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Wizara ya Fedha na Mipango
  • Utumishi portal
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu Teknolojia na Sayansi
  • Sekretarieti ya Ajira

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mpwapwa - Dodoma, Tanzania

    Anwani: S.L.P 12

    Simu: 255 26 2320122/2320

    Simu ya Kiganjani: 0684705551

    Barua pepe: info@mpwapwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovutii

Copyright © 2021 Mpwapwa District Council . All rights reserved.