• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mpwapwa District Council
Mpwapwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
        • Fedha
        • Biashara
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Mali asili
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Usafi na Mazingira
      • Utawala na Utumishi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Habari Mawasiliano na Tehama
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Nyuki
    • Mamlaka
      • Mamlaka ya Mji Mdogo wa Mpwapwa
      • Mamlaka ya Maji Mpwapwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashuri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa mbali mbali
    • Fomu za Maombi
    • Miongozo mbali mbali
    • Simulizi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video mbali mbali
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

Mkuu wa Wilaya Akagua Ujenzi wa Vituo Vya Afya Mpwapwa

Posted on: September 26th, 2018

Mkuu wa Wilaya ya Mpwapwa Mhe. Jabir Shekimweri amekagua ujenzi wa vituo vya afya unaoendelea katika kata za Mpwapwa Mjini na Kibakwe. Katika ukaguzi huo Mkuu wa Wilaya amejionea hatua mbalimbali zilizofikiwa katika ujenzi wa vituo hivyo vya afya ambavyo vyote kwa ujumla vipo katika hatua ya ukamilisho.

 Aidha, Mhe. Shekimweri amepongeza kazi nzuri iliyofanyika na kihimiza usimamizi wa pamoja ili kukamilisha kwa wakati ili huduma huduma za afya zianze kutolewa. 

Mkuu wa Wilaya ya Mpwapwa Mhe. Jabir Shekimweri (wanne kulia)  akiwa katika picha ya pamoja na Kamati ya Ulinzi na Usalama mara baada ya kukagua Kituo cha Afya kinachojengwa na Jeshi la Kujenga Taifa kikosi cha Mpwapwa katika kata ya Mpwapwa Mjini (Picha: Theodory Mulokozi - Afisa Mazingira, Mpwapwa)

Jengo la wagonjwa wa nje (Out Patient Department) likiwa katika hatua ya ukamilisho katika Kituo cha Afya Kibakwe (Picha: Theodory Mulokozi - Afisa Mazingira, Mpwapwa)

Majengo ya Kituo cha Afya cha Kibakwe yakiwa katika hatua ya ukamilisho katikakata ya Kibakwe (Picha: Theodory Mulokozi - Afisa Mazingira, Mpwapwa)

Jengo la wagonjwa wa nje (Out Patient Department) likiwa katika hatua ya ukamilisho katika Kituo cha Afya Pwaga (Picha: Theodory Mulokozi - Afisa Mazingira, Mpwapwa)

Majengo ya Kituo cha Afya cha Kibakwe yakiwa katika hatua ya ukamilisho katikakata ya Kibakwe (Picha: Theodory Mulokozi - Afisa Mazingira, Mpwapwa)

Moja ya jengo la kituo cha Afya- Pwaga likiwa katika hatua ya ukamilisho katika kata ya Paga (Picha: Theodory Mulokozi - Afisa Mazingira, Mpwapwa)

Matangazo

  • Tangazo la kuitwa kwenye usahili MpwapwaDC June 27, 2022
  • Tangazo la nafasi za kazi Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa. 2022 April 20, 2022
  • Tangazo la Nafasi za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa May 2022 May 31, 2022
  • Tangazo la kuahirishwa kwa Usahili Halmashauri ya Mpwapwa June 22, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • NORISH NA WAKULIMA WILAYA YA MPWAPWA

    May 06, 2025
  • VIONGOZI KUTOKA OFISI YA MAKAMU WA RAIS ZANZIBAR WATEMBELEA MIRADI YA MFUKO WA JIMBO MPWAPWA

    May 09, 2025
  • FUM YAFANYA ZIARA MIRADI YA KIMAENDELEO

    April 29, 2025
  • MAADHIMISHO YA MEI MOSI YAFANYIKA SINGIDA

    May 01, 2025
  • Tazama zote

Video

Video ya Mpango wa Uuzaji wa Viwanja Eneo la Mazae Block "E" katika Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa -2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ramani ya Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa
  • Muundo wa Baraza la Waheshimiwa Madiwani
  • Ratiba ya Vikao vya Madiwani

Viunganishi Linganishi

  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Wizara ya Fedha na Mipango
  • Utumishi portal
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu Teknolojia na Sayansi
  • Sekretarieti ya Ajira

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mpwapwa - Dodoma, Tanzania

    Anwani: S.L.P 12

    Simu: 255 26 2320122/2320

    Simu ya Kiganjani: 0684705551

    Barua pepe: info@mpwapwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovutii

Copyright © 2021 Mpwapwa District Council . All rights reserved.