• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mpwapwa District Council
Mpwapwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
        • Fedha
        • Biashara
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Mali asili
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Usafi na Mazingira
      • Utawala na Utumishi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Habari Mawasiliano na Tehama
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Nyuki
    • Mamlaka
      • Mamlaka ya Mji Mdogo wa Mpwapwa
      • Mamlaka ya Maji Mpwapwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashuri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa mbali mbali
    • Fomu za Maombi
    • Miongozo mbali mbali
    • Simulizi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video mbali mbali
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

Mkurugenzi Aweka Mikakati ya Kulipa Madeni ya Wafanyabiashara

Posted on: March 27th, 2020

Na: Shaibu J. Masasi; Afisa TEHAMA - Mpwapwa Dc.

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa Ndugu. Paul Mamba Sweya leo amewaita wafanyabiashara, wakandarasi na mafundi ujenzi wanaoidai Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa. Katika kikao hicho Ndugu. Sweya amewataka kila mtu anayeidai Halmshauri ya Wilaya ya Mpwapwa alete nyaraka zote zinazothibitisha uhalali wa madai yake ili kuweza kuhakikiwa na hivyo baadae kuanza kulipwa. Katika kikao hicho wadai wote pamoja na Wakuu wa Idara na Vitengo wamehudhuria katika kikao hicho.

Hata hivyo katika kikao hicho Mkurugenzi aliiteua Kamati Maalum itakayofanya kazi ya kupitia, kukagua, kuchambua na kuandika taarifa sahihi ya madai ya kila mmoja ili Halmasahuri iweze kulipa madeni hayo. Katika Kamati hiyo ameteuliwa Mkuu wa Idara ya Mifugo na Uvuvi Ndug. Godfrey Ayako, Mweka Hazina Ndug. Emmanuel Abraham, Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Sheria Ndug. Joseph J. Manyanga, Mkuu wa Kitengo cha Manunuzi na Ugavi Ndug. George Mwakajinga na Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Ukaguzi Ndug. Rashidi A. Rashid. Kamati hiyo imetangazwa mbele ya wadai hao.

Akielezea Ndug. Sweya amesema "nimefikia uamuzi huu wa kuunda Kamati Maalum ya Kuhakiki madai yenu kwasababu madeni mengine ni ya muda mrefu, nyaraka za madai hazipatikani na watumishi waliokuwa wanafahamu madeni hayo hawapo".

Kwa upande wa wadai, wakiongozwa na Mfanyabiashara maarufu wa vifaa vya Ujenzi Ndug. Marandu, ambaye ni Mwenyekiti wa wafanyabiashara  wameridhia kwa pamoja kuwa madeni yao yahakikiwe ili yaweze kulipwa kwa kupeleka nyaraka za madai yao mbele ye Kamati iliyoundwa na Mkurugenzi Mtendaji.

Wadai wa Halmashauri na Wakuu wa Idara wakiwa katika kikao cha pamoja kujadili utaratibu utakaotumika kuhakiki madaeni (Kushoto) Mkuu wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ndug. Khamlo Njovu.

Aidha katika kikao hicho wamekubaliana kuwa zoezi hilo la kuhakiki madai ya wafanyabiashara yaanze kufanyaka kuanzia leo na Kamati imesema iko tayari kwa kazi hiyo kuanzia sasa.

***Mwisho***

Matangazo

  • Tangazo la kuitwa kwenye usahili MpwapwaDC June 27, 2022
  • Tangazo la nafasi za kazi Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa. 2022 April 20, 2022
  • Tangazo la Nafasi za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa May 2022 May 31, 2022
  • Tangazo la kuahirishwa kwa Usahili Halmashauri ya Mpwapwa June 22, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • NORISH NA WAKULIMA WILAYA YA MPWAPWA

    May 06, 2025
  • VIONGOZI KUTOKA OFISI YA MAKAMU WA RAIS ZANZIBAR WATEMBELEA MIRADI YA MFUKO WA JIMBO MPWAPWA

    May 09, 2025
  • FUM YAFANYA ZIARA MIRADI YA KIMAENDELEO

    April 29, 2025
  • MAADHIMISHO YA MEI MOSI YAFANYIKA SINGIDA

    May 01, 2025
  • Tazama zote

Video

Video ya Mpango wa Uuzaji wa Viwanja Eneo la Mazae Block "E" katika Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa -2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ramani ya Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa
  • Muundo wa Baraza la Waheshimiwa Madiwani
  • Ratiba ya Vikao vya Madiwani

Viunganishi Linganishi

  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Wizara ya Fedha na Mipango
  • Utumishi portal
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu Teknolojia na Sayansi
  • Sekretarieti ya Ajira

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mpwapwa - Dodoma, Tanzania

    Anwani: S.L.P 12

    Simu: 255 26 2320122/2320

    Simu ya Kiganjani: 0684705551

    Barua pepe: info@mpwapwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovutii

Copyright © 2021 Mpwapwa District Council . All rights reserved.