• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mpwapwa District Council
Mpwapwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
        • Fedha
        • Biashara
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Mali asili
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Usafi na Mazingira
      • Utawala na Utumishi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Habari Mawasiliano na Tehama
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Nyuki
    • Mamlaka
      • Mamlaka ya Mji Mdogo wa Mpwapwa
      • Mamlaka ya Maji Mpwapwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashuri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa mbali mbali
    • Fomu za Maombi
    • Miongozo mbali mbali
    • Simulizi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video mbali mbali
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

MGANGA MKUU (W) MPWAPWA ASISITIZA WAGONJWA KWENDA VITUO VYA AFYA KUPATA HUDUMA.

Posted on: September 29th, 2025

 Wagonjwa wametakiwa kuwa na  utaratibu wa kwenda kwa wataalam wa afya kwa ajili ya matibabu ya uhakika na sio kwenda kwa Waganga wa Kienyeji au kununua dawa kwenye maduka ya dawa pasipo na  fuata maelekezo ya wataalam.

Hayo yamesisitizwa Septemba 29,2025 na Mganga Mkuu wa Hospital ya Wilaya ya Mpwapwa Dr Stanley Mlay wakati akifungua rasmi huduma za Mkoba katika Kituo cha Afya Ipera.

Hata hivyo amesema,katika kuunga mkono kampeni ya Mhe Rais, Dr Samia Suluhu Hassan ya kusogeza huduma za Mama na  Ma Dakatari bingwa hadi ngazi za afya ya Msingi,Halmashaùri ya Wilaya ya Mpwapwa imeanzisha utaratibu wa utoaji wa huduma hizo katika maeneo ya kata mbali mbali ambazo zina zahanati pamoja na vituo vya Afya.

 Utaratibu wa huduma hizo unajulikana kwa jina la huduma za mkoba za kliniki kwa ajili ya magonjwa sugu pamoja na upimaji wa afya ya mama wajawazito na watoto wachanga ikiwa na lengo la kusogeza huduma za matibabu karibu na Wananchi kutokana na uwepo wa idadi kubwa watu wenye uhitaji wa huduma hizo

Aidha, huduma ambazo zinatolewa ni pamoja na magonjwa ya ndani ikiwemo magonjwa sugu, magonjwa ya mama wajawazito pamoja na watoto, huduma za uchunguzi kwa kutumia sonographia, upasuaji pamoja na huduma za macho kwa siku mbili kwa kila kituo.

Zoezi hili linaendeshwa na kauli mbiu isemayo '
'Tuzingatie taratibu za matibabu ya kitaalam kwa ustawi ya afya zetu" ambapo kwa Kata ya Ipera,Malolo na Chipogoro litafanyika hadi Octoba 3,2025.

Matangazo

  • Tangazo la kuitwa kwenye usahili MpwapwaDC June 27, 2022
  • Tangazo la nafasi za kazi Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa. 2022 April 20, 2022
  • Tangazo la Nafasi za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa May 2022 May 31, 2022
  • Tangazo la kuahirishwa kwa Usahili Halmashauri ya Mpwapwa June 22, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MKURUGENZI MTENDAJI ATEMBELEA MIRADI YA BOOST.

    November 18, 2025
  • WALIMU MSINGI WAPATATIWA MAFUNZO YA UBORESHAJI, UFUNDISHAJI NA UJIFUNZAJI WA KKK NA ENGLISH LANGUAGE.

    November 15, 2025
  • RC SENYAMULE AWATEMBELEA WANAFUNZI WALIOUNGULIWA NA BWENI SEKONDARI YA MTERA NA DAM NA KUWAPA POLE.

    November 12, 2025
  • KAIMU DC AKAGUA MIRADI YA AFYA

    November 13, 2025
  • Tazama zote

Video

Video ya Mpango wa Uuzaji wa Viwanja Eneo la Mazae Block "E" katika Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa -2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ramani ya Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa
  • Muundo wa Baraza la Waheshimiwa Madiwani
  • Ratiba ya Vikao vya Madiwani

Viunganishi Linganishi

  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Wizara ya Fedha na Mipango
  • Utumishi portal
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu Teknolojia na Sayansi
  • Sekretarieti ya Ajira

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mpwapwa - Dodoma, Tanzania

    Anwani: S.L.P 12

    Simu: 255 26 2320122/2320

    Simu ya Kiganjani: 0684705551

    Barua pepe: info@mpwapwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovutii

Copyright © 2021 Mpwapwa District Council . All rights reserved.