• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mpwapwa District Council
Mpwapwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
        • Fedha
        • Biashara
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Mali asili
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Usafi na Mazingira
      • Utawala na Utumishi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Habari Mawasiliano na Tehama
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Nyuki
    • Mamlaka
      • Mamlaka ya Mji Mdogo wa Mpwapwa
      • Mamlaka ya Maji Mpwapwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashuri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa mbali mbali
    • Fomu za Maombi
    • Miongozo mbali mbali
    • Simulizi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video mbali mbali
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

Mgambo wa Mpwapwa Waiva Kama Wanajeshi

Posted on: November 21st, 2018

(Na: Shaibu J. Masasi, Afisa TEHAMA - Mpwapwa)

Mkuu wa Wilaya ya Mpwapwa Mhe. Jabir Shekimweri leo amefunga rasmi mafunzo ya mgambo yaliyofanyika katika kata ya Chitemo Wilayani Mpwapwa. Katika kufunga mafunzo hayo Mhe. Shekimweri amekagua maonesho mbalimbali ya mbinu za kivita walizooneshwa na wanamgambo hao mahili. Wanamgambo hao wameonesha mbinu ikiwemo za kujificha katika maandaki, kupita katika vizingiti, kupita katika kifaru cha kamba na kupita juu ya kamba kutoka sehemu moja kwenda nyingine.

Mmoja wa wanamgambo waliopata mafunzo akipita juu ya kamba iliyofungwa katika miti miwili mirefu katika Kata ya Chitemo 

Mkuu wa Wilaya amewapongeza sana wanamgambo hao kwa kuhitimu mafunzo yao wakiwa wameiva vizuri na kuwa wakakavu. Pia ametoa wito kwa wananchi wote kuwaruhusu vijana wao kujiunga na mafunzo ya mgambo kwa kuwa mgambo wanasaidia sana katika ulinzi na usalama katika ngazi ya kata na kijiji.

Ameupongeza uongozi wa kata ya Chitemo kwa kukubali mafunzo haya kufanyika katika kata hii na kuweza kuyagharimia, hii ni kwa kuwa mafunzo haya yana umuhimu mkubwa sana hasa katika ulinzi na usalama wa kata hii na kata za jirani.

Mkuuu wa Wilaya ya Mpwapwa Mhe. Jabir Shekimweri (wa kwanza mbele) akienda kukagua maonesho ya wanamgambo waliopata mafunzo

Aidha Mhe. Shekimweri ametoa zawadi ya pesa taslim Tsh. 10,000/= kwa mwanamgambo mmoja aliyepita kwenye kizingiti kwa umahili mkubwa bila kutetemeka.

Pia wanamgambo wametengeneza mradi wao wa ufugaji wa samaki kama Mradi wa Kikundi cha wanamgombo wa Chitemo ambapo wamechimba shimo la kufugia samaki na sasa wanasubiri mvua tu ili waweze kupata maji na kuanza kazi ya kufuga samaki.

Mkuuu wa Wilaya ya Mpwapwa Mhe. Jabir Shekimweri (wa nne kushoto) akishuhudia maonesho ya wanamgambo waliopata mafunzo

Kwa upande wake Mhe. Shekimweri amewapongeza wanamgambo hao kwa kuanzisha mradi huo na amemuagiza Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa Ndug. Paul M. Sweya kukiwezesha kikundi hiki cha Mgambo kwa kuwapatia wataalam washauri wa ufugaji wa samaki na fedha kwa ajili ya kuendesha shughuli hii ya kiuchumi. 

Matangazo

  • Tangazo la kuitwa kwenye usahili MpwapwaDC June 27, 2022
  • Tangazo la nafasi za kazi Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa. 2022 April 20, 2022
  • Tangazo la Nafasi za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa May 2022 May 31, 2022
  • Tangazo la kuahirishwa kwa Usahili Halmashauri ya Mpwapwa June 22, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • NORISH NA WAKULIMA WILAYA YA MPWAPWA

    May 06, 2025
  • VIONGOZI KUTOKA OFISI YA MAKAMU WA RAIS ZANZIBAR WATEMBELEA MIRADI YA MFUKO WA JIMBO MPWAPWA

    May 09, 2025
  • FUM YAFANYA ZIARA MIRADI YA KIMAENDELEO

    April 29, 2025
  • MAADHIMISHO YA MEI MOSI YAFANYIKA SINGIDA

    May 01, 2025
  • Tazama zote

Video

Video ya Mpango wa Uuzaji wa Viwanja Eneo la Mazae Block "E" katika Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa -2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ramani ya Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa
  • Muundo wa Baraza la Waheshimiwa Madiwani
  • Ratiba ya Vikao vya Madiwani

Viunganishi Linganishi

  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Wizara ya Fedha na Mipango
  • Utumishi portal
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu Teknolojia na Sayansi
  • Sekretarieti ya Ajira

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mpwapwa - Dodoma, Tanzania

    Anwani: S.L.P 12

    Simu: 255 26 2320122/2320

    Simu ya Kiganjani: 0684705551

    Barua pepe: info@mpwapwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovutii

Copyright © 2021 Mpwapwa District Council . All rights reserved.