• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mpwapwa District Council
Mpwapwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
        • Fedha
        • Biashara
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Mali asili
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Usafi na Mazingira
      • Utawala na Utumishi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Habari Mawasiliano na Tehama
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Nyuki
    • Mamlaka
      • Mamlaka ya Mji Mdogo wa Mpwapwa
      • Mamlaka ya Maji Mpwapwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashuri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa mbali mbali
    • Fomu za Maombi
    • Miongozo mbali mbali
    • Simulizi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video mbali mbali
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

LIC Yatoa Tathmini ya Miradi Yake

Posted on: November 8th, 2018

Na: Shaibu J. Masasi - Afisa TEHAMA, Mpwapwa

Uongozi wa Mradi wa LIC (Local Investment Climate Project) leo umewakutanisha Waheshimiwa Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa wakiongozwa na Mwenyekiti wa Halmashaurii ya Wilaya ya Mpwapwa Mhe. Donalth S. Nghwenzi pamoja na wakuu wa Idara na Vitengo wa Halmashauri ya Wilaya hiyo katika Ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa. Katika kikao hicho kilichokuwa na mada mbalimbali zilizokuwa zinatolewa na mwakilishi toka LIC ambaye pia ni msimamizi wa Miradi yote ya LIC katika Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa Ndug. Donald, ameleza lengo kuu la kuwakutanisha Madiwani na Wakuu wa Idara wa Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa ni kuwaleta pamoja katika kusimamia miradi ya LIC katika maeneo yao.

Waheshimiwa madiwani na wakuu wa idara wa Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa wakisiliza kwa makini tathmini ya mradi wa LIC katika kutekereza miradi iliyopo Mpwapwa, kwenye Ukumbi wa Halmashauri (Picha Na: Shaibu Masasi - Afisa TEHAMA)

Donald anasema "Wataala wa Halmashauri wa Wilaya ya Mpwapwa wanatoa ujuzi wa kitaalam katika miradi, wakati madiwani mnatoa hamasa na ushawishi kwa wananchi kushiriki katika ujenzi wa miradi pamoja kushimamia uhalali wa matumizi ya fedha kulingana na thamani halisi ya mradi". Hivyo ametoa wito wa madiwani na wakuu wa idara au wataalam kukaa pamoja kujadili na kuufahamu mradi kabla ya kwenda kutekeleza.

Meza kuu ni Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa Mhe. Donalth S. Nghwenzi (katikati), Kaimu Mkurugenzi Mtendaji Ndug. Maria Leshalu (Kushoto) na Makamu Mwenyekiti Mhe. George Fuime (Kulia) wakisiliza tathmini ya mradi wa LIC katika Ukumbi wa Halmashauri (Picha Na: Shaibu Masasi - Afisa TEHAMA)

Vile vile Donald, ameeleza kuwa LIC imefadhiri miradi mingi yenye fedha nyingi katika Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa ikiwemo miradi ya kufunga mtandao kiambo katika jengo la Halmashauri , kununua Mashine za Kielektroniki za Kukusanyia mapato (POS) 12, kununua Kompyuta 10, printa 4, barcode reader mashine 2, kujenga kituo cha biashara na kuweka miundombinu yote, kufadhiri kituo cha wanyamakazi Kibakwe, Ujenzi wa Mfereji wa maji kwa ajili ya kilimo cha umwagiliaji kata ya Lumuma, kufadhiri uendeshaji na vikao vya baraza la biashara na ujenzi wa Mnada wa Ilolo kata ya Mpwapwa Mjini. Hii ni baadhi tu ya miradi ambayo LIC imeifadhiri na inakarikbisha maandiko zaidi ya miradi mbalimbali.

Waheshimiwa madiwani na wakuu wa idara wa Halmasahuri ya Wilaya ya Mpwapwa wakisiliza kwa makini tathmini ya mradi wa LIC katika kutekereza miradi iliyopo Mpwapwa, kwenye Ukumbi wa Halmashauri (Picha Na: Shaibu Masasi - Afisa TEHAMA)

LIC imetoa pongezi kwa uongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa kwa kutekeleza na kusimamia miradi yote ya LIC vizuri maana kuna maeneo mengine wameshindwa kusimamia na kusababisha fedha kuondolewa kupelekwa mahali kwingine kwenye uhutaji, lakini kwa Mpwapwa haijawahi kutokea hili. Ndug. Donald ameeleza.

Kwa maelezo zaidi pakua nyaraka Hizi (Bofya hapa chini)

Matangazo

  • Tangazo la kuitwa kwenye usahili MpwapwaDC June 27, 2022
  • Tangazo la nafasi za kazi Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa. 2022 April 20, 2022
  • Tangazo la Nafasi za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa May 2022 May 31, 2022
  • Tangazo la kuahirishwa kwa Usahili Halmashauri ya Mpwapwa June 22, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • NORISH NA WAKULIMA WILAYA YA MPWAPWA

    May 06, 2025
  • VIONGOZI KUTOKA OFISI YA MAKAMU WA RAIS ZANZIBAR WATEMBELEA MIRADI YA MFUKO WA JIMBO MPWAPWA

    May 09, 2025
  • FUM YAFANYA ZIARA MIRADI YA KIMAENDELEO

    April 29, 2025
  • MAADHIMISHO YA MEI MOSI YAFANYIKA SINGIDA

    May 01, 2025
  • Tazama zote

Video

Video ya Mpango wa Uuzaji wa Viwanja Eneo la Mazae Block "E" katika Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa -2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ramani ya Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa
  • Muundo wa Baraza la Waheshimiwa Madiwani
  • Ratiba ya Vikao vya Madiwani

Viunganishi Linganishi

  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Wizara ya Fedha na Mipango
  • Utumishi portal
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu Teknolojia na Sayansi
  • Sekretarieti ya Ajira

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mpwapwa - Dodoma, Tanzania

    Anwani: S.L.P 12

    Simu: 255 26 2320122/2320

    Simu ya Kiganjani: 0684705551

    Barua pepe: info@mpwapwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovutii

Copyright © 2021 Mpwapwa District Council . All rights reserved.