• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mpwapwa District Council
Mpwapwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
        • Fedha
        • Biashara
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Mali asili
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Usafi na Mazingira
      • Utawala na Utumishi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Habari Mawasiliano na Tehama
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Nyuki
    • Mamlaka
      • Mamlaka ya Mji Mdogo wa Mpwapwa
      • Mamlaka ya Maji Mpwapwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashuri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa mbali mbali
    • Fomu za Maombi
    • Miongozo mbali mbali
    • Simulizi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video mbali mbali
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

LGTI YAWAJENGEA UWEZO WEO,VEO NA MEO

Posted on: November 12th, 2025

LGTI yaanza kujenga uwezo kwa WEO,VEO,MEO kuhusu O&OD yenye Mwelekeo wa Tabianchi na Usawa wa Kijinsia Wilaya Mpwapwa

 Novemba, 12 2025, Chuo cha Serikali za Mitaa (LGTI) kwa kushirikiana na UNCDF kupitia mpango wa LoCAL, wamezindua mafunzo ya siku tatu kwa Watendaji wa Kata (WEOs), Watendaji wa Vijiji (VEOs) na Watendaji wa Mitaa (MEOs) katika Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa.

Mafunzo haya ni mwendelezo wa awamu ya awali iliyotolewa kwa Wawezeshaji wa Kata (WFs) na Kikosi Kazi cha Halmashauri cha O&OD (CTF) katika Wilaya za Chamwino, Kondoa na Mpwapwa. Awamu hii inalenga kuimarisha uwezo wa viongozi wa ngazi za chini kuingiza masuala ya mabadiliko ya tabianchi na usawa wa kijinsia katika mipango shirikishi ya maendeleo kupitia mbinu ya Improved O&OD.

 Lengo kuu la mafunzo hayo ni Kuwajengea watendaji hao uwezo wa vitendo katika kupanga, kutekeleza, na kufuatilia mipango ya maendeleo inayozingatia mabadiliko ya tabianchi, usawa wa kijinsia, na ushirikishwaji wa makundi yote ya jamii  hasa wanawake, vijana, na watu wanaoishi katika mazingira hatarishi.

Katika ufunguzi rasmi wa mafunzo hayo, viongozi wa Halmashauri ya Mpwapwa wamepongeza juhudi za LGTI na UNCDF, wakibainisha kuwa:

 “Improved O&OD ni mfumo rasmi wa serikali kwa kupanga maendeleo kwa njia shirikishi. Kuongezewa kwake kipengele cha mabadiliko ya tabianchi kunakifanya kuwa nyenzo madhubuti katika kusaidia utekelezaji wa mipango na bajeti zinazohimili athari za tabianchi kulingana na mahitaji halisi ya jamii."

Mafunzo haya yanatarajiwa kuongeza ushirikiano kati ya WEOs, VEOs, MEOs, na Wawezeshaji wa Kata (WFs) ambao ndiyo wawezeshaji wa moja kwa moja wa jamii katika kupanga na kutekeleza shughuli za maendeleo zinazohimili mabadiliko ya tabianchi.

Mradi huu unatekelezwa kwa ufadhili wa Ubalozi wa Norway, ambao unapitia UNCDF kufadhili utekelezaji wa mpango wa LoCAL – Local Climate Adaptive Living Facility nchini Tanzania.

Kwa upande wa Mpwapwa, halmashauri inajiandaa kupokea ruzuku za LoCAL ambazo zitaelekezwa kwenye miradi ya kuongeza ustahimilivu wa jamii, ikiwemo miradi ya maji, kilimo na mifugo kwa kuzingatia vipaumbele vitakavyotokana na mchakato wa Improved .

Matangazo

  • Tangazo la kuitwa kwenye usahili MpwapwaDC June 27, 2022
  • Tangazo la nafasi za kazi Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa. 2022 April 20, 2022
  • Tangazo la Nafasi za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa May 2022 May 31, 2022
  • Tangazo la kuahirishwa kwa Usahili Halmashauri ya Mpwapwa June 22, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • DC KIZIGO AONGOZA KIKAO CHA KAMATI YA UTEKELEZAJI ROBO YA KWANZA.

    November 20, 2025
  • MKURUGENZI MTENDAJI ATEMBELEA MIRADI YA BOOST.

    November 18, 2025
  • WALIMU MSINGI WAPATATIWA MAFUNZO YA UBORESHAJI, UFUNDISHAJI NA UJIFUNZAJI WA KKK NA ENGLISH LANGUAGE.

    November 15, 2025
  • RC SENYAMULE AWATEMBELEA WANAFUNZI WALIOUNGULIWA NA BWENI SEKONDARI YA MTERA NA DAM NA KUWAPA POLE.

    November 12, 2025
  • Tazama zote

Video

Video ya Mpango wa Uuzaji wa Viwanja Eneo la Mazae Block "E" katika Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa -2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ramani ya Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa
  • Muundo wa Baraza la Waheshimiwa Madiwani
  • Ratiba ya Vikao vya Madiwani

Viunganishi Linganishi

  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Wizara ya Fedha na Mipango
  • Utumishi portal
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu Teknolojia na Sayansi
  • Sekretarieti ya Ajira

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mpwapwa - Dodoma, Tanzania

    Anwani: S.L.P 12

    Simu: 255 26 2320122/2320

    Simu ya Kiganjani: 0684705551

    Barua pepe: info@mpwapwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovutii

Copyright © 2021 Mpwapwa District Council . All rights reserved.