• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mpwapwa District Council
Mpwapwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
        • Fedha
        • Biashara
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Mali asili
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Usafi na Mazingira
      • Utawala na Utumishi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Habari Mawasiliano na Tehama
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Nyuki
    • Mamlaka
      • Mamlaka ya Mji Mdogo wa Mpwapwa
      • Mamlaka ya Maji Mpwapwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashuri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa mbali mbali
    • Fomu za Maombi
    • Miongozo mbali mbali
    • Simulizi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video mbali mbali
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

LGTI YATOA MAFUNZO KWA WATUMISHI YAKUKABILIANA NA MADILIKO YA TABIA YA NCHI

Posted on: July 30th, 2025

Chuo cha Serikali za Mitaa (LGTI), kwa kushirikiana na Shirika la Umoja wa Mataifa la Maendeleo ya Mitaji (UNCDF), Chini ya Ufadhili wa serikali ya Norway kinatekeleza mpango wa Local Climate Adaptive Living Facility (LoCAL) wenye lengo la kujenga jamii zenye uhimilivu zaidi dhidi ya mabadiliko ya tabianchi.

Kupitia mpango huu, LGTI imezindua mafunzo ya kujenga uwezo kwa kikosi kazi cha Halmashauri (Council Task Force (CTFs)) na Wawezeshaji wa Kata (Ward Facilitator (WFs)) kuhusu kujenga ustahimilivu wa Mabadiliko ya Tabianchi kwa kutumia mbinu ya O&OD iliyoboreshwa katika Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa.

Mafunzo haya yalifunguliwa rasmi na Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri (DED) Mpwapwa, Bwana Dismas Pesambili leo tarehe 30 Julai 2025, ikiwa ni hatua muhimu ya kujumuisha masuala ya tabianchi katika kuibua, kupanga, kutekeleza miradi ya maendeleo ya jamii inayolengwa kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi ili kuwa na usalama wa chakula.

Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa  kwa sasa inatekeleza awamu ya pili ya LoCAL kupitia Mradi wa KILIMO HIMILIVU mpango wa mwaka mmoja (Julai 2025 – Juni 2026). Mradi huu unalenga kata za Godegode na Lumuma, ukihimiza kilimo kinachostahimili mabadiliko ya tabianchi, matumizi endelevu ya ardhi na usimamizi bora wa maji, ili kusaidia jamii za wakulima na wafugaji kuhimili athari za mabadiliko ya tabianchi.


Matangazo

  • Tangazo la kuitwa kwenye usahili MpwapwaDC June 27, 2022
  • Tangazo la nafasi za kazi Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa. 2022 April 20, 2022
  • Tangazo la Nafasi za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa May 2022 May 31, 2022
  • Tangazo la kuahirishwa kwa Usahili Halmashauri ya Mpwapwa June 22, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • AFISA LISHE WILAYA AWASILISHA UTEKELEZAJI WA MKATABA WA LISHE

    August 28, 2025
  • MSIMAMIZI WA UCHAGUZI JIMBO LA MPWAPWA NA KIBAKWE AWAKABIDHI FOMU ZA UGOMBEA WA UBUNGE WAGOMBEA WA MAJIMBO HAYO

    August 26, 2025
  • DC KIZIGO AFIKIA TAMATI YA ZIARA YAKE

    August 25, 2025
  • DC KIZIGO AENDELEA NA ZIARA YA KUSKILIZA NA KUTATUA KERO ZA WANANCHI

    August 23, 2025
  • Tazama zote

Video

Video ya Mpango wa Uuzaji wa Viwanja Eneo la Mazae Block "E" katika Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa -2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ramani ya Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa
  • Muundo wa Baraza la Waheshimiwa Madiwani
  • Ratiba ya Vikao vya Madiwani

Viunganishi Linganishi

  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Wizara ya Fedha na Mipango
  • Utumishi portal
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu Teknolojia na Sayansi
  • Sekretarieti ya Ajira

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mpwapwa - Dodoma, Tanzania

    Anwani: S.L.P 12

    Simu: 255 26 2320122/2320

    Simu ya Kiganjani: 0684705551

    Barua pepe: info@mpwapwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovutii

Copyright © 2021 Mpwapwa District Council . All rights reserved.