• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mpwapwa District Council
Mpwapwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
        • Fedha
        • Biashara
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Mali asili
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Usafi na Mazingira
      • Utawala na Utumishi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Habari Mawasiliano na Tehama
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Nyuki
    • Mamlaka
      • Mamlaka ya Mji Mdogo wa Mpwapwa
      • Mamlaka ya Maji Mpwapwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashuri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa mbali mbali
    • Fomu za Maombi
    • Miongozo mbali mbali
    • Simulizi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video mbali mbali
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

JAMII YATAKIWA KUWAJIBIKA KUCHANJA MBWA NA PAKA.

Posted on: September 28th, 2025

Jamii yahimizwa kuwajibika  kuendeleza kuchanja mbwa na paka wao kila baada ya mwaka chanjo hiyo inapotolewa.

Hayo yamebainishwa Leo Septemba 28,2025 na Ndg Obert Mwalyego kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya Mhe Dkt Sophia Mfaume kizigo wakti wa maadhimisho ya siku ya kichwaa cha Mbwa Dunia,ambapo kwa Wilaya ya Mpwapwa yameeadhimishwa Jumba la Maendeleo Mjini.
 
Halikadhalika,ameitaka jamii kutambua ugonjwa wa kichaa cha Mbwa ni hatari na wanapaswa kuchukua tahadhari mapema na pindi inapotokea mtu ameng'atwa na mbwa hatua za haraka zichukuliwe

Pia amewasisitiza viongozi wa dini wazidi kutoa elimu kwa waumini wao pindi mtu akipata tatizo hilo kukimbilia Hospital na sio kwenda Polisi.

"Lazima mtambue kwamba ugonjwa wa kichaa cha mbwa ni hatari
"Kila mmoja wetu ahakikishe anachukua hatua za haraka akiumwa na mbwa na sio kukimbilia Polisi"Amesema Ndg Mwalyego

Aidha,Mganga Mkuu wa hamshauri Dr Stanley Mlay ameelezea sababu za ugonjwa wa Kichaa cha Mbwa na kusema,kichaa cha mbwa kinasababishwa na virusi ambavyo huwa vinapatikana kwa wanyama kama mbwa na paka na pindi vikizalishwa kwa vingi bila kupatiwa chanjo na kutokea kumuuma mtu ugonjwa huo hutokea.

Hata hivyo,amesema dalili mbalimbali hujitokeza kwa mtu aliyepata kichaa cha mbwa ikiwemo kujiskia homa,kutoa mate na misuli kukakamaa na hata kubweka kama mbwa.

Nae, Mkuu wa  Idara ya Kilimo, Mifugo na UvuviDr Emanuel Lymo amesema Mbwa 2500 wanatarajiwa kuchanja wakiwemo na Paka,vilevile amewashukuru wadau mbalimbali ambao wamefanikisha zoezi hilo ikiwemo Wizara ya Mifugo na Uvuvi,Wizara ya Afya,INADES,TAWESO na kadhalika.

Chanjo ya kichaa cha Mbwa hutolewa kwa mwaka mara moja na pindi ikitokea mtu ameumwa na mbwa ambae ana kichaa inaushauriwa kusafisha sehemu iliyopata jeraha kwa maji tiririka na sabuni lakini pia kukimbilia kitoa cha Afya kwa haraka.


Matangazo

  • Tangazo la kuitwa kwenye usahili MpwapwaDC June 27, 2022
  • Tangazo la nafasi za kazi Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa. 2022 April 20, 2022
  • Tangazo la Nafasi za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa May 2022 May 31, 2022
  • Tangazo la kuahirishwa kwa Usahili Halmashauri ya Mpwapwa June 22, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MKURUGENZI MTENDAJI ATEMBELEA MIRADI YA BOOST.

    November 18, 2025
  • WALIMU MSINGI WAPATATIWA MAFUNZO YA UBORESHAJI, UFUNDISHAJI NA UJIFUNZAJI WA KKK NA ENGLISH LANGUAGE.

    November 15, 2025
  • RC SENYAMULE AWATEMBELEA WANAFUNZI WALIOUNGULIWA NA BWENI SEKONDARI YA MTERA NA DAM NA KUWAPA POLE.

    November 12, 2025
  • KAIMU DC AKAGUA MIRADI YA AFYA

    November 13, 2025
  • Tazama zote

Video

Video ya Mpango wa Uuzaji wa Viwanja Eneo la Mazae Block "E" katika Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa -2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ramani ya Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa
  • Muundo wa Baraza la Waheshimiwa Madiwani
  • Ratiba ya Vikao vya Madiwani

Viunganishi Linganishi

  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Wizara ya Fedha na Mipango
  • Utumishi portal
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu Teknolojia na Sayansi
  • Sekretarieti ya Ajira

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mpwapwa - Dodoma, Tanzania

    Anwani: S.L.P 12

    Simu: 255 26 2320122/2320

    Simu ya Kiganjani: 0684705551

    Barua pepe: info@mpwapwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovutii

Copyright © 2021 Mpwapwa District Council . All rights reserved.