• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mpwapwa District Council
Mpwapwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
        • Fedha
        • Biashara
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Mali asili
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Usafi na Mazingira
      • Utawala na Utumishi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Habari Mawasiliano na Tehama
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Nyuki
    • Mamlaka
      • Mamlaka ya Mji Mdogo wa Mpwapwa
      • Mamlaka ya Maji Mpwapwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashuri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa mbali mbali
    • Fomu za Maombi
    • Miongozo mbali mbali
    • Simulizi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video mbali mbali
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

DED MPWAPWA NA ZIARA YA MIRADI MWAKA MPYA WA FEDHA

Posted on: November 21st, 2025

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa Bi Mwanahamisi H.Ally amefanya ziara ya kukagua miradi ya kimaendeleo ya kipindi cha robo ya kwanza kwa mwaka wa fedha 2025/2026.

Ziara hiyo iliyofanyika Octoba 21,2025 akiambatana na wakuu wa idara na vitengo ametembelea kata ya Kimaghai,Mazae na Mpwapwa Mjini.

Katika kata ya Kimaghai ametembelea mradi wa ujenzi wa Zahanati ya Inzovu ambayo imegharimu kiasi cha shilingi 60,170,00 kutoka Serikali kuu kupitia mradi wa P4R kwa ajili ujenzi wa mnara wa tank la maji na ununuzi wa lita 10,000,kitakasa mikono,kichomea taka,shimo la kondo la nyuma la mama baada ya kujifungua,choo cha watumishi na choo cha wateja pamoja na kufanya maboresho ya chumba cha kujifungua,Mradi umekamilika kwa asilimia 100.
Hata hivyo ujenzi wa Zahanati ya kimaghai ambayo imepatiwa kiasi cha fedha 60,000,000 kutoka serikali kuu kwa ajili ya umaliziaji wa Zahanati hiyo na vyoo,ujenzi unaendelea.

Kwa upande wa Mradi wa ujenzi wa Shule ya Msingi Msejelele ambayo imepatiwa shilingi 78,165,00 kutoka Serikali kuu kwa ajili ya umaliziaji wa ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa na matundu matatu ya vyoo,ujenzi unaendelea na umefikia hatua ya upauaji.

 Halikadhalika ametembelea ujenzi wa mradi wa Zahati ya Iyoma iliopo kata ya Gulwe ambayo imepatiwa kiasi cha shiling 60,000,000 kutoka Serikali kuu kwa ajili ya umaliziaji wa jengo la zahanati lililoanzishwa na nguvu za wananchi,ujenzi unaendelea na upo katika hatua ya upigaji lipu jengo,na kiasi cha shiling 30,000,000 kimeshatumika.

Pia amekagua ujenzi wa Nyumba za wakuu wa idara ambazo zimepatiwa kias cha shilingi 350,000,000 kutoka Serikali kuu kwa ajili ya umaliziaji wa nyumba hizo,hatua iliyofikia ni muendelezo wa manunuzi ya vifaa vya ujenzi kwa ajili ya kuendelea n ujenzi huo.

Ziara hiyo ilimalizia ukaguzi wa ujenzi wa Ofisi mpya ya Halamshauri inayoendelea kujengwa Mbuyuni iliopo kata ya Mpwapwa Mjini,ambayo kiasi cha shilingi 800,000,000 fedha kutoka Serikali kuu kwa ajili ya ujenzi wa ofisi hiyo kwa hatua ya mwanzo,kazi bado inaendelea.
Mkurugenzi Mtendaji amewata wasimamizi wa miradi hiyo kuongeza kasi ya utendaji kazi wao ili kuendana na muda uliopangwa na pia kuengeza  nguvu kazi


Matangazo

  • Tangazo la kuitwa kwenye usahili MpwapwaDC June 27, 2022
  • Tangazo la nafasi za kazi Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa. 2022 April 20, 2022
  • Tangazo la Nafasi za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa May 2022 May 31, 2022
  • Tangazo la kuahirishwa kwa Usahili Halmashauri ya Mpwapwa June 22, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MKURUGENZI MTENDAJI ATEMBELEA MIRADI YA BOOST.

    November 18, 2025
  • WALIMU MSINGI WAPATATIWA MAFUNZO YA UBORESHAJI, UFUNDISHAJI NA UJIFUNZAJI WA KKK NA ENGLISH LANGUAGE.

    November 15, 2025
  • RC SENYAMULE AWATEMBELEA WANAFUNZI WALIOUNGULIWA NA BWENI SEKONDARI YA MTERA NA DAM NA KUWAPA POLE.

    November 12, 2025
  • KAIMU DC AKAGUA MIRADI YA AFYA

    November 13, 2025
  • Tazama zote

Video

Video ya Mpango wa Uuzaji wa Viwanja Eneo la Mazae Block "E" katika Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa -2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ramani ya Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa
  • Muundo wa Baraza la Waheshimiwa Madiwani
  • Ratiba ya Vikao vya Madiwani

Viunganishi Linganishi

  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Wizara ya Fedha na Mipango
  • Utumishi portal
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu Teknolojia na Sayansi
  • Sekretarieti ya Ajira

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mpwapwa - Dodoma, Tanzania

    Anwani: S.L.P 12

    Simu: 255 26 2320122/2320

    Simu ya Kiganjani: 0684705551

    Barua pepe: info@mpwapwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovutii

Copyright © 2021 Mpwapwa District Council . All rights reserved.