• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mpwapwa District Council
Mpwapwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
        • Fedha
        • Biashara
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Mali asili
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Usafi na Mazingira
      • Utawala na Utumishi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Habari Mawasiliano na Tehama
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Nyuki
    • Mamlaka
      • Mamlaka ya Mji Mdogo wa Mpwapwa
      • Mamlaka ya Maji Mpwapwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashuri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa mbali mbali
    • Fomu za Maombi
    • Miongozo mbali mbali
    • Simulizi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video mbali mbali
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

BASIN YATOA MAFUNZO KWA VIONGOZI NA WATAALAM KUKABILIANA NA MAJANGA

Posted on: September 10th, 2025

Mradi wa Behavioural Adaptation for Water Security and INclusion (BASIN)umetoa mafunzo kwa viongozi na wataalam kuhusu taarifa za tahadhari ya mapema ili kuweza kukabiliana na majanga ya hali ya hewa kutokana na mabadiliko ya tabianchi Sepptemba 10,2025 katika Ukumbi wa Mkuu wa Wilaya ya Mpwapwa.

Mkurugenzi kutoka Shahidi wa Maji ameieleza  BASIN  ni  mradi wa kiutafiti unaojaribu kuunganisha,kutathmini,na kutumia maarifa kutoka katika Sayansi ya tabia na saikoloji ili kuimarisha hatua za kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi na kuengeza uhakika wa maji uliojumuishi kwa makundi yaliyo hatarini zaid.

Hata hivyo,amesema suala la uhakika wa maji ni suala la kimsingi  la usalama wa Taifa hii ni kwa sababu bila ya maji uhakika wa chakula,pia ili nishati safi ipatikane katika Nchi ni lazima uhakika wa maji uwepo hii ni kwasababu maji  ndio chanzo pekee cha uzalishaji wa umeme.

Halihadhalika amesema Maji ni silaha,ila huathiriwa na vitu tofauti ikiwemo Mabadilko ya tabianchi,tabia za kibinaada zinazopelekea kuharibu vyanzo vya maji.

"Haya maji yanaathiriwa na changamoto tofauti tofouti,changamoto moja wapo ni badiliko ya tabianchi yanaathiri vyanzo vyetu vya maji na tabia za kibinaadam na ndio maana leo tunazungumza habari ya rasilimali maji na mabadiliko ya tabianchi"amesema Bw.Dugange

Nae Meneja huduma za hali ya hewa kwa rasilimali maji Ndg Suleimani Chillo amesema lengo la mradi ni kutoa tahadhari za mapema, na kutoa  taarifa ya hali ya hewa kuweza kutumika sawa sawa kwa wakulima na wafugaji ili waweze kujiandaa na hali ya hewa ya baaadae,hii ni kutokana na matokeo ya tafiti zilizofanyika na kubainika taarifa za hali ya hewa hazifiki kwa wananchi na wala hakuna taarifa mahsusi inayotolewa kutoa tahadhari.
 
Vilevile ameelezea Mamlaka ya hali ya hewa  hutoa taarifa pindi kutakapokuwa na viashiria vya mvua kubwa,ili kuweka tahadhari kwa wananchi kuepukana na madhara ambayo yanaweza kutokea.

Taarifa ya matarajio ya hali mbaya ya hali ya hewa kwa Mpwapwa imewasilishwa ikiambatana na angalizo,uwezekano wa kutokea kwa majanga pamoja na kiwango cha athari zinazoweza kutokea.



Matangazo

  • Tangazo la kuitwa kwenye usahili MpwapwaDC June 27, 2022
  • Tangazo la nafasi za kazi Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa. 2022 April 20, 2022
  • Tangazo la Nafasi za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa May 2022 May 31, 2022
  • Tangazo la kuahirishwa kwa Usahili Halmashauri ya Mpwapwa June 22, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • WATUMISHI WATAKIWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI,UJUZI NA MAARIFA

    September 15, 2025
  • TIMU YA MKOANI YAFANYA UKAGUZI WA UJENZI WA OFISI MPYA YA HALMASHAURI

    September 12, 2025
  • WAKUU WA IDARA NA VITENGO WAFANYA ZIARA YA UJENZI WA HALMASHAURI

    September 12, 2025
  • VIONGOZI WA VIJIJI NA MAAFISA UGANI WAPATA MAFUNZO KUTOKA BASIN NA TMA

    September 11, 2025
  • Tazama zote

Video

Video ya Mpango wa Uuzaji wa Viwanja Eneo la Mazae Block "E" katika Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa -2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ramani ya Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa
  • Muundo wa Baraza la Waheshimiwa Madiwani
  • Ratiba ya Vikao vya Madiwani

Viunganishi Linganishi

  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Wizara ya Fedha na Mipango
  • Utumishi portal
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu Teknolojia na Sayansi
  • Sekretarieti ya Ajira

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mpwapwa - Dodoma, Tanzania

    Anwani: S.L.P 12

    Simu: 255 26 2320122/2320

    Simu ya Kiganjani: 0684705551

    Barua pepe: info@mpwapwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovutii

Copyright © 2021 Mpwapwa District Council . All rights reserved.