• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mpwapwa District Council
Mpwapwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
        • Fedha
        • Biashara
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Mali asili
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Usafi na Mazingira
      • Utawala na Utumishi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Habari Mawasiliano na Tehama
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Nyuki
    • Mamlaka
      • Mamlaka ya Mji Mdogo wa Mpwapwa
      • Mamlaka ya Maji Mpwapwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashuri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa mbali mbali
    • Fomu za Maombi
    • Miongozo mbali mbali
    • Simulizi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video mbali mbali
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

Baraza la Biashara Kujadili Mkakati wa Viwanda Mpwapwa

Posted on: April 30th, 2018

Baraza la Biashara la Wilaya ya Mpwapwa ambalo Mwenyekiti wake ni Mkuu wa Wilaya ya Mpwapwa Mhe. Jabir Shekimweri leo tarehe 30 April 2018 limefanya kikao chake cha kujadili Mikakati ya kujenga viwanda Wilayani Mpwapwa. Kikao hicho kilihudhuriwa na wajumbe wote wa sekta ya umma na binafsi ambao kwa idadi yao walikuwa 46.

Wajumbe wakifuatilia kwa makini kikao cha Baraza la Biashara Juu ya Mikakati ya Kuanzishwa Viwanda.

Katika Mikakati ya Kujenga viwanda, Baraza hilo limejadili kwa kina aina ya viwanda vinavyotarajiwa kujengwa Wilayani Mpwapwa ni kama ifuatavyo:-

1. Viwanda Vidogo sana (Micro enterprise ) ambvyo vitaajiri wafanyakazi kuanzia mtu 1 hadi 4 na mtaji wake ni hadi kufikia Tsh. milioni 5.

  

Mfano wa viwanda vidogo sana vinavyotarajiwa kujengwa Mpwapwa (Picha na; SIDO)

2. Viwanda Vidogo (Small Enterprise) ambavyo vitaajiri wafanyakazi kuanzia 5 hadi 49 na mtaji wake ni zaidi ya Tsh. Milioni 5 hadi Milioni 200.

Mfano wa viwanda vidogo vinavyotarajiwa kujengwa Mpwapwa (Picha na: SIDO)

Mfano wa viwanda vidogo vinavyotarajiwa kujengwa Mpwapwa (Picha na: SIDO)

3. Viwanda Vya Kati (Medium Enterprise) ambavyo vitaajiri wafanyakazi kuanzia 50 hadi 99 na mtaji wake ni zaidi ya Tsh milioni 200 hadi Tsh milioni 800.

Mfano wa viwanda vya kati na vikubwa vinavyotarajiwa kujengwa Mpwapwa (Picha na: SIDO)

4.Viwanda vikubwa (Large Enterprise) ambavyo vitaajiri wafanyakazi kuanzia 100 na kuendelea, na mtaji wake ni zaidi ya TSh. Milioni 800.


Aidha katika kikao hicho, Shirika la Kuhudumia Viwanda Vidogo (SIDO) wamefanya wasilisho la Uanzishwaji na Uendelezaji wa Viwanda kwa Mfumo wa Kongano, ambalo madhumuni makuu la wasilisho hili ni kueleza mikakati na jinsi ya kuanzishwa kwa Viwanda Wilayani Mpwapwa. Pia pia wasilisho hilo limeonyesha shughuli muhimu za kiuchumi katika wilaya ya Mpwapwa ambazo ni Kilimo cha Mazo kama mahindi, karanga, alizeti na Mifugo kama vile ng'ombe, mbuzi na kondoo. Kwa shughuli hizi viwanda tarajiwa vitapata malighafi kwa ajili ya utengenezaji wa bidhaa mbalimbali.

Baada ya Kikao hicho, Mkuu wa Wilaya ya Mpwapwa amepongeza mikakati hiyo ya kuinua uchumi wa wilaya kupitia mapinduzi ya viwanda. Pia ameaidi kutoa ushirikiano wa dhati katika kufanikisha mikakati hiyo na ni ndoto yake ya muda mrefu kuona Mpwapwa inapata viwanda na Eneo la Pamoja la Kibiashara (Commercial Hub) ambapo kwa sasa eneo limeshatengwa kwa ajili ya Commercial Hub.

Matangazo

  • Tangazo la kuitwa kwenye usahili MpwapwaDC June 27, 2022
  • Tangazo la nafasi za kazi Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa. 2022 April 20, 2022
  • Tangazo la Nafasi za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa May 2022 May 31, 2022
  • Tangazo la kuahirishwa kwa Usahili Halmashauri ya Mpwapwa June 22, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • NORISH NA WAKULIMA WILAYA YA MPWAPWA

    May 06, 2025
  • VIONGOZI KUTOKA OFISI YA MAKAMU WA RAIS ZANZIBAR WATEMBELEA MIRADI YA MFUKO WA JIMBO MPWAPWA

    May 09, 2025
  • FUM YAFANYA ZIARA MIRADI YA KIMAENDELEO

    April 29, 2025
  • MAADHIMISHO YA MEI MOSI YAFANYIKA SINGIDA

    May 01, 2025
  • Tazama zote

Video

Video ya Mpango wa Uuzaji wa Viwanja Eneo la Mazae Block "E" katika Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa -2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ramani ya Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa
  • Muundo wa Baraza la Waheshimiwa Madiwani
  • Ratiba ya Vikao vya Madiwani

Viunganishi Linganishi

  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Wizara ya Fedha na Mipango
  • Utumishi portal
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu Teknolojia na Sayansi
  • Sekretarieti ya Ajira

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mpwapwa - Dodoma, Tanzania

    Anwani: S.L.P 12

    Simu: 255 26 2320122/2320

    Simu ya Kiganjani: 0684705551

    Barua pepe: info@mpwapwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovutii

Copyright © 2021 Mpwapwa District Council . All rights reserved.