• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mpwapwa District Council
Mpwapwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
        • Fedha
        • Biashara
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Mali asili
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Usafi na Mazingira
      • Utawala na Utumishi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Habari Mawasiliano na Tehama
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Nyuki
    • Mamlaka
      • Mamlaka ya Mji Mdogo wa Mpwapwa
      • Mamlaka ya Maji Mpwapwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashuri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa mbali mbali
    • Fomu za Maombi
    • Miongozo mbali mbali
    • Simulizi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video mbali mbali
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

Wadau wa Biashara Wapata Ufumbuzi wa Changamoto Zinazowakabili

Posted on: October 18th, 2018

Mkuu wa Wilaya ya Mpwapwa Mhe. Jabir Shekimweri amefanya kikao na Wadau wa Biashara katika Ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Wilaya hiyo. Kikao hicho kimehudhuriwa na wadau mbalimbali wakiwemo wamiliki wa nyumba za kulala wageni, wafanyabiashara wa maduka, mazao na wamiliki wa vyombo vya usafirishaji abiria na mizigo pamoja na wataalam toka sekta ya umma. Katika kikao hicho wafanyabiashara wamemueleza mkuu wa wilaya kuwa changamoto kubwa ni ushirikiano kati ya sekta binafsi na sekta ya umma ni mdogo na kusababisha wadau wa sekta binafsi kutokuwa na uelewa wa kutosha kuhusu mambo muhimu katika kuendesha biashara zao.

Wadau wa Biashara wakiwa katika kikao cha pamoja katika Ukumbi wa Mkuu wa Wilaya ya Mpwapwa wakisikiliza hotuba ya Mkuu wa Wilaya ya Mpwapwa na kujadili changamoto za biashara

Pia wadau wa sekta binafsi kwa pamoja wamemshukuru sana Mkuu wa Wilaya ya Mpwapwa Mhe. Shekimweri kwa kuwakutanisha na wadau wa sekta za umma pamoja na wataalam mbalimbali. Hivyo wadau hao wa sekta binafsi wameelezwa mambo muhimu katika uanzishwaji wa biashara mbalimbali na hatua zake za msingi. Pia wadau wa biashara wameelezwa kuwa katika kuanzisha biashara flani, inategemeana aina ya biashara ni vema kupata ushauri toka kwa mamlaka husika, kisha taratibu za kutafuta TIN na leseni ya biashara zinafuata.

Wadau wa Biashara wakiwa katika kikao cha pamoja katika Ukumbi wa Mkuu wa Wilaya ya Mpwapwa wakisikiliza hotuba ya Mkuu wa Wilaya ya Mpwapwa na kujadili changamoto za biashara

Aidha Mkuu wa Wilaya Mhe. Shekimweri amewaagiza wadau na wataalam mbalimbali wanaosimamia masuala ya biashara hapa Wilayani kama vile Afisa Biashara, Mamlaka ya Mapato Tanzania, Mamlaka ya Uthibiti wa Chakula na Dawa, Afisa Usafi na Mazingira, Afisa Afya na Afisa Misitu na Maliasili kuwapatia elimu na kuwajengea uelewa wa kutosha wafanyabiashara ili wawezesha kufanya biashara kwa kufuata sheria na taratibu na kupata faida staiki ili kuweza kulipa kodi na ushuru kwa wakati bila usumbufu wowote.

Matangazo

  • Tangazo la kuitwa kwenye usahili MpwapwaDC June 27, 2022
  • Tangazo la nafasi za kazi Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa. 2022 April 20, 2022
  • Tangazo la Nafasi za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa May 2022 May 31, 2022
  • Tangazo la kuahirishwa kwa Usahili Halmashauri ya Mpwapwa June 22, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • NORISH NA WAKULIMA WILAYA YA MPWAPWA

    May 06, 2025
  • VIONGOZI KUTOKA OFISI YA MAKAMU WA RAIS ZANZIBAR WATEMBELEA MIRADI YA MFUKO WA JIMBO MPWAPWA

    May 09, 2025
  • FUM YAFANYA ZIARA MIRADI YA KIMAENDELEO

    April 29, 2025
  • MAADHIMISHO YA MEI MOSI YAFANYIKA SINGIDA

    May 01, 2025
  • Tazama zote

Video

Video ya Mpango wa Uuzaji wa Viwanja Eneo la Mazae Block "E" katika Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa -2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ramani ya Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa
  • Muundo wa Baraza la Waheshimiwa Madiwani
  • Ratiba ya Vikao vya Madiwani

Viunganishi Linganishi

  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Wizara ya Fedha na Mipango
  • Utumishi portal
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu Teknolojia na Sayansi
  • Sekretarieti ya Ajira

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mpwapwa - Dodoma, Tanzania

    Anwani: S.L.P 12

    Simu: 255 26 2320122/2320

    Simu ya Kiganjani: 0684705551

    Barua pepe: info@mpwapwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovutii

Copyright © 2021 Mpwapwa District Council . All rights reserved.