• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mpwapwa District Council
Mpwapwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
        • Fedha
        • Biashara
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Mali asili
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Usafi na Mazingira
      • Utawala na Utumishi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Habari Mawasiliano na Tehama
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Nyuki
    • Mamlaka
      • Mamlaka ya Mji Mdogo wa Mpwapwa
      • Mamlaka ya Maji Mpwapwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashuri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa mbali mbali
    • Fomu za Maombi
    • Miongozo mbali mbali
    • Simulizi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video mbali mbali
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

MPANGO KABAMBE WA HUDUMA ZA MAJI,USAFI WA MAZINGIRA NA USAFI BINAFSI WAZINDULIWA(WASH)

Posted on: June 25th, 2025



Halmashauri ya wilaya ya Mpwapwa imezindua rasmi Mpango Kabambe wa Maji, Usafi wa Mazingira na Usafi Binafsi (WASH) kwa Wilaya hio  ikishirikiana na wadau mbalimbali wa maendeleo.


Mpango huu wa kimkakati unaolenga kipindi cha mwaka 2024 hadi 2036 unakusudia kuhakikisha upatikanaji wa huduma endelevu na jumuishi za maji safi, usafi wa mazingira na usafi binafsi kwa wakazi wote wa Wilaya ya Mpwapwa.


Hafla ya uzinduzi iliyofanyika jijini Dodoma kwa ushirikiano kati ya taasisi isiyo ya kiserikali ya Water For People Tanzania ilihudhuriwa na Henry Chisute Mkurugenzi wa Ubora wa Maji aliyekuwa mgeni rasmi akimuwakilisha Naibu Katibu mkuu wa Wizara ya Maji pamoja na wageni wengine mashuhuri.


 Miongoni mwa wageni hao ni Mkuu wa Wilaya ya Mpwapwa Dr. Sophia Kizigo, Mkurugezi Mtendaji wa Wilaya ya Mpwapwa, Mkurugenzi Mkazi wa Water For People Tanzania Dr. Happiness Willbroad, Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Maji na usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA) na wadau mbalimbali wa sekta ya WASH kutoka wizarani, ndani ya wilaya na maeneo jirani.


Mpango huu wa WASH wa Wilaya ya Mpwapwa uliondaliwa kwa ushirikiano mkubwa kati ya taasisi ya Water For People na Wilaya ya Mpwapwa umetengenezwa kama nyenzo muhimu ya kupanga, kuratibu na kutekeleza miradi ya maji, usafi wa mazingira na usafi binafsi. Lengo lake kuu ni kuboresha utoaji wa huduma kwa kiwango kikubwa, kwa malengo makuu ya kufanikisha upatikanaji wa asilimia 100 wa huduma za msingi za maji safi, usafi wa mazingira na usafi binafsi ifikapo mwaka 2036.

Akizungumza wakati wa uzinduzi, Mgeni Rasmi alisisitiza umuhimu wa matumizi bora ya maji na utekelezaji wa mpango huu kwa vitendo, akisema:

"Tunakumbwa na changamoto kubwa ya upatikanaji wa maji; hivyo, pale maji yanapopatikana, ni muhimu tuyatumie kwa ufanisi. Ni lazima tukubali kutumia teknolojia na mbinu bora zitakazosaidia kuongeza ufanisi wa matumizi ya maji. RUWASA na Halmashauri ya Mpwapwa wahakikishe mpango huu hautabaki tu kwenye makaratasi, bali utekelezwe kwa vitendo kama sehemu ya kutimiza malengo ya kitaifa" amesema.

Matangazo

  • Tangazo la kuitwa kwenye usahili MpwapwaDC June 27, 2022
  • Tangazo la nafasi za kazi Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa. 2022 April 20, 2022
  • Tangazo la Nafasi za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa May 2022 May 31, 2022
  • Tangazo la kuahirishwa kwa Usahili Halmashauri ya Mpwapwa June 22, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MPANGO KABAMBE WA HUDUMA ZA MAJI,USAFI WA MAZINGIRA NA USAFI BINAFSI WAZINDULIWA(WASH)

    June 25, 2025
  • KATIBU TAWALA MKOA AFANYA ZIARA YA KIKAZI MPWAPWA

    June 20, 2025
  • WADAU WA WATER FOR PEOPLE WATOA TATHMINI NA TAKWIMU ZA KAZI

    June 19, 2025
  • MKURUGENZI MTENDAJI AFANYA KIKAO CHA TATHMINI YA MRADI WA UJENZI WA OFISI MPYA

    June 19, 2025
  • Tazama zote

Video

Video ya Mpango wa Uuzaji wa Viwanja Eneo la Mazae Block "E" katika Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa -2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ramani ya Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa
  • Muundo wa Baraza la Waheshimiwa Madiwani
  • Ratiba ya Vikao vya Madiwani

Viunganishi Linganishi

  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Wizara ya Fedha na Mipango
  • Utumishi portal
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu Teknolojia na Sayansi
  • Sekretarieti ya Ajira

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mpwapwa - Dodoma, Tanzania

    Anwani: S.L.P 12

    Simu: 255 26 2320122/2320

    Simu ya Kiganjani: 0684705551

    Barua pepe: info@mpwapwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovutii

Copyright © 2021 Mpwapwa District Council . All rights reserved.