• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mpwapwa District Council
Mpwapwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
        • Fedha
        • Biashara
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Mali asili
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Usafi na Mazingira
      • Utawala na Utumishi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Habari Mawasiliano na Tehama
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Nyuki
    • Mamlaka
      • Mamlaka ya Mji Mdogo wa Mpwapwa
      • Mamlaka ya Maji Mpwapwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashuri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa mbali mbali
    • Fomu za Maombi
    • Miongozo mbali mbali
    • Simulizi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video mbali mbali
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Dr. Kebwe S. Kebwe atoa Rai kwa Madiwani wote Nchini Kupewa Mafunzo Maalumu ya Komputa.

Posted on: May 9th, 2017

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Dr. Kebwe S. Kebwe atoa Rai kwa Madiwani wote Nchini Kupewa Mafunzo Maalumu ya Komputa.

Ameyasema hayo leo tarehe tarehe 09.05.2017,  wakati akifungua  Rasmi Mafunzo Maalumu ya  Uendeshaji na Utunzaji wa Kumbu kumbu za Vikao vya Mabaraza ya Madiwani kwa Mameya na  Wenyeviti wa Halmashauri za Miji na Wilaya zote nchini. Mafunzo hayo ya siku tano yanayoendeshwa na Wakufunzi kutoka katika Chuo cha Utumishi wa Umma, yanahusisha pia   Makatibu Kamati wote Nchini yanafanyikamkoani Morogoro.

Amesema “Madiwani wafundishwe Matumizi ya  Komputa ili kuweza kurahisisha upashanaji Habari na Taarifa muhimu hususani katika zama hizi za utandawazi,  hatua itakayowezesha Wajumbe kupata taarifa muhimu za Vikao kwa wakati, lakini pia kupungua kwa gharama za uendeshaji wa Vikao” Hivyo ametoa wito kwa waandazi wa mafunzo hayo kuandaa mafunzo hayo maalumu.

Akitoa salamu za ukaribisho Mkuu wa Mkoa amewakaribisha Wakufunzi na Wakurufunzi Mkoani Morogoro huku akitoa wito wa kutumia fursa zilizopo katika kuwekeza hususani katika Sekta ya kilimo kwa kuwa Azimio la Serikali kuhamia Dodoma limetoa fursa kwa mkoa wa Morogoro kuwa ni wa kimkakati.

Ametoa wito pia kwa washiriki kuzingatia mafunzo ili waweze kuelewa na kupata maarifa yatakayo waongezea  ufanisi wa kiutendaji huku akisisitiza kuwa Wenyeviti wanapaswa kusimamia taratibu za Vikao ili Vikao hivyo viweze kuendeshwa vizuri.

Vile vile Amewaasa Wenyeviti hao kusimamia suala la ukusanyaji wa mapato huku msisitizo ukiwa ni kwenye Matumizi ya Mfumo wa Kielektroniki wa Ukusanyaji wa Mapato.

Washiriki wakiwa wakifuatilia Hotuba ya Mgeni Rasmi, Leo Tarehe 09.05.2017 Mkoani Morogoro

Kupata Vitini Vya Mafunzo Fuata Linki Hii: http://www.mpwapwadc.go.tz/storage/app/uploads/public/591/ab3/db1/591ab3db1d3c1691441569.zip



Matangazo

  • Tangazo la kuitwa kwenye usahili MpwapwaDC June 27, 2022
  • Tangazo la nafasi za kazi Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa. 2022 April 20, 2022
  • Tangazo la Nafasi za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa May 2022 May 31, 2022
  • Tangazo la kuahirishwa kwa Usahili Halmashauri ya Mpwapwa June 22, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • NORISH NA WAKULIMA WILAYA YA MPWAPWA

    May 06, 2025
  • VIONGOZI KUTOKA OFISI YA MAKAMU WA RAIS ZANZIBAR WATEMBELEA MIRADI YA MFUKO WA JIMBO MPWAPWA

    May 09, 2025
  • FUM YAFANYA ZIARA MIRADI YA KIMAENDELEO

    April 29, 2025
  • MAADHIMISHO YA MEI MOSI YAFANYIKA SINGIDA

    May 01, 2025
  • Tazama zote

Video

Video ya Mpango wa Uuzaji wa Viwanja Eneo la Mazae Block "E" katika Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa -2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ramani ya Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa
  • Muundo wa Baraza la Waheshimiwa Madiwani
  • Ratiba ya Vikao vya Madiwani

Viunganishi Linganishi

  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Wizara ya Fedha na Mipango
  • Utumishi portal
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu Teknolojia na Sayansi
  • Sekretarieti ya Ajira

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mpwapwa - Dodoma, Tanzania

    Anwani: S.L.P 12

    Simu: 255 26 2320122/2320

    Simu ya Kiganjani: 0684705551

    Barua pepe: info@mpwapwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovutii

Copyright © 2021 Mpwapwa District Council . All rights reserved.