• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mpwapwa District Council
Mpwapwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
        • Fedha
        • Biashara
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Mali asili
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Usafi na Mazingira
      • Utawala na Utumishi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Habari Mawasiliano na Tehama
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Nyuki
    • Mamlaka
      • Mamlaka ya Mji Mdogo wa Mpwapwa
      • Mamlaka ya Maji Mpwapwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashuri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa mbali mbali
    • Fomu za Maombi
    • Miongozo mbali mbali
    • Simulizi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video mbali mbali
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

FUM Yatambelea Miradi ya Maendeleo, Yakemea Miradi Inayosuasua Kumalizika.

Posted on: May 5th, 2021

Kamati ya Fedha Uongozi na Mpango (FUM) ya Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa ikiongozwa Mwenyekiti wa Halmashauri Mhe. George Fuime  imefaanya ziara ya kutembelea miradi ya ujenzi wa madarasa ya shule za msingi, sekondari pamoja na ujenzi wa vituo vya afya. Miradi iliyotembelewa ni pamoja na Zahanati ya Mgoma kata ya Godegode, Shule ya Msingi Pwaga, Shule ya Msingi Munguwi, Zahanati ya Munguwi, Shule ya MSingi Njiapanda, Zahanati ya Singhonali, Shule ya Sekondari Ikuyu, Kituo cha Afya Mtera, Kituo cha Afya Chipogoro, Ujenzi wa Shule ya Sekondari Chitemo, Zahanati ya Chamanda, Shule ya Sekondari Chipogoro, Zahanati ya Mzase na Zahanati ya Chaludewa.

Aidha baadaya kukagua miradi yote FUM imetoa pongezi kwa miradi iliyokamilika na kufanya vizuri kama Ujenzi wa madarasa shule yaMsingi Pwaga, Ujenzi wa Mdarasa mawili ya Shule ya Msingi Kidenge, Ujenzi wa Madarasa ya Shule ya Sekondari Ikuyu pamoja na kituo cha afya Chipogoro.

Vile vile Mwenyekiti wa Halmashauri Mhe. Fuime amewataka mafundi wote wanaojenga majengo ya maabara ya Shule ya Sekondari ya Chipogoro Kumalizia kazi ya mdirisha, na kituo cha afya Mtera kurekebisha mirango na madirisha.

Mwisho wajumbe wa FUM wamemtaka Mhandisi wa Ujenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa Ndugu. Cosmas Ngalula kutembelea, kukagua na kutoa ushauri katika ujenzi wa miradi mbalimbali katika halmashauri.

Wajumbe wa FUM wakikagua Kituo cha Afya Chipogoro (Kulia Mhe. George Fume, Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa)

Wajumbe wa FUM wakikagua Madara mawili yaliyojengwa EP4R katika Shule ya Sekondari Ikuyu.

Wajumbe wa FUM wakikagua Kituo cha Afya Mtera (Hili ni jengo la Kuhifadhia Maiti)


Matangazo

  • Tangazo la kuitwa kwenye usahili MpwapwaDC June 27, 2022
  • Tangazo la nafasi za kazi Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa. 2022 April 20, 2022
  • Tangazo la Nafasi za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa May 2022 May 31, 2022
  • Tangazo la kuahirishwa kwa Usahili Halmashauri ya Mpwapwa June 22, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • NORISH NA WAKULIMA WILAYA YA MPWAPWA

    May 06, 2025
  • VIONGOZI KUTOKA OFISI YA MAKAMU WA RAIS ZANZIBAR WATEMBELEA MIRADI YA MFUKO WA JIMBO MPWAPWA

    May 09, 2025
  • FUM YAFANYA ZIARA MIRADI YA KIMAENDELEO

    April 29, 2025
  • MAADHIMISHO YA MEI MOSI YAFANYIKA SINGIDA

    May 01, 2025
  • Tazama zote

Video

Video ya Mpango wa Uuzaji wa Viwanja Eneo la Mazae Block "E" katika Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa -2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ramani ya Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa
  • Muundo wa Baraza la Waheshimiwa Madiwani
  • Ratiba ya Vikao vya Madiwani

Viunganishi Linganishi

  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Wizara ya Fedha na Mipango
  • Utumishi portal
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu Teknolojia na Sayansi
  • Sekretarieti ya Ajira

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mpwapwa - Dodoma, Tanzania

    Anwani: S.L.P 12

    Simu: 255 26 2320122/2320

    Simu ya Kiganjani: 0684705551

    Barua pepe: info@mpwapwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovutii

Copyright © 2021 Mpwapwa District Council . All rights reserved.