• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mpwapwa District Council
Mpwapwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
        • Fedha
        • Biashara
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Mali asili
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Usafi na Mazingira
      • Utawala na Utumishi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Habari Mawasiliano na Tehama
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Nyuki
    • Mamlaka
      • Mamlaka ya Mji Mdogo wa Mpwapwa
      • Mamlaka ya Maji Mpwapwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashuri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa mbali mbali
    • Fomu za Maombi
    • Miongozo mbali mbali
    • Simulizi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video mbali mbali
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

DED MPWAPWA AFANYA ZIARA YA KUKAGUA MIRADI

Posted on: July 11th, 2025

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa Bi Mwanahamisi H Ally amefanya ziara ya kikazi ya kukagua miradi ya kimaemdeleo inayoendelea kujengwa katika Halmashaùri yake Julai 11,2025 akiambatana na wakuu wa idara na vitengo.

Wakati wa ziara yake hiyo amekagua miradi mbali mbali ikiwemo
Ujenzi wa bweni la wafunzi katika Shule ya Sekondari  Berege likiwa na gharama ya Sh
125,000,000.00 hadi kukamilika.
Darasa moja lilogharamu kiasi cha Sh 23,000,000 na Ujengwaji wa jiko la kupikia wanafunzi ambalo litagharimu kiasi cha Sh.40,000,000  hadi kumaliza kwake

Pia amekagua Ujenzi wa Nyumba ya Mganga 3 in 1 inayoendelewa kujengwa katika Zahanati ya Mima itakayogharimu Sh 110,000,000 na ununuzi wa dawa
katika kituo cha Mima zenye thamani ya Sh 14,372,000.00.

Halikadhalika ziara huyo iliendelea katika Shule ya Msingi Seluka iliopo kata ya Chipogoro kwa lengo ĺa kufanya tathmini ya ukarabati wa Shule hiyo juu ya miundo mbinu iliyochakaa.

Pia ziara iliendelea katika kituo cha afya Rudi na kutembelea mradi wa ujenzi wa miundo mbinu ya afya ikiwemo kichomea taka na vyoo vyenye gharama ya Sh.87,000,000 na kukagua ununuzi wa Genereta uliogharimu 137,000,000 pamoja na kujengewa kwake

Na mwisho alikaua ujenzi wa Maabara katika kituo cha afya kibakwe chenye gharama ya Sh 94,000,000 hadi kukamilika kwake.

Bi Mwanahamisi amewataka wasimamizi wa mirafi hiyo pamoja na mafundi waengeze kasi ya utendaji kazi wao ili miradi iweze kumaliza kwa wakati na pindi wanapotokewa na changamoto yoyote wasisite kusema ili waweze kutatua changamoto hizo kwa pamoja.



Matangazo

  • Tangazo la kuitwa kwenye usahili MpwapwaDC June 27, 2022
  • Tangazo la nafasi za kazi Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa. 2022 April 20, 2022
  • Tangazo la Nafasi za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa May 2022 May 31, 2022
  • Tangazo la kuahirishwa kwa Usahili Halmashauri ya Mpwapwa June 22, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • AFISA LISHE WILAYA AWASILISHA UTEKELEZAJI WA MKATABA WA LISHE

    August 28, 2025
  • MSIMAMIZI WA UCHAGUZI JIMBO LA MPWAPWA NA KIBAKWE AWAKABIDHI FOMU ZA UGOMBEA WA UBUNGE WAGOMBEA WA MAJIMBO HAYO

    August 26, 2025
  • DC KIZIGO AFIKIA TAMATI YA ZIARA YAKE

    August 25, 2025
  • DC KIZIGO AENDELEA NA ZIARA YA KUSKILIZA NA KUTATUA KERO ZA WANANCHI

    August 23, 2025
  • Tazama zote

Video

Video ya Mpango wa Uuzaji wa Viwanja Eneo la Mazae Block "E" katika Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa -2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ramani ya Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa
  • Muundo wa Baraza la Waheshimiwa Madiwani
  • Ratiba ya Vikao vya Madiwani

Viunganishi Linganishi

  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Wizara ya Fedha na Mipango
  • Utumishi portal
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu Teknolojia na Sayansi
  • Sekretarieti ya Ajira

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mpwapwa - Dodoma, Tanzania

    Anwani: S.L.P 12

    Simu: 255 26 2320122/2320

    Simu ya Kiganjani: 0684705551

    Barua pepe: info@mpwapwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovutii

Copyright © 2021 Mpwapwa District Council . All rights reserved.