• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mpwapwa District Council
Mpwapwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
        • Fedha
        • Biashara
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Mali asili
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Usafi na Mazingira
      • Utawala na Utumishi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Habari Mawasiliano na Tehama
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Nyuki
    • Mamlaka
      • Mamlaka ya Mji Mdogo wa Mpwapwa
      • Mamlaka ya Maji Mpwapwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashuri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa mbali mbali
    • Fomu za Maombi
    • Miongozo mbali mbali
    • Simulizi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video mbali mbali
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

Sherehe za Mwenge wa Uhuru Wilayani Mpwapwa

Saturday 7th, June 2025
@Wilaya ya Mpwapwa

Mkoa wa Dodoma mnamo tarehe 30 Julai 2018 unatarajia kuupokea Mwenye wa Uhuru kimkoa katika Wilaya ya Mpwapwa kata ya Lumuma ukitokea Mkoa wa Morogoro wilaya ya Kilosa. Katika mapokezi ya mwenge huo wanatarajiwa kuhudhuria wakuu wa mikoa wote wawili wa Mkoa wa Morogoro na Dodoma, wakuu wa Wilaya zote za Morogoro na Dodoma, Wakurugenzi wote wa Morogoro na Dodoma, makatibu tawala wa wilaya zote Morogoro na Dodoma, na wageni wengine waalikwa katika sherehe hizi, pamoja na wananchi wote kwa ujumla. 

Kwa upande wa Wilaya ya Mpwapwa Mwenge huo unatarajiwa kutembelea miradi  ifuatayo: Shule ya Awali na Msingi ya Franco Badian iliyopo kata Lumuma, Kituo cha Afya cha Pwaga kilichopo kata ya Pwaga, Kituo cha Wanyama kazi Kibakwe kilichopo kata ya Kibakwe, Barabara ya Kidenge - Lufu,  Mradi wa Maji wa Luhundwa, The Mother land shule ya English Medium iliyopo kata ya Mpwapwa Mjini katika Kijiji cha Ilolo na Kiwanda cha Kukamua alizeti, kusaga na kudindika unga wa mahindi.

Eneo la mkesha wa Mwenge wa Uhuru unatarajiwa kuwa Ilolo ambapo patakuwa na shughuli mbalimbali za maonesho kama vile shughuli za kupambana na rushwa (TAKUKURU), shughuli za kupambana na madawa ya kulevya, shughuli za upimaji wa virus vya ukimwi (VVU) kwa hiari na malaria, utambulisho, kusoma risala na ujumbe wa mwenge. Pia katika eneo hilo la mkesha kutakuwa na burudani mbalimbali kama  vile muziki, vikundi vya ngoma, skauti, vikundi vya salakasi, vikundi vya maigizo, kwaya, ngonjera na wacheza shoo (Stage Show).

Kauli mbiu ya Mwenge wa Uhuru kwa Mwaka huu 2018 ni "ELIMU NI UFUNGUO WA MAISHA, WEKEZA SASA KWA MAENDELEO YA TAIFA LETU" 

Kwa ujumla katika wilaya ya Mpwapwa mwenge wa Uhuru utakimbizwa umbali wa takribani kilometa 148 mpaka kufika Igunga wilayani Kongwa ambalo litakuwa  eneo la makabidhiano. 

Wananchi wote mjitokeze kuupokea na kuusherekea Mwenge wa Uhuru, Nyote mnakaribishwa.

.......MWENGE HOYEEEEEEEEEEEEEEEE..........................

Matangazo

  • Tangazo la kuitwa kwenye usahili MpwapwaDC June 27, 2022
  • Tangazo la nafasi za kazi Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa. 2022 April 20, 2022
  • Tangazo la Nafasi za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa May 2022 May 31, 2022
  • Tangazo la kuahirishwa kwa Usahili Halmashauri ya Mpwapwa June 22, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • NENDENI MKAITANGAZE SERIKALI YA AWAMU YA SITA

    May 24, 2025
  • KIKAO KAZI CHA MAAFISA HABARI WA MIKOA, HALMASHAURI NA TAASISI ZA OFISI YA RAIS TAMISEMI CHAFANYIKA DODOMA

    May 23, 2025
  • AWAMU YA PILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA LAWADIA RASMI MPWAPWA

    May 14, 2025
  • NHIF WATOA MAFUNZO KWA MADIWANI

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

Video ya Mpango wa Uuzaji wa Viwanja Eneo la Mazae Block "E" katika Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa -2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ramani ya Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa
  • Muundo wa Baraza la Waheshimiwa Madiwani
  • Ratiba ya Vikao vya Madiwani

Viunganishi Linganishi

  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Wizara ya Fedha na Mipango
  • Utumishi portal
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu Teknolojia na Sayansi
  • Sekretarieti ya Ajira

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mpwapwa - Dodoma, Tanzania

    Anwani: S.L.P 12

    Simu: 255 26 2320122/2320

    Simu ya Kiganjani: 0684705551

    Barua pepe: info@mpwapwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovutii

Copyright © 2021 Mpwapwa District Council . All rights reserved.