• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mpwapwa District Council
Mpwapwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
        • Fedha
        • Biashara
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Mali asili
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Usafi na Mazingira
      • Utawala na Utumishi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Habari Mawasiliano na Tehama
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Nyuki
    • Mamlaka
      • Mamlaka ya Mji Mdogo wa Mpwapwa
      • Mamlaka ya Maji Mpwapwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashuri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa mbali mbali
    • Fomu za Maombi
    • Miongozo mbali mbali
    • Simulizi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video mbali mbali
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

MPWAPWA DC YANG'AA NA HATI SAFI

Friday 18th, July 2025
@UKUMBI WA HALMASHAURI


Kaimu Katibu Tawala wa Mkoa  Ndg Erick Ntikahela ambae ni Katibu Tawala Msaidizi Seksheni ya Ufuatiliaji na Tathimini ameipongeza Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa  kwa kupata Hati Safi kutoka kwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kwa mwaka wa fedha 2024/2025.

Akizungumza katika Mkutano Maalum wa Baraza la Madiwani uliofanyika Juni 18, 2025 katika ukumbi wa Halmashauri hiyo, Ndg Ntikahela . amesema mafanikio hayo ni ushahidi wa usimamizi mzuri wa fedha za umma, uwajibikaji na ufuatiliaji thabiti wa matumizi ya serikali.

“Kupata Hati Safi si jambo dogo, ni matokeo ya kazi kubwa. Nawaomba viongozi na wataalam muendelee kulinda heshima hii kwa kuhakikisha hoja zisizokuwa za lazima hazijitokezi tena." amesisitiza Ndg Ntikahela

Pia amesisitiza ili kuepukana na changamoto za kuwa na hoja nyingi halmashauri ikakikishe kamati ya fedha inayokutana kila mwezi iwe na ajenda ya kudumu kujadili mwenendo wa ujibuji wa hoja za ukaguzi wa ndani na nje ili kupunguza hoja za halmashauri.

 Halikadhalika amesisitiza usimamizi madhubuti ya ruzuku za fedha za wanafunzi ili malengo ya Serikali yaweze kutimia.

Naye Mkuu wa Wilaya Mh Dkt Sophia kizigo amelipongeza baraza la Madiwani kwa ukusanyaji mzuri wa mapato na mafanikio makubwa waliyoyapata katika kata zao.

"Baraza hili ndio baraza pekee lilokusanya mapato kwa 112%mwaka jana ikiwa mwaka huu limefikia 102.8 na ndio baraza pekee kila kata ndani ya Wilaya ya Mpwapwa imepata Serikali"amesema Dkt Kizigo.

CAG hutoa aina nne za hati baada ya ukaguzi, ambazo ni: Hati Inayoridhisha (Hati Safi), Hati Yenye Mashaka, Hati Isiyoridhisha, na Kutotoa Hati (Hati Mbaya). Hati Safi hutolewa pale ambapo Mkaguzi anaridhika kuwa taarifa za kifedha zimetayarishwa kwa usahihi na kuzingatia viwango vya kimataifa vya uhasibu.

Matangazo

  • Tangazo la kuitwa kwenye usahili MpwapwaDC June 27, 2022
  • Tangazo la nafasi za kazi Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa. 2022 April 20, 2022
  • Tangazo la Nafasi za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa May 2022 May 31, 2022
  • Tangazo la kuahirishwa kwa Usahili Halmashauri ya Mpwapwa June 22, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MPANGO KABAMBE WA HUDUMA ZA MAJI,USAFI WA MAZINGIRA NA USAFI BINAFSI WAZINDULIWA(WASH)

    June 25, 2025
  • KATIBU TAWALA MKOA AFANYA ZIARA YA KIKAZI MPWAPWA

    June 20, 2025
  • WADAU WA WATER FOR PEOPLE WATOA TATHMINI NA TAKWIMU ZA KAZI

    June 19, 2025
  • MKURUGENZI MTENDAJI AFANYA KIKAO CHA TATHMINI YA MRADI WA UJENZI WA OFISI MPYA

    June 19, 2025
  • Tazama zote

Video

Video ya Mpango wa Uuzaji wa Viwanja Eneo la Mazae Block "E" katika Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa -2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ramani ya Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa
  • Muundo wa Baraza la Waheshimiwa Madiwani
  • Ratiba ya Vikao vya Madiwani

Viunganishi Linganishi

  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Wizara ya Fedha na Mipango
  • Utumishi portal
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu Teknolojia na Sayansi
  • Sekretarieti ya Ajira

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mpwapwa - Dodoma, Tanzania

    Anwani: S.L.P 12

    Simu: 255 26 2320122/2320

    Simu ya Kiganjani: 0684705551

    Barua pepe: info@mpwapwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovutii

Copyright © 2021 Mpwapwa District Council . All rights reserved.