• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mpwapwa District Council
Mpwapwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
        • Fedha
        • Biashara
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Mali asili
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Usafi na Mazingira
      • Utawala na Utumishi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Habari Mawasiliano na Tehama
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Nyuki
    • Mamlaka
      • Mamlaka ya Mji Mdogo wa Mpwapwa
      • Mamlaka ya Maji Mpwapwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashuri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa mbali mbali
    • Fomu za Maombi
    • Miongozo mbali mbali
    • Simulizi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video mbali mbali
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

WATENDAJI KATA WATAKIWA KUSHUHULIKIA NA KERO NA MALALAMIKO YA WANANCHI.

Posted on: January 29th, 2026

Watendaji Kata wa halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa Januari 29,2026 wamepatiwa mafunzo ya E_Mrejesho yakiwa na Lengo la kuwapa elimu zaid juu ya usikilizaji Kero na Malalamika kwa Wananchi wao.

Mafunzo hayo yaliyotelewa na Afisa Malalamiko Mkoa Ndg Gwamaka Mlagila,amewataka watendaji Kata hao kuishi vizuri na Wananchi wao na kuwatatulia matatizo yao bila kufikishana ngazi za juu..

Pia amewasisitiza kutumia njia za mawasiliano tofauti ili wananchi waweze kuzitumia katika kufikisha malalamiko au kero zao zinazowakabili katika maisha yao ya kila siku,na kutoa mfano wa njia hizo ikiwemo Simu,mfumo wa e_mrejesho,mikutano pamoja na sanduku la maoni.

Hata hivyo hakusita kueleza wajibu wa kushuhulikia malalamiko ni pamoja na mikutano wa Kijiji e_mrejesho iingie kwenye agenda ambapo kero na malalakiko yote yatolewe utatuzi.

Halkadhalika,ndg Mlagila amewata kutumiza majukumu yao kwa kufuata yale yote ya Msingiyaliyozungumzwa yakafanyiwe kazi.

Kikao hicho cha siku moja kimefanyika katika Ukumbi wa Biashara wilayani Mpwapwa.

Matangazo

  • Tangazo la kuitwa kwenye usahili MpwapwaDC June 27, 2022
  • Tangazo la nafasi za kazi Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa. 2022 April 20, 2022
  • Tangazo la Nafasi za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa May 2022 May 31, 2022
  • Tangazo la kuahirishwa kwa Usahili Halmashauri ya Mpwapwa June 22, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MHE MALIMA AFUNGUA ZAHANATI YA MAKUTUPA

    January 30, 2026
  • ELIMU YA BIMA YA AFYA KWA UMMA YAWAFIKIA WANA MPWAPWA

    January 30, 2026
  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI UMEJADILI BAJETI ŸA MAKISIO YA MWAKA WA FEDHA 2026/2027

    January 30, 2026
  • MWENYEKITI MAPONDA AWATAKA WANAVIKUNDI KUREJESHA MKOPO KWA WAKATI.

    January 30, 2026
  • Tazama zote

Video

Video ya Mpango wa Uuzaji wa Viwanja Eneo la Mazae Block "E" katika Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa -2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ramani ya Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa
  • Muundo wa Baraza la Waheshimiwa Madiwani
  • Ratiba ya Vikao vya Madiwani

Viunganishi Linganishi

  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Wizara ya Fedha na Mipango
  • Utumishi portal
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu Teknolojia na Sayansi
  • Sekretarieti ya Ajira

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mpwapwa - Dodoma, Tanzania

    Anwani: S.L.P 12

    Simu: 255 26 2320122/2320

    Simu ya Kiganjani: 0684705551

    Barua pepe: info@mpwapwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovutii

Copyright © 2021 Mpwapwa District Council . All rights reserved.