• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mpwapwa District Council
Mpwapwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
        • Fedha
        • Biashara
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Mali asili
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Usafi na Mazingira
      • Utawala na Utumishi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Habari Mawasiliano na Tehama
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Nyuki
    • Mamlaka
      • Mamlaka ya Mji Mdogo wa Mpwapwa
      • Mamlaka ya Maji Mpwapwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashuri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa mbali mbali
    • Fomu za Maombi
    • Miongozo mbali mbali
    • Simulizi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video mbali mbali
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa Yatengeneza Madawati, Kunusuru Wanafunzi Wanaokaa Chini.

Posted on: February 1st, 2021

Na: Shaibu J. Masasi, Afisa TEHAMA - Mpwapwa Dc

Mkuregenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa Ndugu. Paul M. Sweya ameamua kuchukua hatua ya kutengeneza madawati kwa kuwatumia mafundi wa ndani waliopo katika Idara ya Ujenzi. Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa imenunua mbao na kuweza kutengeneza madawati arobaini (40) ya awali ambapo kila dawati moja linauwezo wa kukaa wanafunzi watatu (3), na kwa kuwa zoezi hili ni hili ni endelevu. Kwa ujumla katika Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa kuna shule nyingi hasa za msingi hazina madawati ya kutosha.

Madawati arobaini yakishushwa katika Shule ya Msingi Idilo

Pia Halmashauri imeomba kibali cha kukata miti na kuchana mbao, katika msitu mdogo wa kupandwa uliopo karibu na Hospitali ya Wilaya ya Mpwapwa ili kutengeneza madawati zaidi ili kunusuru wanafunzi wanakaa chini katika shule mbalimbali za Serikali hususan shule za msingi.

Vilevile Mkuregenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa Ndugu Sweya, amemuagiza Kaimu Afisa Elimu Msingi Ndugu Alexander Kiowi afuatilie shule zote 120 za Msingi ili kupata idadi ya madawati mabovu yanayohitaji ukarabati ili waweze kukarabatiwa. Hii itasaidia kupunguza idadi ya wanafunzi wanaokaa chini.

Mafundi wakichana mbao zitakazotumika katika utengenezaji wa Madawati (Miti imevunwa katika msitu mdogo karibu na Hospitali ya Wilaya ya Mpwapwa)

Hata hivyo madawati hayo 40 ya awali yamepelekwa katika Shule ya Msingi Idilo iliyopo kata ya Mazae ambapo Darasa la kwanza, la pili na la tatu wanakaa chini, kwa kuwa zoezi hilo ni endelevu. Madawati yaliyopelekwa ni ya kukaa wanafunzi watatu kwa dawati moja.

Wanafunzi wa Shule ya Msingi Idilo wakiwa wamekaa katika madawati mara baada ya Shule yao kukabidhiwa matawati toka Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa

Mwisho, Ndugu Sweya ametoa wito kwa wadau mbalimbali kujitokeza kuchangia madawati ili kunusuru wanafunzi wanaokaa chini katika Shule za Msingi na baadae kuweza kupandisha kiwango cha ufaulu Wilayani Mpwapwa.

Matangazo

  • Tangazo la kuitwa kwenye usahili MpwapwaDC June 27, 2022
  • Tangazo la nafasi za kazi Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa. 2022 April 20, 2022
  • Tangazo la Nafasi za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa May 2022 May 31, 2022
  • Tangazo la kuahirishwa kwa Usahili Halmashauri ya Mpwapwa June 22, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • NORISH NA WAKULIMA WILAYA YA MPWAPWA

    May 06, 2025
  • VIONGOZI KUTOKA OFISI YA MAKAMU WA RAIS ZANZIBAR WATEMBELEA MIRADI YA MFUKO WA JIMBO MPWAPWA

    May 09, 2025
  • FUM YAFANYA ZIARA MIRADI YA KIMAENDELEO

    April 29, 2025
  • MAADHIMISHO YA MEI MOSI YAFANYIKA SINGIDA

    May 01, 2025
  • Tazama zote

Video

Video ya Mpango wa Uuzaji wa Viwanja Eneo la Mazae Block "E" katika Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa -2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ramani ya Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa
  • Muundo wa Baraza la Waheshimiwa Madiwani
  • Ratiba ya Vikao vya Madiwani

Viunganishi Linganishi

  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Wizara ya Fedha na Mipango
  • Utumishi portal
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu Teknolojia na Sayansi
  • Sekretarieti ya Ajira

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mpwapwa - Dodoma, Tanzania

    Anwani: S.L.P 12

    Simu: 255 26 2320122/2320

    Simu ya Kiganjani: 0684705551

    Barua pepe: info@mpwapwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovutii

Copyright © 2021 Mpwapwa District Council . All rights reserved.