• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mpwapwa District Council
Mpwapwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
        • Fedha
        • Biashara
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Mali asili
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Usafi na Mazingira
      • Utawala na Utumishi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Habari Mawasiliano na Tehama
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Nyuki
    • Mamlaka
      • Mamlaka ya Mji Mdogo wa Mpwapwa
      • Mamlaka ya Maji Mpwapwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashuri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa mbali mbali
    • Fomu za Maombi
    • Miongozo mbali mbali
    • Simulizi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video mbali mbali
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika

SEKTA YA KILIMO

Shughuli kuu za wakazi wa Mpwapwa ni kilimo na ufugaji. Mazao ya chakula yanayolimwa ni Mahindi, Mtama, Uwele, Mihogo, Mpunga, Viazi mviringo na Maharage. Mazao ya biashara yanayolimwa hapa ni Karanga, Alizeti, Ufuta na zao jipya la Korosho.

 MALENGO YA KILIMO MSIMU 2015/16

Katika msimu 2015/16, jumla ya Ha. 75,917 za mazao ya chakula zimelimwa na kutarajiwa kuzalisha tani 131,924. Eneo la mazao ya biashara lililolimwa ni Ha. 44,773.64 na kutarajiwa kuzalisha tani 64,942. Jumla ya Ha. 1,102 za mazao ya bustani zimelimwa na kutarajiwa kuzalisha jumla ya tani 12,694 Mchanganuo kwa kila zao umeonyeshwa katika majedwali yafuatayo:

   Jedwali Na. 1: Mazao ya chakula


ZAO
ENEO(Ha)

T/Ha

MATARAJIO YA MAVUNO(T)

Mtama

39,629

1.5

64,613

Mahindi

15,899

2

34,564

Mpunga

1,650

3

5,379

Muhogo

1,231

1

1,338

Uwele

4,925

1.2

5,353

Maharage

6,297

1.5

8,214

Viazi mviringo

1,203

1.8

1,962

Viazi vitamu

2,492

1.8

4,876

Kunde

2,590

1

2,815

Jumla

75,917

 

131,924



Jedwali Na. 2: Mazao ya Biashara
ZAO
ENEO(Ha)
 T/Ha

MATARAJIO YA MAVUNO (T)

Karanga

25,548

1.5

41,655

Alizeti

10,950

1.2

14,282

Ufuta

8,285

1

9,005

Korosho

252

2.5

630

Jumla

45,035

 

65,572


Jedwali Na. 3: Mazao Bustani
ZAO

ENEO(Ha)

T/Ha

MATARAJIO YA MAVUNO (T)

Vitunguu

908

9

8,172

Nyanya

87

26

2,262

Mchicha

24

20

480

Miembe

15

20

300

Miwa

12

30

360

Kabichi

56

20

1,120

Jumla

1,102


12,694


PEMBEJEO KWA MFUMO WA VOCHA.

Katika msimu wa kilimo wa kilimo 2015/16 Wilaya ya Mpwapwa imepokea jumla ya Vocha 1000 kutoka wizara ya Kilimo, Chakula na ushirika.Vocha hizo zimegawanywa katika Vijiji 5 kama ifuatavyo:

  Jedwali Na. 4: Mgawanyo wa Pembejeo Vijijini


S/N

KATA

KIJIJI

IDADI YA VOCHA

IDADI YA KAYA ZINAZONUFAIKA

01.
Kimagai
Inzomvu

200

200

02
Matomondo
Mbori

200

200

Tambi

200

200

03.
Mlembule
Mlembule

200

200

04.
Malolo
Malolo

200

200


JUMLA
 

1000

1000


Shamba darasa katika kijiji cha Kibakwe.

Matangazo

  • Tangazo la Nafasi za Kazi March 26, 2018
  • Nafasi ya Masomo kwa Wahitimu wa Kidato cha Nne na Sita Chuo cha Serikali za Mitaa February 13, 2018
  • Ratiba ya Vikao vya HalmashauriI 2017/2018 December 15, 2017
  • Mapokezi ya Fedha TSH. 836,226,481.01 December 15, 2017
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • LIC yatoa Mafunzo ya Uwekezaji Mpwapwa

    March 14, 2018
  • TASAF Yatoa Mafunzo Kwa Wakuu wa Idara

    March 12, 2018
  • Baraza la Biashara lafanya Kikao na madiwani

    February 09, 2018
  • Mkuu wa Wilaya Mh. Jabir Shekimweri aunda Tume ya Uchunguzi Wilayani Mpwapwa

    February 08, 2018
  • Tazama zote

Video

Hotuba ya Mkuu wa Wilaya Mpwapwa Mh. Jabir Sheheimweri siku ya wanawake duniani Machi 8, 2017.
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ramani ya Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa
  • Muundo wa Baraza la Waheshimiwa Madiwani
  • Ratiba ya Vikao vya Madiwani

Viunganishi Linganishi

  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Wizara ya Fedha na Mipango
  • Utumishi portal
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu Teknolojia na Sayansi
  • Sekretarieti ya Ajira

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Mpwapwa - Dodoma, Tanzania

    Anwani: S.L.P 12

    Simu: 255 26 2320122/2320

    Simu ya Kiganjani: +255 67209840

    Barua pepe: info@mpwapwadc.go.tz

Other Contacts

   

Idadi ya Wasomaji

Counter Widgets

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovutii

Haki Miliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa - Haki zote zimehifadhiwa